Mwanza yarindima mabomu kwenye kesi ya Wenje

Mwanza yarindima mabomu kwenye kesi ya Wenje

Kwenye mikutano waliyofanya ya Baraza kuu aliwataka watu kwenda kwa wingi (kimaandamano!!!!!???) kesi zao za ubunge zinaposikilizwa.Nafikiri lengo ni kuwatisha mahakimu wakiona ma-umati watishike na pia ni njia ya kuanzisha maandamano ya vurugu wakati wa kwenda mahakamani au wakati wa kutoka mahakamani au wakiwa eneo la mahakama.
serious?? Eti lengo ni kuwatisha mahakimu. Hiv aliyekuambia hakimu anatishwa na wingi wa watu nani? Acha kukurupuka
 
serious??Hiv aliyekuambia hakimu anatishwa na wingi wa watu nani? Acha kukurupuka

Kuna hakimu ndani ya Biblia aliwahi mhukumu Yesu asulubiwe kwa kuogopa umati wa watu na akasulubiwa kweli
 
Habari mvunjiko ni kwamba Mwanza imezizima.Ni kesi ya kupigania kumpigania mbunge wa wanyonge Mh.Ezekiel Wenje.

Biashara zimesimama, mabomu yanarindima.

Wafuasi wa CHADEMA wanakatazwa kusikiliza kesi.

Yupo Kamanda Mbowe,Katibu Mkuu Msomi Dr.Mashinji na makamanda wengine.
Wameshindwa kumpata mrithi sahihi wa kuvaa viatu vya Dr. Slaa wanaleta vurugu, wapingwe tu
 
Hizi vurugu walizipanga.Wanataka kutumia kinachoitwa nguvu ya umma kutishia majaji na mahakimu wasitoe maamuzi ya kesi wakiwa huru.Wanaleta vitisho kwenye uhuru wa mahakama ili atetemeke kutoa hukumu kisa eti mwenyekiti wa CHADEMA taifa na katibu mkuu na umati wa watu wenye hasira wako mbele yao.
Lizaboni huyu ana umri gani ktk vijana wako?
 
Habari mvunjiko ni kwamba Mwanza imezizima.Ni kesi ya kupigania kumpigania mbunge wa wanyonge Mh.Ezekiel Wenje.

Biashara zimesimama, mabomu yanarindima.

Wafuasi wa CHADEMA wanakatazwa kusikiliza kesi.

Yupo Kamanda Mbowe,Katibu Mkuu Msomi Dr.Mashinji na makamanda wengine.
Mkuu hizo habari ni za kweli kwani nina ndugu yangu hapo mwanza ndio amenitonya kuwa hali siyo shwali maana washaona kuwa mbunge wao wa kichina mabula ndio amesha bwagwa
 
Dah
Ongeza nyama kwenye uzi mkuu.

CCM walitupoka ushindi wetu hivi hivi, naona sasa wananchi mmeamua kuwachezesha segere
Mkuu kwa hali halisi hata ikiwaje huyo mbunge wao wa kichina lazima anatemeshwa huo ubunge
 
Aisee wananchi wasio na sukari majumbani mwao badala wafikirie njia ya kupata pesa.....wanapeleka matumbo yao mbele..ngoja police wawatie adabu KWA UPUUZI WENU WENYEWE
 
Kwenye mikutano waliyofanya ya Baraza kuu aliwataka watu kwenda kwa wingi (kimaandamano!!!!!???) kesi zao za ubunge zinaposikilizwa.Nafikiri lengo ni kuwatisha mahakimu wakiona ma-umati watishike na pia ni njia ya kuanzisha maandamano ya vurugu wakati wa kwenda mahakamani au wakati wa kutoka mahakamani au wakiwa eneo la mahakama.
Lakini uvccm wakiandamana kwenda kumsifu magu kwa kutoa hotuba mnayo iona mzuri hakuna shida na hayo siyo maandamano?hii nchi ni yetu sote hakuna mwenye leseni ya kuishi au kuitawla tanzania
 
serious?? Eti lengo ni kuwatisha mahakimu. Hiv aliyekuambia hakimu anatishwa na wingi wa watu nani? Acha kukurupuka
Alafu nimetizama wengi ni wale wavuta bhangi na wanywa viroba ....sidhani hata walipiga kura.
 
Lissu alishasema yeye kama wakili wa wenje akishindwa hiyo kesi anavua nyadhifa zote ndanI ya chama na ubunge

Acha uwongo.Nyie wanachama wa Chama cha Mbweha mnapenda sana kuwawekea watu maneno midomoni mwao.Lissu siyo Wakili wa Wenje.Acha kuropoka
 
Back
Top Bottom