shame on you (magamba yamekulemaza na kuugandisha ubongo wako) amkahuyu atavuna aibu ya mwaka. watu washabadilika baada ya kugundua kwamba hiki ni chama cha watu wenye vurugu
shame on you (magamba yamekulemaza na kuugandisha ubongo wako) amkahuyu atavuna aibu ya mwaka. watu washabadilika baada ya kugundua kwamba hiki ni chama cha watu wenye vurugu
Atakuwa na lipi la kumshauri Lissu wakati Magamba yamewalemea yako kiunoni hayavuki wala nini.....toa suluhisho mkuu, unaweza kumshauri cha kufanya.....
Hi wadau! Kiwanja kinauzwa kipo Bahari beach kina sqm 6644. Kina hati na document zote za muhimu. Dalali haitajiki KABISA. Kwa mawasiliano zaidi piga 0773 679767 0r 0756 679767.
kama ulikuwepo, nimeshaliona hilo siku nyingi sana
Rejao, masaa yanayoongezwa huku ni ya profession ya wahasibu siyo ya vibaraka wa mafisadi wa chukua chako mapema. Sijui kama unafanana na avatar yako ili kesho nikutafute. na kama upo NBAA basi una sifa zote za kuwa struck off the NBAA register.Kufika Mwanza ni kitendo cha lisaa limoja na nusu tu frm dar. Nipo huku naongeza masaa ya fani yangu. Si unajua tena mambo ya requirements?
Mwanza pako salama kabisa
Comrade Mzee,
Unajua Tindu Lissu anashangaza sana kwa nini hizo posho anazopekea Mwanza na gharama wanazotumia kuandaa maandamano..
Kwa nini wasinunue magunia mahindi na mahragwe wakagawe jimboni kwake Singida watu wanakufa njaa..
Hivi ili hawalioni hawa magwanda
Huyu mze sifa zitamponza. Matatizo ya jimbo lake anayatatua muda gani?..
2015 sio mbali.
Hahaha...kila mahali mimi nipo. Muulize Mr Maneno kuhusu rejao.Rejao, masaa yanayoongezwa huku ni ya prefession ya wahasibu siyo ya vibaraka wa mafisadi wa chukua chako mapema. Sijui kama unafanana na avatar yako ili kesho nikutafute. na kama upo NBAA basi una sifa zote za kuwa struck off the NBAA register.
Ninavyo wajua CDM lazima watakwenda kuwachukuwa wale wavuvi wa Dagaa pale mwaloni na wahuni wa kabuoro kule milimani waje kujaza kale kauwanja ka mpira, na wale machinga wanaoshinda hapo.Hizo ndiyo tabia zenu Magamba Cdm hatunaga mambo ya kishamba kama hayo!
Comrade Mzee,
Unajua Tindu Lissu anashangaza sana kwa nini hizo posho anazopekea Mwanza na gharama wanazotumia kuandaa maandamano..
Kwa nini wasinunue magunia mahindi na mahragwe wakagawe jimboni kwake Singida watu wanakufa njaa..
Hivi ili hawalioni hawa magwanda
Unanifananisha na Ritz..
Nipo Mwanza
Nipo mwanza..but nipo kiproffessional zaidi. Ngoja nimalizane na hapa PPF then niende kusikiliza hizo pumba za huyu jamaa. Sijui ataanzisha tena maandamano!!
Kesho mapema kabisa nitakuwa hapo...ni maeneo gani? Kisasa, Nkuhungu, Area A,C,au D, Chaduru, uhindini, chang'ombe au mazengo?Unaipenda sana kazi yako mkuu!! Mkuu nina choo changu kimejaa,naomba upitie hapa Dodoma wakati unarudi Dar....Maana hii proffessional ya kuzibua vyoo unaimudu sana from Dar-Mwanza lol!!
Kesho mapema kabisa nitakuwa hapo...ni maeneo gani? Kisasa, Nkuhungu, Area A,C,au D, Chaduru, uhindini, chang'ombe au mazengo?