Mwarabu wa Loliondo: Challenge to TCRA

Mwarabu wa Loliondo: Challenge to TCRA

Bramo

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
13,242
Reaction score
10,227
Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."

QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!

cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba

KEY

BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)
 
hii nchi tutafute njia ya kuwatoa ntaa sikioni watawala nayo ni kuwaondoa tu full stop.. wakati tunazibua ntaa wakianza kusikia wawe wanasikia kama wapinzani..
 
Kuanzia kwa Waziri wa maliasili na utalii-Abubakari Mgumia hadi kwa Kagasheki mambo mbofumbofu na huyu mwarabu ila mwisho umefika.
 
Tumefika wakati wa kuikomboa nchi yetu upya.
Uhuru wetu tulioupata mwaka 1961 haupo tena, tumekuwa watumwa nchini mwetu.
Leo hata Kagasheki anadiriki kuwajibu wamasai wa Loliondo ya kuwa ardhi yote nchini ni mali ya Rais na ndiye mwenye mamlaka ya mwisho na uwezo wa kuamua nani akae wapi na apewe ardhi ipi.

Babu zetu walipigana vita vya Majimaji. Ingawa walishindwa na ukoloni wa wajerumani na baadaye waingereza uliendelea, bado tunakumbuka ya kuwa walimwaga damu zao na kutoa uhai wao kupigania kilicho chao.
Tuache uoga watanzania tuamue kusuka ama kunyoa.

Kama vile waarabu waliogawiwa ardhi yetu hawajatosha, juzi tu jk amekwenda kuwabembeleza 'wawekezaji' kutoka uturuki waje kuwekeza nchini mwetu. Hivi ni kweli watanzania zaidi ya milioni 44 hakuna wenye uwezo wa kuwekeza katika kilimo, uvuvi, uchimbaji madini na viwanda mpaka aje 'mkoloni' kutoka nje awekeze? Hivi hii migogoro yote ya ardhi tunayoisikia kila kukicha pande mbalimbali za Tanzania jk haijui? Hivi tumemkosea nini sisi watanzania mpaka anatuuza bila hata kusikia uchungu? Ama kukaa kwake Bagamoyo ndiyo kumemfanya ageuke kuwa 'mfanya biashara ya utumwa' (slave trader) wa karne ya 21? Tofauti yake na wale waliotuuza utumwani miaka ya zamani ni kwamba yeye hatupeleki popote, anatuacha utumwani humu humu nchini mwetu, tunakufa huku tunajiona, na nchi yetu yenye maziwa na asali tunaiona inavyomalizwa na hawa watu wenye rangi inayong'ara (waarabu, wachina, wazungu n.k) ilhali mtu mweusi ambaye hana mahali pengine pa kupaita nyumbani anabaki kuteseka katika lindi la umaskini.

Mwalimu alisema 'Afadhali umaskini na uhuru, kuliko utajiri na utumwa'

Mungu Ibariki Tanzania!
 
Huwezi jua. Pengine kwenye Mkataba aliopewa unaruhusu jambo hilo. Si unajua mikataba yetu ina maudhui ya "kuvutia" wawekezaji? Ni aina flani ya kuvutia wawekezaji kwa kujiteketeza sisi wenyewe. Ni kama mshumaa uletao nuru kwa wengine wakati wenyewe unateketea!
 
nikimwangalia huyu kijana vs kile kinachopatikana kutoka kwenye murahaba napata mawazo zaidi maana hatujui ni nani atafuata! maasai boy.jpg
 
Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."

QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!

cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba

KEY

BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)

Tusi shikwe na jazba. Mbona tunamuonea huyu mwarabi, kafanya dhambi gani. Kwa kweli hizi ni siasa mbovu, ilimradi tupate sababu ya kuisakama ccm na serekali. mbona hatuwasakami wazungu wanapo pewa maeneo. kwa mfano mbona wale Wa Australia walio ibobea mlima wa kabulo pale kiwira, mpaka kuusababisha ule mradi wa kiwira kuwa hauna faida tena hatuwazungumzii.

Mradi kanyimwa Nssf ambao walikuwa tayari kuuchukuwa na mbia kutoka nje na waka Ahidi kuekeza mradi wa umeme wa 300mw. nssf ilitoa ahadi ya kulipia madeni ya serekali ya USA$30millions. Lakini Mzungu kachukua nusu ya mradi wenye makaa mengi kwa dollar 3 million. hiyo hatuioni na haisemwi. Mwarabu kafanya mengi loliondo anasumbuliwa. Au ni kwa sababu agenda ya kiwira ililetwa bungeni na Zitto kwa hivyo hapa jukwani jambo lake haliungwi mkono. Mbunge wa ileje kwanza alilisimamia jambo hili, nasikia sasa amekuwa mshauri mkubwa wa hao majangili wa kizungu.
 
  • Thanks
Reactions: PSM
Tusi shikwe na jazba. Mbona tunamuonea huyu mwarabi, kafanya dhambi gani. Kwa kweli hizi ni siasa mbovu, ilimradi tupate sababu ya kuisakama ccm na serekali. mbona hatuwasakami wazungu wanapo pewa maeneo. kwa mfano mbona wale Wa Australia walio ibobea mlima wa kabulo pale kiwira, mpaka kuusababisha ule mradi wa kiwira kuwa hauna faida tena hatuwazungumzii.

Mradi kanyimwa Nssf ambao walikuwa tayari kuuchukuwa na mbia kutoka nje na waka Ahidi kuekeza mradi wa umeme wa 300mw. nssf ilitoa ahadi ya kulipia madeni ya serekali ya USA$30millions. Lakini Mzungu kachukua nusu ya mradi wenye makaa mengi kwa dollar 3 million. hiyo hatuioni na haisemwi. Mwarabu kafanya mengi loliondo anasumbuliwa. Au ni kwa sababu agenda ya kiwira ililetwa bungeni na Zitto kwa hivyo hapa jukwani jambo lake haliungwi mkono. Mbunge wa ileje kwanza alilisimamia jambo hili, nasikia sasa amekuwa mshauri mkubwa wa hao majangili wa kizungu.

Mkuu.
Kama huelewi Content ya Hii Thread ni Bora ukakaa Kimya.
Thread ime pose a Challenge to TCRA based on Facts nilizo Mention na Sio kwa Mwarabu
Kama hujui ni Bora ukaomba Kuelimishwa, Vitu nilivyoleta ni very Basics kueleweka.
Uliza Mkuu, sio Ujinga, Acha Ulofa
 
Mkuu.
Kama huelewi Content ya Hii Thread ni Bora ukakaa Kimya.
Thread ime pose a Challenge to TCRA based on Facts nilizo Mention na Sio kwa Mwarabu
Kama hujui ni Bora ukaomba Kuelimishwa, Vitu nilivyoleta ni very Basics kueleweka.
Uliza Mkuu, sio Ujinga, Acha Ulofa


mkuu,

watu wanakurupuka tu humu...hawasomi na kuelewa,jamaa kaleta mambo meeeengi,aanzishe thread yake ya hayo mambo anayosema kuwa hayajadiliwi...anategea watu wamuanzishie uzi...TCRA hawana habari na hayo mambo wao wanakuja na matamko tu ooh ku-expose namba na mawasiliano ya watu ni kosa la kisheria ila watu wanafunga BTS bila shaka...its like mtu unakuwa forced to do roaming ukiwa UAE akati uko bongo teh teh....
 
Unajua once ukiwa na damu kitumwa. Huwezi kuipoteza damu hio so. Utumwa hauwezi kwisha kama leo utaukataa utumwa wakiarabu bado utakimbilia kwa muhindi au mzungu

Africa ina hitaji kuondoa akili za kitumwa kwanza ndio tutafute suluhisho la kudumu
 
kwa tanzania lolote linawezekana tu,hata transmitter zikifungwa magogoni ni kawaida,kwani sisi tunao wataalam? tulio nao ni wasaka ajira tu! wengine tulikwisha salim amri tu wewe je?
 
Tusi shikwe na jazba. Mbona tunamuonea huyu mwarabi, kafanya dhambi gani. Kwa kweli hizi ni siasa mbovu, ilimradi tupate sababu ya kuisakama ccm na serekali. mbona hatuwasakami wazungu wanapo pewa maeneo. kwa mfano mbona wale Wa Australia walio ibobea mlima wa kabulo pale kiwira, mpaka kuusababisha ule mradi wa kiwira kuwa hauna faida tena hatuwazungumzii.

Mradi kanyimwa Nssf ambao walikuwa tayari kuuchukuwa na mbia kutoka nje na waka Ahidi kuekeza mradi wa umeme wa 300mw. nssf ilitoa ahadi ya kulipia madeni ya serekali ya USA$30millions. Lakini Mzungu kachukua nusu ya mradi wenye makaa mengi kwa dollar 3 million. hiyo hatuioni na haisemwi. Mwarabu kafanya mengi loliondo anasumbuliwa. Au ni kwa sababu agenda ya kiwira ililetwa bungeni na Zitto kwa hivyo hapa jukwani jambo lake haliungwi mkono. Mbunge wa ileje kwanza alilisimamia jambo hili, nasikia sasa amekuwa mshauri mkubwa wa hao majangili wa kizungu.

You are really an experienced concubine of CCM! We are talking National issue here, not partisan.
 
Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."

QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!

cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba

KEY

BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)


Mkuu, Mimi nilikuwa nafanya kazi Airtel kipindi cha Nyuma (Zain), tukapata malalamiko ya kuwa watu wakiwa Loliondo wanachajiwa sh 1000 kwa dakika, tukatuma team yetu kule, kufika unakuwa unafanya roaming na Etsalat,
Watu waka rise issue kwa wakubwa, mpaka sasa hivi kila mtu kimya! nina uhakika kabisa watu wa TCRA hii issue wanaijua ni ya siku nyingi sana, na wananchi wa lile eneo wanalalamika kila siku kuhusu kufanya roaming ndani ya nchi yako
 
Duh Aisee Kumbe Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo.
Jamani tunachekwa na hawa wawekezaji, yaani wanachuma na kufanya Tanzania kama Shamba la Bibi.
Tumetoka kwenye Ukombozi wa Mtu aka Mkoloni Mweupe, sasa tunabidi tuanze ya Ukombozi wa huyu Mkoloni Mweusi.
Kwa kuanzia watuwekee Mkataba wake tuone Watanzania tunanufaika nini, ili hali Watanzania aka Wamasai wengi hawana Ardhi na mahali pa kuishi.




Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."

QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!

cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba

KEY

BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)
 
Unajua once ukiwa na damu kitumwa. Huwezi kuipoteza damu hio so. Utumwa hauwezi kwisha kama leo utaukataa utumwa wakiarabu bado utakimbilia kwa muhindi au mzungu

Africa ina hitaji kuondoa akili za kitumwa kwanza ndio tutafute suluhisho la kudumu😡
 
mkuu,

watu wanakurupuka tu humu...hawasomi na kuelewa,jamaa kaleta mambo meeeengi,aanzishe thread yake ya hayo mambo anayosema kuwa hayajadiliwi...anategea watu wamuanzishie uzi...TCRA hawana habari na hayo mambo wao wanakuja na matamko tu ooh ku-expose namba na mawasiliano ya watu ni kosa la kisheria ila watu wanafunga BTS bila shaka...its like mtu unakuwa forced to do roaming ukiwa UAE akati uko bongo teh teh....

Mkuu, Nakushukuru sana kwa Kunielewa.
Swali, ni Je, Huyo Mwarabu, Frequency alipewa na nani??katoka nzao huko Kwao???
 
Back
Top Bottom