Wakuu salama?
Nimehangaika sana kutafuta CV ya mheshimiwa mbunge wangu wa Ubungo Saed Kubenea bila mafanikio.
Nipo hapa naandaa salamu za pongezi kwa mbunge wangu lakini sijui kazaliwa lini, wapi, kasoma nini na wapi? Na amebobea kwenye nini?.
Mwenye kujua zaidi anijuze tafadhali.
Nawasilisha
Nimehangaika sana kutafuta CV ya mheshimiwa mbunge wangu wa Ubungo Saed Kubenea bila mafanikio.
Nipo hapa naandaa salamu za pongezi kwa mbunge wangu lakini sijui kazaliwa lini, wapi, kasoma nini na wapi? Na amebobea kwenye nini?.
Mwenye kujua zaidi anijuze tafadhali.
Nawasilisha