Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekusoma, ndio akili za kimaskini.Mkuu usihangaike na hawa vichaa, huko kwao siku Magu amefariki walishangilia utazani goli limefungwa
Sio wenzetu hawa, watanzania hatunaga chuki za hivi.
Kaka Wasukuma mmetukanwa mno kuanzia JPM apumzishwe, poleni sana.Karibu Mwanza mama, nafikili umeona watanzania wa mwanza tusivyo na makuu
Tunamsapoti yeyote, hatuna siasa za chuki, tunauenzi utanzania.
Suluhisho siyo kushusha. Suluhisho ni kuondoa sababu inayofanya watu kupigwa faini. Unajua wewe ni kama unaafiki kuwa faini ni jambo zuri hivyo ishushwe ili watu walipe vizuri. Faini kazi yake kubwa ni kufanya makosa yasijirudie na watu wasitende makosa. Nchii hii tunawaza kama walevi wa mnazi.Acha ubinafsi wewe. Hivi hali iliokuwa barabarani unaijua mkuu. Either gari Huna au wewe mwenzetu 30,000 ni ndogo sana kwamba hata kila wiki ukikatiwa mkeka mmoja sio hoja kwako.
Asingeshusha hizo machafuko yangeweza kutokea. Hali ilikua mbaya sana huku barabarani.
Anataka wasigande hapo hapo kwenye hatua ya kutumwa kila siku. Wawe na wao wanasogea hatua nyingine ya juu zaidi.Sasa kwani bodaboda siyo Watanzania?
Binti kiziwi hatakiwi kunifanyia hivi aisee, kamji kadogo tu haka halafu hatuonani...!?😀Hahahaaa sawa sawa mkuu. Nna dadaangu binti kiziwi shemeji yake Yustino yuko bahi japokua nasikia wanahama kwa fujo kurudi dar nae atakimbia tu kwa jinsi alivyokua ni Pisi Kidimbwi sio Pisi Pestana/Bambalaga/Waswanu
Mwendazake mwenyewe hakuwa mtz piaMkuu usihangaike na hawa vichaa, huko kwao siku Magu amefariki walishangilia utazani goli limefungwa
Sio wenzetu hawa, watanzania hatunaga chuki za hivi.
Sawa.Mwendazake mwenyewe hakuwa mtz pia