babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,115
- 16,026
Si mkaseme pale mbere,rais mwenyewe hajui km ni rais,anakodoa tu km kobeJiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote...
Hata wanokijua watakuambia "ni nyepesi jifunze taratibu" wamemaliza....Mi jaman nasikia tu hicho kitu..ila hata sijui inaliwaga na ugali au maziwa fresh
Mkuu mie nimeisha nunua coin zangu, sasa nyie wa mjini ndio nawashangaa sanaaa 😀😀😀😀😀Yaani. Naonaga tu ila ata ABC sina.
Tunahitaji mwandishi mzuri atudadavulie. Sasa mimi nipo Dar sijui, hawa wakina Holy Man wa uko Namtumbo itakuaje.
Yaan fedha zinanunuliwa?Bitcoin ni fedha za ma freemason
Hata wanokijua watakuambia "ni nyepesi jifunze taratibu" wamemaliza....
Hahahaha..yan tabu tupuHata wanokijua watakuambia "ni nyepesi jifunze taratibu" wamemaliza....
Cha ajabu hata hatujui hizo bitcoins ni nini....
Hivo hivo tutafika tu.
Ndio hivoYaan fedha zinanunuliwa?