johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,123
Sasa kama Wewe unataka Katiba mpya ni bora ukatembea na hawa Wawili mh Tundu Lisu na Dr Mdude
Mtakuja kunishukuru baadae!
Mtakuja kunishukuru baadae!
Kwa uandishi niliouna kwenye uzi wake wa mnyarwanda aliekua nae selo, hiki kitabu kitakuwa kichekesho. Mh Dr. Mdude uandishi wake hauendani na jina lakeMdude anauza chaja za simu, pia anauza kitabu chake, mpaka sasa ameshauza nakala kumi za kitabu hicho tangu akizindue miaka miwili iliyopita