Mwanza yarindima mabomu kwenye kesi ya Wenje

Mwanza yarindima mabomu kwenye kesi ya Wenje

Hebu kayasene hata Kyle Zanzibar utakuwa umesaidia sana. Hoja zenye nguvu kwa Zanzibar, hata.
akisema hayo,atakula vilungu mpaka akojoe mkojo wa kijani na njano!
Mkuu unaaza na wapi shule alizo somea, ikiwezekana hata jina la primary na mahala hizo degree ni za kitu gani na mwaka na hata ikiwezekana pia na uraia
ahahaha,sidhani kama atarudi tena huyu!
 
Aisee wananchi wasio na sukari majumbani mwao badala wafikirie njia ya kupata pesa.....wanapeleka matumbo yao mbele..ngoja police wawatie adabu KWA UPUUZI WENU WENYEWE
Hao polisi wenyewe ni chadema,sema basi tu.
 
Kwenye mikutano waliyofanya ya Baraza kuu aliwataka watu kwenda kwa wingi (kimaandamano!!!!!???) kesi zao za ubunge zinaposikilizwa.Nafikiri lengo ni kuwatisha mahakimu wakiona ma-umati watishike na pia ni njia ya kuanzisha maandamano ya vurugu wakati wa kwenda mahakamani au wakati wa kutoka mahakamani au wakiwa eneo la mahakama.

Hiyo ni kuonyesha mshikamano tu! hakubadilishi mwelekeo na mtiririko wa facts za kesi; Wenje atashinda au kushindwa kesi; kutokana na vielelezo vilivyopo na si vinginevyo.
 
Katika kiswahili kuna kitu kinaitwa Sarufi....hayo ni makosa madogo madogo tu ya ki sarufi.....kuona si lazima niende kule .

Kwa hiyo unashuhudia uongo???Ungekuwa na busara kama ungekaa kimya.Kwani kushuhudia uongo ni dhambi
 
Mahakama ina vyumba vingi ambako kesi nyingine zinakuwa zinaendelea.Haiwi hiyo kesi yao tu.Wakiweka vipaza sauti watasumbua wengine.Pia ukumbuke kuna wafanyakazi wengine wa mahakama Kama mahakimu wakisoma ofisini mwao na kuandika maamuzi ya kesi mbali mbali pia kuna wanaokuwa kazini wakichapa hukumu,na kazi zingine za kiofisi.Huwezi kugezuza mahakama kwa kufunga maspika kama uko mkutano wa hadhara wa CHADEMA.Eneo la mahakama ni maofisi pia yenye watu wanaotakiwa kufanya kazi zao kwa utulivu bila kelele wakiwemo mawakili wa kujitegemea nk

Pia kuna sheria ya kuzuia kelele.Hizo kelele za maspika zitakuwa public nuisance kwa watu wengine na si kazi ya mahakama kuleta public nuisance kwa majirani,wapita njia nk

Na kuna sheria zinazotaka mahakama pawe mahali pa utulivu sio makelele kama kilabuni
mkuu,nitajie jina la:
a)sheria ya kuzuia kelele mahakamani na sura yake
b)sheria ya kutaka mahakamani pawe mahali pa utulivu!
Ukifanya hvyo utakuwa umelitendea haki jukwaa hili tukufu
 
mkuu,nitajie jina la:
a)sheria ya kuzuia kelele mahakamani na sura yake
b)sheria ya kutaka mahakamani pawe mahali pa utulivu!
Ukifanya hvyo utakuwa umelitendea haki jukwaa hili tukufu

Sheria mojawapo inayokataza kelele mahakamani ni sheria ya usalama barabarani.Unakatazwa kupiga honi maeneo ya mahakama

Lakini pia mahakama zenyewe haziruhusu kuwa na uhakika zaidi nenda kapige kelele wakudake watakupa kifungu watakachokuhukumia utawasaidia na wengine kukijua hicho kifungu.
 
Wakati wa sasa za kiharakati za mapambano umekwisha. Huu ni wakati wa kujenga hoja zenye nguvu na faida kwa nchi. Vurugu mwisho wa siku huwagharimu wananchi wa kawaida.

Kwa namna maelezo yalivyo, anayefanya vurugu ni wananchi kwenda kusikiliza kesi au ni polisi wanaopiga mabomu? Sheria ipi inawakata wananchi kusikiliza kesi ya Wenje? Wananchi hao wamefanya fujo gani? Ni vizuri kuwa rational. Polisi wanapofanya fujo sema polisi wanfanya fujo.
 
Sheria mojawapo inayokataza kelele mahakamani ni sheria ya usalama barabarani.Unakatazwa kupiga honi maeneo ya mahakama

Lakini pia mahakama zenyewe haziruhusu kuwa na uhakika zaidi nenda kapige kelele wakudake watakupa kifungu watakachokuhukumia utawasaidia na wengine kukijua hicho kifungu.


Hao wafuasi wa chadema masikio yao yanapiga kelele, kwamba wakienda kusikiliza kesi basi watasababisha kelele mhakamani? Sijaelewa vizuri.
 
Mahakama ina vyumba vingi ambako kesi nyingine zinakuwa zinaendelea.Haiwi hiyo kesi yao tu.Wakiweka vipaza sauti watasumbua wengine.Pia ukumbuke kuna wafanyakazi wengine wa mahakama Kama mahakimu wakisoma ofisini mwao na kuandika maamuzi ya kesi mbali mbali pia kuna wanaokuwa kazini wakichapa hukumu,na kazi zingine za kiofisi.Huwezi kugezuza mahakama kwa kufunga maspika kama uko mkutano wa hadhara wa CHADEMA.Eneo la mahakama ni maofisi pia yenye watu wanaotakiwa kufanya kazi zao kwa utulivu bila kelele wakiwemo mawakili wa kujitegemea nk

Pia kuna sheria ya kuzuia kelele.Hizo kelele za maspika zitakuwa public nuisance kwa watu wengine na si kazi ya mahakama kuleta public nuisance kwa majirani,wapita njia nk

Na kuna sheria zinazotaka mahakama pawe mahali pa utulivu sio makelele kama kilabuni

hakuna sharia kama hizo

Ila kuna sharia kuwa kesi zinazogusa Public Interest vipaza sauti viwekwe kwa ajili ya wahusika kufuatilia

Pia utambue kuwa Mahakama sio mara ya kwanza kuweka vipaza sauti kwa ajili ya wananchi kufuatilia kesi

Ilishafanyika hivyo wakati wa kesi ya Ubunge ya Kamanda Lema mahakama kuu kanda ya Arusha
 
kesi ni moja ya Openi Hearings na kama Closed Hearings huwa inatamkwa mapemaaa kwamba usikilizwaji wake ni wa siri. Kusema waje watu wa idadi fulani tu ni ngumu. Mtu anatoka nyumbani kwake akijua yuko peke yake lakini wanajikuta pale mahakamani wapo eg 3,000 sasa nini kifanyike....nafikiri sio mabomu ya machozi na virungu...waongozwe kwa amani wapite wapi na wakae/wasimame wapi.
 
akisema hayo,atakula vilungu mpaka akojoe mkojo wa kijani na njano!

ahahaha,sidhani kama atarudi tena huyu!
Tatizo mnapo ona tunajibizana utumbo hapa jf mnafikiri wote ni watumishi wa idara moja,kwa taarifa hapa jamvini kila mtu na professional yake
 
Hiyo ni kuonyesha mshikamano tu! hakubadilishi mwelekeo na mtiririko wa facts za kesi; Wenje atashinda au kushindwa kesi; kutokana na vielelezo vilivyopo na si vinginevyo.
Mkuu huo ndio ukweli mtupu
 
Huyu
Anaitwa kingwangala amesema naye alishiriki mgomo una jingine
 

Attachments

  • 1457960192402.jpg
    1457960192402.jpg
    55.6 KB · Views: 39
mkuu,nitajie jina la:
a)sheria ya kuzuia kelele mahakamani na sura yake
b)sheria ya kutaka mahakamani pawe mahali pa utulivu!
Ukifanya hvyo utakuwa umelitendea haki jukwaa hili tukufu
Loooooo,mkuu hapo jamaa atatoka mkuku na haonekani tena hapa jukwaani maana ghorofani hakuna kitu
 
Kwa namna maelezo yalivyo, anayefanya vurugu ni wananchi kwenda kusikiliza kesi au ni polisi wanaopiga mabomu? Sheria ipi inawakata wananchi kusikiliza kesi ya Wenje? Wananchi hao wamefanya fujo gani? Ni vizuri kuwa rational. Polisi wanapofanya fujo sema polisi wanfanya fujo.
Mkuu wana ccm walisha nyweshwa maji ya bendera ya ccm
 
hakuna sharia kama hizo

Ila kuna sharia kuwa kesi zinazogusa Public Interest vipaza sauti viwekwe kwa ajili ya wahusika kufuatilia

Pia utambue kuwa Mahakama sio mara ya kwanza kuweka vipaza sauti kwa ajili ya wananchi kufuatilia kesi

Ilishafanyika hivyo wakati wa kesi ya Ubunge ya Kamanda Lema mahakama kuu kanda ya Arusha
Mkuu msamehe huyo kilaza maana siasa ndio ameanza kuzifuatilia baada ya magufuri kuingia ikulu
 
Aagh! Chama cha vurugu tumekizoea, hakuna mwenye akili timamu huko chadema.
Bila nguvu mambo hayataenda.. Kama mmeamua kutumia jeshi basi nasisi tunatumia nguvu ya umma.
Hata paka unapomnyanyasa sana mwishowe anavimba kijulikane moja.
Shida yenu mnaona kumiliki vyombo vyote vya dola basi ndo kuwakandamiza watu hata kama wana haki.
Bila kuchapana hakuna haki tutaisubiri sana.
 
Back
Top Bottom