Sasa kama hakuna ugumu, si utuelezee?Kwani kuna ugmu gni wa kueleza cv ya mtu?
Ana masters ya majungu, fitna, roho mbaya, uzandiki etc
Hapa sidhani kama CV itawekwa, ngoja niendelee na kazi zingine
Yaan km alifika chuo kikuu, itakua ni mlimani, maan yupo vizur kwa kugoma!!!
Ndorobo kabisa wewe
Bhahahahahahahahahaha. Kwan mlikua hamjui pale huwa mnatoka na degree zaid ya moja, ukiacha uliosomea, ubishi na kugoma.
Sasa kama hakuna ugumu, si utuelezee?
huyu ni jamaa wa mipasho na vidole juu atakuwa wapi na CV zaidi ya O' Level km sio bakora?Hapa sidhani kama CV itawekwa, ngoja niendelee na kazi zingine
Hapa sidhani kama CV itawekwa, ngoja niendelee na kazi zingine
Sisi kwetu CV uwa siyo muhimu sana ndiyo maana unaona hata mmiliki wa Chadema Mbowe hana CV yoyote lakini anawaongoza watu wenye degree, master's, PhD.
ww ni muongo sio mbunge wako sema zaidi zaidi wataka kuleta siasa za maji taka na kuchafuana .
kama ww ni mwana ubungo huwezi uliza hili ina maana kwenye mikutano ulihudhuria majibu yako yote unayo