LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Huyu jamaa alijichulia umaarufu sana hasa Jijini Arusha na hata Moshi, alikuwa ni Polisi matata hapo Arusha na ni korofi na mbabe sana, Swali kwa anayemjua, Je! Yuko wapi siku hizi? Yu hai kweli? Maana hasikiki tangu mwaka 2002 niliposikiaga ni mkufunzi hapo CCP MOSHI. Yuko wapi? Twendeni pamoja WanaJF.