Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,957
Serikali imekifungia chuo cha Mwanza university wanafunzi wadai pesa za takribani million 73 ambapo uongozi ulidai zitahamishiwa Bugando..
Kama mnavojua Watanzania njaa sana hiki chuo kuna wanafunzi wamepachikwa tu not qualified to study medicine hukoo Bugando watapokelewa na nani?
It's better wakapewa pesa zao wafanye mambo mengine.
Hilo eneo linamkosi St. Mary's walipakimbia na hawa tena wamepakimbia.
Chuo kipo Nyamhongolo
Kama mnavojua Watanzania njaa sana hiki chuo kuna wanafunzi wamepachikwa tu not qualified to study medicine hukoo Bugando watapokelewa na nani?
It's better wakapewa pesa zao wafanye mambo mengine.
Hilo eneo linamkosi St. Mary's walipakimbia na hawa tena wamepakimbia.
Chuo kipo Nyamhongolo