Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,242
- 10,227
Mwarabu wa Loliondo amefunga BTS pale Loliondo ambayo ina Sattelite Link to Kwao Huko (Kwenye Network ya Kwao)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."
QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!
cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba
KEY
BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)
Watu wakipita yale Maeneo, simu zao zina detect kuwa pale kuna Best signal so zina Trigger Roaming.
" Ni kama Vile unapotua Armsterdam na Kuwasha Simu yako"
Thats Why watu wanapata zile Announecement za "Welcome to UAE..."
QUESTIONS..
Huyu Mwarabu BTS yake ina Transimit kwa Frequency zipi????
TCRA, nani amempa huyu Mwarabu Hizo Rights???
Nani amempa huyu Mwarabu Frequency na Kufanya huu upuuzi Tanzania
Je ana Licence za Kufunga hiyo BTS???
Je wa Tanzania wanapo Roam kwenye coveregae ya ile BTS, si wanakuwa charged Katika Roaming Rates???
Roaming rates si ziko Juu!!!!!, hamuoni kuwa watu wa wanapo roam na Kufanya Transaction e.g calling wanakuwa wanaingia extra cost za Roaming wakiwa Nchini mwao???
Au TCRA hawalijui Hili au wanalijua na Wanajua kuwa Wa Tanzania Hawajui lolote katika hili so ni Style ya Funika Kombe!!!!!!
cc Pasco , John Mnyika , Zitto , Mfikishie Huu Ujumbe Rafiki Yako Makamba
KEY
BTS: Base Transiver Station === Radio ambazo zina uwezo wa Ku tuma na Kupokea Mawasilianao kati ya Simu na Mnara (Ziko kwenye Mnara wa Simu)