mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 543
- 1,837
Wasalaam wakuu!
Mara kadhaa nimekuwa nikiwafuatilia na kuwasikiliza baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kimichezo nchini, kupitia vipindi vyanzo mbalimbali vya habari, na nimegundua kuwa tasnia hii ya uchambuzi wa michezo hususani soka imevamiwa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri, machawa, mashabiki hoyahoya wasiokuwa na upeo, wacheza kamali na wacheza soka wazamani wenye roho za kilozi na uelewa mdogo wa falsafa za michezo.
Aina hii ya wachambuzi wamepelekea tasnia ya habari za kimichezo nchini kuwa jukwaa la kushambulia maisha binafsi ya watu na taasisi fulani kwa manufaa yao binafsi au ya watu wanaowatumia.
Wafuatao ni baadhi ya wachambuzi wa soka la bongo ambao wamekuwa wakitumia vibaya fursa za kusikika redioni kushambulia watu na taasisi mbalmbali kwa mlengo wa chuki binafsi.
1.*Jemedari saidi kazumari*voice of voiceless *
Huyu ni mchambuzi mwenye visirani visivyo na maana, ni msambaza sumu mkubwa hususani linapokuja suala la Yanga sc, na hii ni kutokana na hapo awali kutaka kuwa miongoni mwa wagombea katika moja ya chaguzi pale jangwani, lakini baada ya jina lake na mgombea mwenzake kukatwa na mchezaji Faridi Mussa kuamua kuachana nae kama meneja wake, mtu huyu aligeuka na kuwa mbogo na alijiapiza kupambana na Yanga sc kwa kila namna, mbaya zaidi amekuwa akiwapiga mizinga wachezaji wa Yanga sc na aliponyimwa mlungula na dickson job, mtu huyu alianza kumshambulia kijana kwenye redio na page zake za mitandao yake ya kijamii.Hakuishia hapo amekuwa akimshambulia hata raisi wa klabu ya yanga sc ndugu hersi saidi kwa maneno ya kukera huku akimuita majina kadhaa ya maudhi kama "muhuni", "Tapeli", msomali mwizi and so forth,. NAKUONYA JEMEDARI SAIDI, WANAYANGA TUKO KAZINI.
2. Wilson Oruma
Huyu ni mchambuzi ombaomba , anasifika kwa kupiga wachezaji na viongozi wa vilabu mizinga, kosa ni umnyime mlungula hapo ndipo utakapojua hujui, ikumbukwe huyu na jemedari saidi ndio waliopewa dhamana ya kuivuruga Yanga sc nje ya uwanja kupitia platform waliyopewa radioni, Oruma amepewa kazi ya kukosoa kila jema la Yanga sc, kuleta taharuki na kupenyeza chuki kwa wachezaji wa YANGA dhidi ya uongozi, ni huyu oruma na jemedari ndio waliomshawishi feisal salum avunje mkataba kimakosa yanga sc, lakini ni watu hawahawa kwa kushirikina na mama wakala aitwae Jasmine ndio walioenda mbali na kumshawishi mayele aondoke yanga sc hata baada ya kuwa ameshakubali mkataba wa mwaka mmoja wa ziada kubakia yanga sc kwa mshahara wa dola 30k kwa mwezi. NAKUONYA WILSONI ORUMA YANGA SC, TUKO KAZINI
Mara kadhaa nimekuwa nikiwafuatilia na kuwasikiliza baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kimichezo nchini, kupitia vipindi vyanzo mbalimbali vya habari, na nimegundua kuwa tasnia hii ya uchambuzi wa michezo hususani soka imevamiwa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri, machawa, mashabiki hoyahoya wasiokuwa na upeo, wacheza kamali na wacheza soka wazamani wenye roho za kilozi na uelewa mdogo wa falsafa za michezo.
Aina hii ya wachambuzi wamepelekea tasnia ya habari za kimichezo nchini kuwa jukwaa la kushambulia maisha binafsi ya watu na taasisi fulani kwa manufaa yao binafsi au ya watu wanaowatumia.
Wafuatao ni baadhi ya wachambuzi wa soka la bongo ambao wamekuwa wakitumia vibaya fursa za kusikika redioni kushambulia watu na taasisi mbalmbali kwa mlengo wa chuki binafsi.
1.*Jemedari saidi kazumari*voice of voiceless *
Huyu ni mchambuzi mwenye visirani visivyo na maana, ni msambaza sumu mkubwa hususani linapokuja suala la Yanga sc, na hii ni kutokana na hapo awali kutaka kuwa miongoni mwa wagombea katika moja ya chaguzi pale jangwani, lakini baada ya jina lake na mgombea mwenzake kukatwa na mchezaji Faridi Mussa kuamua kuachana nae kama meneja wake, mtu huyu aligeuka na kuwa mbogo na alijiapiza kupambana na Yanga sc kwa kila namna, mbaya zaidi amekuwa akiwapiga mizinga wachezaji wa Yanga sc na aliponyimwa mlungula na dickson job, mtu huyu alianza kumshambulia kijana kwenye redio na page zake za mitandao yake ya kijamii.Hakuishia hapo amekuwa akimshambulia hata raisi wa klabu ya yanga sc ndugu hersi saidi kwa maneno ya kukera huku akimuita majina kadhaa ya maudhi kama "muhuni", "Tapeli", msomali mwizi and so forth,. NAKUONYA JEMEDARI SAIDI, WANAYANGA TUKO KAZINI.
2. Wilson Oruma
Huyu ni mchambuzi ombaomba , anasifika kwa kupiga wachezaji na viongozi wa vilabu mizinga, kosa ni umnyime mlungula hapo ndipo utakapojua hujui, ikumbukwe huyu na jemedari saidi ndio waliopewa dhamana ya kuivuruga Yanga sc nje ya uwanja kupitia platform waliyopewa radioni, Oruma amepewa kazi ya kukosoa kila jema la Yanga sc, kuleta taharuki na kupenyeza chuki kwa wachezaji wa YANGA dhidi ya uongozi, ni huyu oruma na jemedari ndio waliomshawishi feisal salum avunje mkataba kimakosa yanga sc, lakini ni watu hawahawa kwa kushirikina na mama wakala aitwae Jasmine ndio walioenda mbali na kumshawishi mayele aondoke yanga sc hata baada ya kuwa ameshakubali mkataba wa mwaka mmoja wa ziada kubakia yanga sc kwa mshahara wa dola 30k kwa mwezi. NAKUONYA WILSONI ORUMA YANGA SC, TUKO KAZINI