Mwarabu wa Loliondo: Challenge to TCRA

Mwarabu wa Loliondo: Challenge to TCRA

JIBU LA TCRA
Innocent Prim M. Mungy
Kulingana taarifa Zetu, tatizo hili lilikuwepo miaka mitatu nyuma Na lilitatuliwa baada ya leseni kutolewa Kwa mawasiliano Kwa mhusika na hakuna taarifa yeyote ya roaming Kwa wananchi Wa loliondo. Ofisi yetu ya kanda pamoja Na maafisa toka Makao Makuu wakati huo walithibitisha kuwa kulikuwa Na tatizo hilo wakati huo Na lilitatuliwa. Kama hii taarifa ni sahihi Kwa sasa, Mamlaka itafanya uchunguzi Na kuchukua hatua za kisheria kwani ni kosa kufanya hivyo. Naahidi kuleta taarifa hii mara ikithibitika pamoja Na hatua zitakazochukuliwa.

Kwa hisani ya https://www.facebook.com/groups/changetanzania/

Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."

QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!

cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba

KEY

BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)
 
Kulingana taarifa na rekodi zetu, tatizo hili lilikuwepo miaka mitatu iliyopita (2009) na lilitatuliwa baada ya leseni ya mawasiliano kutolewa na kuzuia kutumika kwa mtambo uliopelekea wakazi Wa Loliondo kufanya roaming ndani ya nchi yao. Mmhusika alipewa leseni na tangu wakati huo hakuna taarifa yeyote ya roaming kwa wananchi wa loliondo kwa sasa. Ofisi yetu ya kanda pamoja Na maafisa toka Makao Makuu wakati huo walithibitisha kuwa kulikuwa na tatizo hilo wakati huo na lilitatuliwa. Kama hii taarifa ni sahihi kwa sasa, Mamlaka itafanya uchunguzi Na kuchukua hatua za kisheria kwani ni kosa kufanya hivyo. Tunaahidi kuleta taarifa hii mara ikithibitika pamoja Na hatua zitakazochukuliwa. Jambo hili linakatazwa Kwa mujibu wa Sheria ya Mawasiliano ya Kielectroniki Na Posta No. 3 ya Mwaka 2010 pamoja Na Kanuni zake.

Endapo itabainika kuwa hali hii imejirudia tena, basi TCRA itachukua hatua kali kama ilivyofanya mwanzo. Tunaahidi kutoa taarifa baada ya uchunguzi.

Asante Kwa taarifa hizi.
 
Kulingana taarifa na rekodi zetu, tatizo hili lilikuwepo miaka mitatu iliyopita (2009) na lilitatuliwa baada ya leseni ya mawasiliano kutolewa na kuzuia kutumika kwa mtambo uliopelekea wakazi Wa Loliondo kufanya roaming ndani ya nchi yao. Mmhusika alipewa leseni na tangu wakati huo hakuna taarifa yeyote ya roaming kwa wananchi wa loliondo kwa sasa. Ofisi yetu ya kanda pamoja Na maafisa toka Makao Makuu wakati huo walithibitisha kuwa kulikuwa na tatizo hilo wakati huo na lilitatuliwa. Kama hii taarifa ni sahihi kwa sasa, Mamlaka itafanya uchunguzi Na kuchukua hatua za kisheria kwani ni kosa kufanya hivyo. Tunaahidi kuleta taarifa hii mara ikithibitika pamoja Na hatua zitakazochukuliwa. Jambo hili linakatazwa Kwa mujibu wa Sheria ya Mawasiliano ya Kielectroniki Na Posta No. 3 ya Mwaka 2010 pamoja Na Kanuni zake.

Endapo itabainika kuwa hali hii imejirudia tena, basi TCRA itachukua hatua kali kama ilivyofanya mwanzo. Tunaahidi kutoa taarifa baada ya uchunguzi.

Asante Kwa taarifa hizi.

Nilichojifunza ni kwamba wananchi hawatoi Taarifa kwenye vyombo husika pale wanapoona kuna Tatizo, yawezekana hii hali ingekwisha pata ufumbuzi muda mrefu,
Nazani kuna ile imani kwamba mamlaka ziko kila kona na hazihitaji support ya wananchi,
 
Kulingana taarifa na rekodi zetu, tatizo hili lilikuwepo miaka mitatu iliyopita (2009) na lilitatuliwa baada ya leseni ya mawasiliano kutolewa na kuzuia kutumika kwa mtambo uliopelekea wakazi Wa Loliondo kufanya roaming ndani ya nchi yao. Mmhusika alipewa leseni na tangu wakati huo hakuna taarifa yeyote ya roaming kwa wananchi wa loliondo kwa sasa. Ofisi yetu ya kanda pamoja Na maafisa toka Makao Makuu wakati huo walithibitisha kuwa kulikuwa na tatizo hilo wakati huo na lilitatuliwa. Kama hii taarifa ni sahihi kwa sasa, Mamlaka itafanya uchunguzi Na kuchukua hatua za kisheria kwani ni kosa kufanya hivyo. Tunaahidi kuleta taarifa hii mara ikithibitika pamoja Na hatua zitakazochukuliwa. Jambo hili linakatazwa Kwa mujibu wa Sheria ya Mawasiliano ya Kielectroniki Na Posta No. 3 ya Mwaka 2010 pamoja Na Kanuni zake.

Endapo itabainika kuwa hali hii imejirudia tena, basi TCRA itachukua hatua kali kama ilivyofanya mwanzo. Tunaahidi kutoa taarifa baada ya uchunguzi.

Asante Kwa taarifa hizi.

Tunasubiri confirmation kama ulivyohaidi maana hili suala ni serious sana.

Pia unaweza kufafanua hiyo leseni ya mawasiliano aliyopewa mhusika?
 
Tunasubiri confirmation kama ulivyohaidi maana hili suala ni serious sana.

Pia unaweza kufafanua hiyo leseni ya mawasiliano aliyopewa mhusika?

Halafu mbona wananchi tumekuwa watu wa kulia bila kutoa taarifa? nime mtag facebook msemaji wao in 2min ametoa hii responce tuwa polisi jamii, tutoe taarifa kwa kila jambo mengine tunaweza lalamika bure
 
Nilichojifunza ni kwamba wananchi hawatoi Taarifa kwenye vyombo husika pale wanapoona kuna Tatizo, yawezekana hii hali ingekwisha pata ufumbuzi muda mrefu,
Nazani kuna ile imani kwamba mamlaka ziko kila kona na hazihitaji support ya wananchi,

Sijui lakini kuna mamlaka nyingine hata ukiwapa taarifa hawafuatilii au wakifuatilia wanafanya hivyo kwa muda wanaoutaka.

At least TCRA wametuhabarisha kulingana na taarifa walizonazo, unless there is a different story on the ground.
 
Last edited by a moderator:
Halafu mbona wananchi tumekuwa watu wa kulia bila kutoa taarifa? nime mtag facebook msemaji wao in 2min ametoa hii responce tuwa polisi jamii, tutoe taarifa kwa kila jambo mengine tunaweza lalamika bure

Ni vizuri ikithibitika kwamba madai haya yana uzito basi leseni isimamishwe kwa muda.
 
Kamanda Kazi, ZUKU hawako kwenye kuwajibika kuonesha local channels. ZUKU Na DSTV wako kwenye mfumo tofauti Na Mabadiliko ya kutoka Analojia kwenda Dijitali. ZUKU Na DSTV wako katika mfumo Wa Satelite ambao ni Wa dijitali tangu zamani. Mfumo huu ni Wa Malipo, ili uone channel local, kwanza lazima yawepo makubaliano kati ya Content Service Providers (mtengeneza maudhui) pamoja na Mtoa huduma. Lazima kulipia huduma hii kuona kwani ni ya malipo (subscription service).

Channel ZA bure zinatakiwa kuonekana katika mfumo Mpya Wa Utangazaji Wa dijitali Wa Terrestrial Digital Broadcasting ambao, channel zote zilizokuwa zinapatikana kupitia Terrestrial Analogue Broadcasting bure zinapaswa kuwa katika kila kingamuzi Cha watoa huduma watatu wanaotoa huduma hii (Multiplex Operator) yaani Agape Associates, Basic Transmission pamoja Na Star Times, na hii ni Kwa mujibu Wa Sheria. Watoa huduma wote watatu wametekeleza matakwa haya ya sheria.

Aidha ifahamike kuwa hata katika mfumo Wa tatu Wa Utangazaji (Digital Cable TV Broadcasting) maarufu maeneo mengi nchini pia ni wa Malipo Na Channel local kuonekana pia kuna utaratibu wake na haihusiki Na mabadiliko ya kuhamia dijitali Na matakwa ya kuwa local channel zote. Huu ni utaratibu kama ilivyo katika mfumo Wa leseni ZA Utangazaji. Ni kama kuhoji kwa nini mwenye leseni D ya udereva haruhusiwi kuendesha bus la abiria.

Tafadhali pitia katika website yetu www.tcra.go.tz upate taarifa zaidi kuhusu leseni Na maelekezo yake. Aidha angalia ukurasa wetu wa FB www.facebook.com/TCRA1 Kwa maelezo zaidi.

Ni vizuri kuielewa sekta, mfumo Wa leseni, masharti pamoja Na kanuni zinavyoiongoza sekta ili kutokuchanganya hii mifumo. Aidha kuhusu TCRA kama unavyohisi iko, tunaheshimu mawazo yako na Asante kwa ushirikiano Na mawazo yako.
 
Halafu mbona wananchi tumekuwa watu wa kulia bila kutoa taarifa? nime mtag facebook msemaji wao in 2min ametoa hii responce tuwa polisi jamii, tutoe taarifa kwa kila jambo mengine tunaweza lalamika bure

Huwa wanapatikana facebook tuu?
 
Sijui lakini kuna mamlaka nyingine hata ukiwapa taarifa hawafuatilii au wakifuatilia wanafanya hivyo kwa muda wanaoutaka.

At least TCRA wametuhabarisha kulingana na taarifa walizonazo, unless there is a different story on the ground.
Ni kweli organ za serikali ziko weak lakini naona TCRA wanajitutumia, ni wakupewa ushirikiano na kuwabana pale inapobidi, tatizo kila kitu ni siasa siku hizi
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Ni vizuri ikithibitika kwamba madai haya yana uzito basi leseni isimamishwe kwa muda.
Namba zao za simu tunazo tukiona kimya baada ya muda ni kuwashitua kujua nini kinaendelea, wakifanya usanii basi jibu tutakuwa tumepata, wakiwajibisha jibu tutakuwa tumepata pia kwamba hakuwa na taarifa
 
Kamanda Kazi, ZUKU hawako kwenye kuwajibika kuonesha local channels. ZUKU Na DSTV wako kwenye mfumo tofauti Na Mabadiliko ya kutoka Analojia kwenda Dijitali. ZUKU Na DSTV wako katika mfumo Wa Satelite ambao ni Wa dijitali tangu zamani. Mfumo huu ni Wa Malipo, ili uone channel local, kwanza lazima yawepo makubaliano kati ya Content Service Providers (mtengeneza maudhui) pamoja na Mtoa huduma. Lazima kulipia huduma hii kuona kwani ni ya malipo (subscription service).

Channel ZA bure zinatakiwa kuonekana katika mfumo Mpya Wa Utangazaji Wa dijitali Wa Terrestrial Digital Broadcasting ambao, channel zote zilizokuwa zinapatikana kupitia Terrestrial Analogue Broadcasting bure zinapaswa kuwa katika kila kingamuzi Cha watoa huduma watatu wanaotoa huduma hii (Multiplex Operator) yaani Agape Associates, Basic Transmission pamoja Na Star Times, na hii ni Kwa mujibu Wa Sheria. Watoa huduma wote watatu wametekeleza matakwa haya ya sheria.

Aidha ifahamike kuwa hata katika mfumo Wa tatu Wa Utangazaji (Digital Cable TV Broadcasting) maarufu maeneo mengi nchini pia ni wa Malipo Na Channel local kuonekana pia kuna utaratibu wake na haihusiki Na mabadiliko ya kuhamia dijitali Na matakwa ya kuwa local channel zote. Huu ni utaratibu kama ilivyo katika mfumo Wa leseni ZA Utangazaji. Ni kama kuhoji kwa nini mwenye leseni D ya udereva haruhusiwi kuendesha bus la abiria.

Tafadhali pitia katika website yetu www.tcra.go.tz upate taarifa zaidi kuhusu leseni Na maelekezo yake. Aidha angalia ukurasa wetu wa FB www.facebook.com/TCRA1 Kwa maelezo zaidi.

Ni vizuri kuielewa sekta, mfumo Wa leseni, masharti pamoja Na kanuni zinavyoiongoza sekta ili kutokuchanganya hii mifumo. Aidha kuhusu TCRA kama unavyohisi iko, tunaheshimu mawazo yako na Asante kwa ushirikiano Na mawazo yako.

cc Kamanda Kazi
 
Last edited by a moderator:
Kamanda Kazi, ZUKU hawako kwenye kuwajibika kuonesha local channels. ZUKU Na DSTV wako kwenye mfumo tofauti Na Mabadiliko ya kutoka Analojia kwenda Dijitali. ZUKU Na DSTV wako katika mfumo Wa Satelite ambao ni Wa dijitali tangu zamani. Mfumo huu ni Wa Malipo, ili uone channel local, kwanza lazima yawepo makubaliano kati ya Content Service Providers (mtengeneza maudhui) pamoja na Mtoa huduma. Lazima kulipia huduma hii kuona kwani ni ya malipo (subscription service).

Channel ZA bure zinatakiwa kuonekana katika mfumo Mpya Wa Utangazaji Wa dijitali Wa Terrestrial Digital Broadcasting ambao, channel zote zilizokuwa zinapatikana kupitia Terrestrial Analogue Broadcasting bure zinapaswa kuwa katika kila kingamuzi Cha watoa huduma watatu wanaotoa huduma hii (Multiplex Operator) yaani Agape Associates, Basic Transmission pamoja Na Star Times, na hii ni Kwa mujibu Wa Sheria. Watoa huduma wote watatu wametekeleza matakwa haya ya sheria.

Aidha ifahamike kuwa hata katika mfumo Wa tatu Wa Utangazaji (Digital Cable TV Broadcasting) maarufu maeneo mengi nchini pia ni wa Malipo Na Channel local kuonekana pia kuna utaratibu wake na haihusiki Na mabadiliko ya kuhamia dijitali Na matakwa ya kuwa local channel zote. Huu ni utaratibu kama ilivyo katika mfumo Wa leseni ZA Utangazaji. Ni kama kuhoji kwa nini mwenye leseni D ya udereva haruhusiwi kuendesha bus la abiria.

Tafadhali pitia katika website yetu www.tcra.go.tz upate taarifa zaidi kuhusu leseni Na maelekezo yake. Aidha angalia ukurasa wetu wa FB www.facebook.com/TCRA1 Kwa maelezo zaidi.

Ni vizuri kuielewa sekta, mfumo Wa leseni, masharti pamoja Na kanuni zinavyoiongoza sekta ili kutokuchanganya hii mifumo. Aidha kuhusu TCRA kama unavyohisi iko, tunaheshimu mawazo yako na Asante kwa ushirikiano Na mawazo yako.

TCRA ni idara nyeti ya serikali na ina wajibu wa kuhakikisha maslahi ya wateja yanalindwa siku zote hasa kwenye suala la tozo za matumizi ya simu.

TCRA ina wajibu pia wa kuhakikisha mitandao ya simu inakuwa "responsible" katika kuhudumia wananchi hasa kwenye suala la ROAMING hasa kwenye application ya push settings ambayo inalazimisha kuwenda kwenye unitended network.

TCRA iajiri investigators/ inspectors kila mkoa wawe na majukumu ya kuhakikisha wananchi wa kawaida hadhulumiwi.
 
TCRA hivi huyo mwekezaji alipewaje hiyo leseni lakini? hii sio kuua providers waliopo nchini? nani ana monitor/control mawasilino ya huyo mwaarabu? je akifunza sheria za nchi katika mawasilino yake mtajuaje? maana inaonyesha hata majui nini kinaendelea kwenye hiyo mitambo yake,
Huyo mwarabu kwani nini msingembana awezeshe provider mmoja hapa nchi ili hiyo service iwe na manufaa kwa wananchi wote wa eneo hiyo? nazani kuna sababu nyingi za kuangalia umuhimu wa lesseni kama hizi kwa kuzingatia ulinzi wa taifa pamoja na ustawi wa jamii
 
Last edited by a moderator:
Mfumo na Leseni ZA Mawasiliano ziko nyingi Kwa mujibu Wa sheria, mtu yeyote anayehitaji leseni hupatiwa leseni kwa mujibu wa mahitaji yake. leseni iliyotolewa ni ya Mawasiliano ya simu ya kuunganisha toka Tanzania (Loliondo Wakati Kiongozi huyo Mwana Wa Mfalme anapokuwa nchini). Leseni hii hutolewa kwa wengine kurahisisha mawasiliano maeneo ambayo miundombinu haitoi huduma zainazokusudiwa.

TCRA inachukua taarifa hizi Kwa uzito kwani tumepewa dhamana ya kusimamia hii sekta kwa niaba ya Watanzania wote. Uhalifu Na ukiukwaji Wa Sheria katika sekta hii ni jambo tunalolifuatilia Kwa karibu. Bahati mbaya Mamlaka haina ofisi kila sehemu nchini. Tunategemea kupata taarifa hizi kutoka Kwa wananchi ili kuweza kubaini matatizo Na kuyafanyia kazi. Ni wajibu Wa kila mtanzania kusimamia haki pamoja na kutoa taarifa Kwa vyombo husika. Mamlaka inapenda kuwakumbusha wote kuwa ili kufanikisha majukumu ya taasisi zenye dhamana yankuwatumikia Watanzania, ni vizuri kutoa ushirikiano Na kutoa taarifa ili kutoa huduma zinazotegemewa Kwa ufanisi. Wote tunawajibika, Na tunawasihi, tuache kunungunika, chukua hatua, toa taarifa Na lalamika wazi kama hapa Jamii Forum, tunafuatilia kila kinachoandikwa na kufanya utafiti ili kujiridhisha Na kutambua tatizo lipo wapi Kwa msaada wenu.

Tunawshukuru tena Kwa ushirikiano. Wakati mwingine tunaomba mtuletee taarifa kupitia malalamiko@tcra.go.tz au complaints@tcra.go.tz.
 
Leseni ikitolewa Na Mtambo ukapewa frequency, unafuatiliwa Kwa ajili ya usalama Wa mtumiaji, Na mawasiliano yake. Namna gani au Kwa vipi ni suala la kikazi zaidi. Ila tunapenda kuwahakikishia kuwa yanafuatiliwa masafa yote yaliyotolewa, yanayotumika kuongoza vyombo vya usafiri angani, majini au nchi kavu, redio, TV na hata Satelite.
 
Richard, bila shaka. Wataalamu Na vifaa vipo, na wataalamu wetu wanafanya Kazi zao, bahati mbaya kazi zingine HazinaHabari magoli ya kufunga ili kuona matokeo. Trust us, nchi yetu iko vizuri.
 
Kwa mwenye number ya Mtu aliyeko Loliondo Na anapata tatizo la roaming, naomba atupatie kupitia malalamiko@tcra.go.tz ili wahandisi wetu wakiwa huko wawasiliane nae.
 
Mfumo na Leseni ZA Mawasiliano ziko nyingi Kwa mujibu Wa sheria, mtu yeyote anayehitaji leseni hupatiwa leseni kwa mujibu wa mahitaji yake. leseni iliyotolewa ni ya Mawasiliano ya simu ya kuunganisha toka Tanzania (Loliondo Wakati Kiongozi huyo Mwana Wa Mfalme anapokuwa nchini). Leseni hii hutolewa kwa wengine kurahisisha mawasiliano maeneo ambayo miundombinu haitoi huduma zainazokusudiwa.

TCRA inachukua taarifa hizi Kwa uzito kwani tumepewa dhamana ya kusimamia hii sekta kwa niaba ya Watanzania wote. Uhalifu Na ukiukwaji Wa Sheria katika sekta hii ni jambo tunalolifuatilia Kwa karibu. Bahati mbaya Mamlaka haina ofisi kila sehemu nchini. Tunategemea kupata taarifa hizi kutoka Kwa wananchi ili kuweza kubaini matatizo Na kuyafanyia kazi. Ni wajibu Wa kila mtanzania kusimamia haki pamoja na kutoa taarifa Kwa vyombo husika. Mamlaka inapenda kuwakumbusha wote kuwa ili kufanikisha majukumu ya taasisi zenye dhamana yankuwatumikia Watanzania, ni vizuri kutoa ushirikiano Na kutoa taarifa ili kutoa huduma zinazotegemewa Kwa ufanisi. Wote tunawajibika, Na tunawasihi, tuache kunungunika, chukua hatua, toa taarifa Na lalamika wazi kama hapa Jamii Forum, tunafuatilia kila kinachoandikwa na kufanya utafiti ili kujiridhisha Na kutambua tatizo lipo wapi Kwa msaada wenu.

Tunawshukuru tena Kwa ushirikiano. Wakati mwingine tunaomba mtuletee taarifa kupitia malalamiko@tcra.go.tz au complaints@tcra.go.tz.

Ni kweli kwamba TCRA bado haijatanuka vya kutosha, sasa ichukueni hiyo kama challenge kwa kutafuta vyanzo vya mapato, mfano hizi kampuni za simu zina miss behave sana wanakupatia bundle ambayo inakuja na internet, cha ajabu siku wanapopata matatizo ya data na mteja unashindwa kutumia data wao wanachofanya ni kukaa kimya bila kukujulisha wala kufanya rudishio la kile mteja ilicho miss out kwa mitambo yao kutokuwa hewani [DATA SERVICE], NASHAURI TCRA mngewapiga faini hao provider ili kuongeza mapato yetu, kuweni wakali kwenye faini, toeni option ya faini kali kabla ya kuwapeleka mahakamani, kuna maduka kibao yanauza simu fake hizo ni hela mnaweza tengeneza, ndivyo wenzetu wanavyokusanya hewa yao
 
Back
Top Bottom