Mkuu.
Kama huelewi Content ya Hii Thread ni Bora ukakaa Kimya.
Thread ime pose a Challenge to TCRA based on Facts nilizo Mention na Sio kwa Mwarabu
Kama hujui ni Bora ukaomba Kuelimishwa, Vitu nilivyoleta ni very Basics kueleweka.
Uliza Mkuu, sio Ujinga, Acha Ulofa
Mkuu zile zero ndio zinafanya kazi huyu jamaa ndio wale wale Mccm hawana hoja issue ni ingine kabisa yeye kaja kivingine.