Sisi kwetu CV uwa siyo muhimu sana ndiyo maana unaona hata mmiliki wa Chadema Mbowe hana CV yoyote lakini anawaongoza watu wenye degree, master's, PhD.
Kubenea siyo type yenu mtaumia
Kasomea Majungu na fitina, elewa hivyo basi.
Uongo ndiyo sifa yake kubwa.
Kimsingi kubenea aliishia kidato cha nne na akasoma Chuo cha uandishi wa habari kwa ngazi ya Certificate,baadae alipata kibarua gazeti la Rai ambako hakudumu sana.
Alianzisha gazeti lake huku akisaidiwa na Rafiki zake lkn mwaka 2011 kubrnea aliitwa na kupewa Onyo kali na Mh Lowassa kutokana na kumchafua sana gazetini.
Baadae Kubenea alijengewe Nyumba na Mzee Lowassa yenye thamani isiyopunfua Sh .mil 250 pamoja na kudhaminiwa na Lowassa huyohuyo kwenda kusoma mambo ya Habari nchini Afrika ya kusini.
Aliporejea akaanza kubadilika ktk uandishi na ndipo alipoianza kazi rasmi ya kumsafisa Lowassa kupitia gazeti lake.
Hiyo ndiyo cv ya kubenea
Nyumbu wamegoma kutoa CV ya mbunge wao.......!!!
Kimsingi kubenea aliishia kidato cha nne na akasoma Chuo cha uandishi wa habari kwa ngazi ya Certificate,baadae alipata kibarua gazeti la Rai ambako hakudumu sana.
Alianzisha gazeti lake huku akisaidiwa na Rafiki zake lkn mwaka 2011 kubrnea aliitwa na kupewa Onyo kali na Mh Lowassa kutokana na kumchafua sana gazetini.
Baadae Kubenea alijengewe Nyumba na Mzee Lowassa yenye thamani isiyopunfua Sh .mil 250 pamoja na kudhaminiwa na Lowassa huyohuyo kwenda kusoma mambo ya Habari nchini Afrika ya kusini.
Aliporejea akaanza kubadilika ktk uandishi na ndipo alipoianza kazi rasmi ya kumsafisa Lowassa kupitia gazeti lake.
Hiyo ndiyo cv ya kubenea
Kwa tafisiri nyepesi, kwa Kiswahili; CV ni wasifu! Wasifu ni jumla ya maelezo kuhusu habari na historia ya mtu! Sasa, siyo Mbowe tu, kila mtu Ana CV.Sisi kwetu CV uwa siyo muhimu sana ndiyo maana unaona hata mmiliki wa Chadema Mbowe hana CV yoyote lakini anawaongoza watu wenye degree, master's, PhD.