VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,900
- 583
JIBU LA TCRA
Kwa hisani ya https://www.facebook.com/groups/changetanzania/
Innocent Prim M. MungyKulingana taarifa Zetu, tatizo hili lilikuwepo miaka mitatu nyuma Na lilitatuliwa baada ya leseni kutolewa Kwa mawasiliano Kwa mhusika na hakuna taarifa yeyote ya roaming Kwa wananchi Wa loliondo. Ofisi yetu ya kanda pamoja Na maafisa toka Makao Makuu wakati huo walithibitisha kuwa kulikuwa Na tatizo hilo wakati huo Na lilitatuliwa. Kama hii taarifa ni sahihi Kwa sasa, Mamlaka itafanya uchunguzi Na kuchukua hatua za kisheria kwani ni kosa kufanya hivyo. Naahidi kuleta taarifa hii mara ikithibitika pamoja Na hatua zitakazochukuliwa.
Kwa hisani ya https://www.facebook.com/groups/changetanzania/
Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."
QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!
cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba
KEY
BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)