Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
- Thread starter
- #41
Kwanza Bishanga mwenyewe nimepata tetesi kafikia Igombe nje ya mji , kule guest room buku 3!
Sina hakika kama ntakutana nae, kwa kua si rahisi mi kufika kule, barabara mbovu na mie gari yangu iko chini sana, sijaiwekea specer za kuinyanyua.
Acha hizo bana,mimi nilikuwa ryan hotel,lunch tilapia dinner malaika,chezeiya bilionea wewe?