Mwanza yarindima mabomu kwenye kesi ya Wenje

Mwanza yarindima mabomu kwenye kesi ya Wenje

Kuna hakimu ndani ya Biblia aliwahi mhukumu Yesu asulubiwe kwa kuogopa umati wa watu na akasulubiwa kweli
Hivi MTU wa aina yako unaweza kuwa umewahi kusoma hata biblia?
Wanasoma biblia huishia kuwa na hekima imekuwaje wewe ni kinyume chake?
Bwana akuangazie nuru za uso wake na ubadilike na kuijua kweli ili uwe unanena yaliyo ya haki na kuuweka mbali uongo,uzandiki na unafiki.
 
Magufuli ajenge Chama siasa ni sawa na dini si rahisi mtu kuhama. Wananchi unaweza kuwafanyia mema lakini kwenye kura wakakuchinja
 
Mkuu unaaza na wapi shule alizo somea, ikiwezekana hata jina la primary na mahala hizo degree ni za kitu gani na mwaka na hata ikiwezekana pia na uraia

Kwenye jukwaa la wasomi kama Jamii forums ukisema mimi msomi huanzii kueleza vishule vya msingi na sekondary ulivosoma.Ukisema mtu nina digrii mbili inaeleweka kuwa huko msingi na sekondary ulishapita!!! Kisha unaenda moja kwa moja kueleza MAJOR WORKS ULIZOFANYA ambazo ni verifiable na PUBLIC KAMA HIZO NAFASI ALIZOSHIKA KINANA

Uzoefu wa uongozi wa KATIBU MKUU WA CHADEMA NDANI YA CHADEMA NA SERIKALINI NI SIFURI.Uanachama tu kajiunga 2013 ana miaka miwili tu kwenye uanachama eti tayari afaa kuwa katibu mkuu!!! Mumeacha wakongwe wenye CV zilizokakamaa mnaenda tafuta katibu mkuu wa majaribio.Huyo alitakiwa asiwe hata naibu katibu mkuu
 
Jamaa mleta mada muongo sisi turiyopo hapa mza mbona hatuyasikia na tuko town au mwanza ziko mbili
 
Polisi nao watumie busara siyo nguvu tu wakati wote na mahali popote. Mahakama nao hekima wamekosa kwani wangeweza kutumia vipasa sauti ili kuwafanya waliohudhuria hapo wasikie kinachoendelea na siyo kila kesi inaendeshwa faragha. Wote wawe wabunifu kupunguza jazba ili kuwaepusha wengine na vurugu za kuonyeshana umwamba. Mbona polisi na mahakama hawajifunzi kutoka nchi za wenzetu kufanya maamuzi ya kiungwana?
 
mahakama iweke vipaza sauti

Mahakama ina vyumba vingi ambako kesi nyingine zinakuwa zinaendelea.Haiwi hiyo kesi yao tu.Wakiweka vipaza sauti watasumbua wengine.Pia ukumbuke kuna wafanyakazi wengine wa mahakama Kama mahakimu wakisoma ofisini mwao na kuandika maamuzi ya kesi mbali mbali pia kuna wanaokuwa kazini wakichapa hukumu,na kazi zingine za kiofisi.Huwezi kugezuza mahakama kwa kufunga maspika kama uko mkutano wa hadhara wa CHADEMA.Eneo la mahakama ni maofisi pia yenye watu wanaotakiwa kufanya kazi zao kwa utulivu bila kelele wakiwemo mawakili wa kujitegemea nk

Pia kuna sheria ya kuzuia kelele.Hizo kelele za maspika zitakuwa public nuisance kwa watu wengine na si kazi ya mahakama kuleta public nuisance kwa majirani,wapita njia nk

Na kuna sheria zinazotaka mahakama pawe mahali pa utulivu sio makelele kama kilabuni
 
Habari mvunjiko ni kwamba Mwanza imezizima.Ni kesi ya kupigania kumpigania mbunge wa wanyonge Mh.Ezekiel Wenje.

Biashara zimesimama, mabomu yanarindima.

Wafuasi wa CHADEMA wanakatazwa kusikiliza kesi.

Yupo Kamanda Mbowe,Katibu Mkuu Msomi Dr.Mashinji na makamanda wengine.
Mwanza hakuna mabomu mzee, mimi muda huu nipo makoroboi hapa kwenye takataka, naelekea stand ya daladala za nyasaka.
 
Jamaa mleta mada muongo sisi turiyopo hapa mza mbona hatuyasikia na tuko town au mwanza ziko mbili

Kama mleta maada kadanganya Moderator mtendeeni haki mpigeni BAN.HII HABARI KAMA KADANGANYA INA MAANA ALIKUWA NA LENGO LA KULETA UCHOCHEZI KATIKA JAMII AMBALO SIO LENGO LA JAMII FORUMS.
 
Tumeomba mtuwekee cv ya katibu mkuu wa ccm kinana tuione,msione aibu kuweni waungwana
Mmawia usituchoshe kuhojihoji CV za katibu 'wetu'. Nakupa chache tuu kwanza.
1. Ni katibu mkuu pekee duniani kutokea nchi nyingine na kwenda nyingine kuongoza chama Twa-wala (Somalia-TZ)
2. Ni wa kipekee kupata kufanya biashara ile yakule serengeti na hakuna anayemgusa ukiacha vijikelele vya mtu anaitwa Msigwa.
Need more?
 
Abdulahaman Kinana katibu mkuu wa CCM ndiye katibu mkuu bora kuliko wa vyama vyote vya siasa Tanzania.

sifa

1 Ni msomi akiwa na digrii mbili ikiwemo Masters ya uongozi wa umma aliyopata toka chuo bora kuliko vyote duniani cha Havard kilichoko Marekani
2.Amekuwa kiongozi wa vijana wa chama kwa miaka mingi hivyo mambo ya vijana anayajua vizuri
3.Alikuwa ni kanali JWTZ hivyo jeshi analijua vizuri sana
4.Alikuwa ni mwalimu wa Siasa jeshini hivyo siasa za kijeshi anazijua
5.Alikuwa Mwalimu wa siasa chuo cha CHAMA kivukoni akifundisha na kupika na kuwaandaa wanasiasa wa CHAMA HIVYO MWALIMU WA siasa kushika ukatibu mkuu saizi yake
6.Alikuwa naibu waziri wa mambo ya nchi za nje hivyo siasa za kimataifa hazimpigi chenga
7.Alikuwa naibu waziri wa ulinzi
8.Alikuwa mbunge wa Tanzania na Afrika Mashariki hivyo siasa za mabungeni anazijua
9.Alikuwa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki hivyo anajua siasa za kuendesha mabunge
10.Alikuwa kampeni meneja wa kampeni za urais CCM zilizofanikisha kuingiza wagombea urais,wabunge na madiwani wa CCM madarakani

Ukiangalia sifa Kinana alizonazo huwezi kulinganisha na makatibu wakuu wa vyama vingine ambao wengine hawana uzoefu wowote wa uongozi ndani ya vyama au serikali zaidi ya kuwa wamewahi fanya kazi ya kugawa vidonge vya panadol mahospitalini.

Huyo katibu mkuu wa CHADEMA uanachama tu ana miaka miwili,Uzoefu wa uongozi ndani ya Chama na serikali SIFURI.

Hujamalizia working experience pia kapitia tanapa alikuwa docta wa tembo na kuhakikisha wanakuwa salama muda wote....
 
Back
Top Bottom