babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 12,894
- 15,636
Si mkaseme pale mbere,rais mwenyewe hajui km ni rais,anakodoa tu km kobeJiji la Mwanza likijiandaa kumpokea Mheshimiwa Rais Mama yetu SSH ndio uongozi umekurupuka tangu juzi kuzibua mitaro, kuondoa taka na mchanga, kichekesho zaidi ni Tanesco kufunga bulb za LED za matumizi ya kawaida kwenye nguzo za barabarani anakopitia Mheshimiwa Rais wetu kumhadaa jiji huwa lipo hivyo siku zote...