Mwarabu wa Loliondo: Challenge to TCRA

Mwarabu wa Loliondo: Challenge to TCRA

Kamanda Kazi, ZUKU hawako kwenye kuwajibika kuonesha local channels. ZUKU Na DSTV wako kwenye mfumo tofauti Na Mabadiliko ya kutoka Analojia kwenda Dijitali. ZUKU Na DSTV wako katika mfumo Wa Satelite ambao ni Wa dijitali tangu zamani. Mfumo huu ni Wa Malipo, ili uone channel local, kwanza lazima yawepo makubaliano kati ya Content Service Providers (mtengeneza maudhui) pamoja na Mtoa huduma. Lazima kulipia huduma hii kuona kwani ni ya malipo (subscription service).

Channel ZA bure zinatakiwa kuonekana katika mfumo Mpya Wa Utangazaji Wa dijitali Wa Terrestrial Digital Broadcasting ambao, channel zote zilizokuwa zinapatikana kupitia Terrestrial Analogue Broadcasting bure zinapaswa kuwa katika kila kingamuzi Cha watoa huduma watatu wanaotoa huduma hii (Multiplex Operator) yaani Agape Associates, Basic Transmission pamoja Na Star Times, na hii ni Kwa mujibu Wa Sheria. Watoa huduma wote watatu wametekeleza matakwa haya ya sheria.

Aidha ifahamike kuwa hata katika mfumo Wa tatu Wa Utangazaji (Digital Cable TV Broadcasting) maarufu maeneo mengi nchini pia ni wa Malipo Na Channel local kuonekana pia kuna utaratibu wake na haihusiki Na mabadiliko ya kuhamia dijitali Na matakwa ya kuwa local channel zote. Huu ni utaratibu kama ilivyo katika mfumo Wa leseni ZA Utangazaji. Ni kama kuhoji kwa nini mwenye leseni D ya udereva haruhusiwi kuendesha bus la abiria.

Tafadhali pitia katika website yetu www.tcra.go.tz upate taarifa zaidi kuhusu leseni Na maelekezo yake. Aidha angalia ukurasa wetu wa FB www.facebook.com/TCRA1 Kwa maelezo zaidi.

Ni vizuri kuielewa sekta, mfumo Wa leseni, masharti pamoja Na kanuni zinavyoiongoza sekta ili kutokuchanganya hii mifumo. Aidha kuhusu TCRA kama unavyohisi iko, tunaheshimu mawazo yako na Asante kwa ushirikiano Na mawazo yako.
Mkuu TCRA, Nina Ushauri/ Wazo ambalo mie naona ni la Mbolea sana kuhusu Digitally.Kwa nini Msi Regulate tukawa na Ving'amuzi Universal na Smart Cards tofaut tofaut, Mtu hatalazimika Kumiliki Zaid ya King;amuzi Kimoja, unakuwa na Decoder Moja ambayo ina accept Smart Card tofaut tofaut zinazomilikiwa na Vendor tofaut kama vile Star Times etc etc.Siku Nikienda China, nanunua Decoder nikiileta Tanzania iwe inapiga Mzigo kama kawa, ni kama vile Simu, Operator anamiliki SIM Card, lakini Handset ni Chaguo la Mteja.Hili linawezekana sana Wakuu
 
Last edited by a moderator:
Lakini yanamwisho. mwache huyu dhaifu-fast jet aendelee kukenua mimeno yake yanamwisho haya na malipo ni hapa hapa duniani Mungu ibariki Tanzania.
 
Mkuu TCRA, Nina Ushauri/ Wazo ambalo mie naona ni la Mbolea sana kuhusu Digitally.Kwa nini Msi Regulate tukawa na Ving'amuzi Universal na Smart Cards tofaut tofaut, Mtu hatalazimika Kumiliki Zaid ya King;amuzi Kimoja, unakuwa na Decoder Moja ambayo ina accept Smart Card tofaut tofaut zinazomilikiwa na Vendor tofaut kama vile Star Times etc etc.Siku Nikienda China, nanunua Decoder nikiileta Tanzania iwe inapiga Mzigo kama kawa, ni kama vile Simu, Operator anamiliki SIM Card, lakini Handset ni Chaguo la Mteja.Hili linawezekana sana Wakuu

mkuu hoja yako ni ya msingi kabisa. Ningeomba TCRA waje na Majibu ktika hili.
 
Mwambojoke nimepaliwa adi na gonja hapa hii avatar yako aseee
 
Loliondo ni extension of Arab Empire tofauti tu kidogo ni kwamba kuna polisi wa Tanzania wanalinda na kufanya doria kuzuia Watu wasio takiwa hasa watanzania kuingia huko walipo waharabu. Kitu kama mawasiliano ya simu ni kawaida sana na TCRA walizuia ili lisitumike lakini tena limerudia juzi tu. Tarehe nilikuwa Kijiji cha Ololosokwan na nilikaribishwa na mtandao wa UAE kama vile nipo Dubai. Niliondoka kwenda mbali na niliporudi tena mtandao ukanikaribisha: welcome back. Watu wanashindwa kutoa taarifa kwa sababu wengi hawafahamu kama ni kinyume cha sheria na pia hawaoni tofauti ya sheria hii kuvunjwa na mwarabu wakati nyingine nyingi zinavunjwa kama kuingiza magari na namba za usajili za Dubai, nk
 
Mkuu.
Kama huelewi Content ya Hii Thread ni Bora ukakaa Kimya.
Thread ime pose a Challenge to TCRA based on Facts nilizo Mention na Sio kwa Mwarabu
Kama hujui ni Bora ukaomba Kuelimishwa, Vitu nilivyoleta ni very Basics kueleweka.
Uliza Mkuu, sio Ujinga, Acha Ulofa

Hata wewe unahitaji kuelimishwa upya, alivyozungumza ndugu sawasawa. Ungeandika Mwekezaji, ama ungeandika jina lake, lakini ulitaka kuonesha chuki zako dhidi ua mwarabu ndio maana ukaandika Race yake. Mnakaa mnalalamika kinafiq tu, hii ishu ya loliondo yore ni kwa sababu amekaa mtu mwenye Race ambayo mnaichukia, lakini angekuwa Bwana wenu Mzungu mngejadili siku 2 tu kisha mkapotezea.

Maswali ya nyongeza sasa kwako na kwa wenzako;

-hivi hii ishu ya loliondo imeanza toka lini?
-hawa wabunge wenu wa chadema wamelizungumziaje hili bungeni?
 
Loliondo ni extension of Arab Empire tofauti tu kidogo ni kwamba kuna polisi wa Tanzania wanalinda na kufanya doria kuzuia Watu wasio takiwa hasa watanzania kuingia huko walipo waharabu. Kitu kama mawasiliano ya simu ni kawaida sana na TCRA walizuia ili lisitumike lakini tena limerudia juzi tu. Tarehe nilikuwa Kijiji cha Ololosokwan na nilikaribishwa na mtandao wa UAE kama vile nipo Dubai. Niliondoka kwenda mbali na niliporudi tena mtandao ukanikaribisha: welcome back. Watu wanashindwa kutoa taarifa kwa sababu wengi hawafahamu kama ni kinyume cha sheria na pia hawaoni tofauti ya sheria hii kuvunjwa na mwarabu wakati nyingine nyingi zinavunjwa kama kuingiza magari na namba za usajili za Dubai, nk

c.c: TCRA
 
Last edited by a moderator:
Hata wewe unahitaji kuelimishwa upya, alivyozungumza ndugu sawasawa. Ungeandika Mwekezaji, ama ungeandika jina lake, lakini ulitaka kuonesha chuki zako dhidi ua mwarabu ndio maana ukaandika Race yake. Mnakaa mnalalamika kinafiq tu, hii ishu ya loliondo yore ni kwa sababu amekaa mtu mwenye Race ambayo mnaichukia, lakini angekuwa Bwana wenu Mzungu mngejadili siku 2 tu kisha mkapotezea.

Maswali ya nyongeza sasa kwako na kwa wenzako;

-hivi hii ishu ya loliondo imeanza toka lini?
-hawa wabunge wenu wa chadema wamelizungumziaje hili bungeni?
Another Idiot
 
Swali la kizushi tu: je kati ya TCRA yetu na Mwarabu wa Loliondo (Afsat) ni yupi amilikiye mwingine hadi hivi sasa mambo yanavyoendeshwa kimawasiliano nchini mwetu??????????????????
 
I concur with you, my take was to show how naive some of us are. The loliondo Arabs havent couse damage like many others. here there is no constructive critisism bali just fighting ccm for those who support cdm and vise versa. mbona kuna huyo marekani serengeti anafanya maajabu na wananchi wanateseka na hatuoni threads za maana hapa, but loliondo kwa sababu is an issue to crash the govt., Hat the devil but gove his dues. and if you look at reality just for a few weeks of the Arabs pleasure he has done a lot forthe maasais of the area, i do not mean to support him but what am projecting there are worst evils in the country. Any way thank you for your decent comment.

Mkuu kindly read again your previous post that have been criticized by majority of members. I am certain you will acknowledge that it didn't reflect what you have commented here. If this was your intention in that post then you slipped somewhere in your rhetoric. Neither of us is intelligent nor smart than another but we have to stand as a unit when it comes to National issues. Unfortunately, the current practice doesn't support this line of thinking but better late than never..........
 
Swali la kizushi tu: je kati ya TCRA yetu na Mwarabu wa Loliondo (Afsat) ni yupi amilikiye mwingine hadi hivi sasa mambo yanavyoendeshwa kimawasiliano nchini mwetu??????????????????
🙄🙄😀
 
Back
Top Bottom