Kasomea Majungu na fitina, elewa hivyo basi.
CV yake ina umuhimu gani kwako..?
baba yako ni baba yako tu hata kama hana ndevu si mama yako keshakuthibitishia.Kasomea Majungu na fitina, elewa hivyo basi.
Mkuu tutapata wapi futari mwaka huu kwasababu huyu mgalatia kawafukuza wale wapishi wetu pale Ikulu au umeshawasiliana na Dr Dau?Sisi kwetu CV uwa siyo muhimu sana ndiyo maana unaona hata mmiliki wa Chadema Mbowe hana CV yoyote lakini anawaongoza watu wenye degree, master's, PhD.
Hiyo ndio sv
Ni mtu anayejiamini sana na haogopi anaposhikilia jambo
Post kama hizi huwa zinasaidia kuanalyse Uwezo wa kiakili wawachangiaji. Kimsingi watu hawajiamini na wanaonesha ujinga kwa kukimbia ombi la mtoa mada.
Anayejua huyo jamaa cv yake alete kama hujui piga kimya
Umri anakuzidi,elimu anakuzidi,busara anakuzidi, umaarufu anakuzidi,Pesa anakuzidi,miradi anakuzidi,kipato anakuzidi,ameajiri watu na anawalipa pesa nyingi kuliko unayolipwa wewe,mbona unapoteza muda wako kuhangaika na vitu usivyoweza kuvibadili dogo?....Piga kazi dogo kama uko shule soma lakini usisome kama kasuku
Tusaidie kwanza cv za profesa majimarefu na jah people, kibajaji