Mwanza: Mabomu ya machozi Shule ya Sekondari Mwanza

Mwanza: Mabomu ya machozi Shule ya Sekondari Mwanza

huyo bwam mdogo nadhani angekuwa anajiuguza muda huu,siku hizi hata serikali inawatetea ndomana unaona wamekuwa viburi
Hii Serikali ya hapa kazi tuuu naona inaelekea kufeli vitu vingi. Nakuhakikishia katika mazingira kama haya Elimu inakufa rasmi.

Yaani nidhamu ya wanafunzi ni sufuri kabisa siku hizi. Nashangaa Serikali hawataki kujifunza kwenye Seminari za katoliki. Siyo kwamba kule wanafundisha malaika la hasha. Kule nidhamu ndiyo key of the success, yaani hata mwanafunzi akisema "nyok.o" ni dismisal case,

Serikali ingejikita zaid katika kushape nidhamu za wanafunzi hata kwa kuomba mjadala wa wazi na walimu.

Kama wataendelea kushupaza shingo zao kwa kusahau kurejesha nidhamu kwa wanafunzi na kuboresha maslahi ya waalimu basi shingo zao zitavunjika na watatumbukia kwenye korongo na Tanzania ya Viwanda itabakia kwenye makaratasi.

KIDUDU
 
Hii Serikali ya hapa kazi tuuu naona inaelekea kufeli vitu vingi. Nakuhakikishia katika mazingira kama haya Elimu inakufa rasmi.

Yaani nidhamu ya wanafunzi ni sufuri kabisa siku hizi. Nashangaa Serikali hawataki kujifunza kwenye Seminari za katoliki. Siyo kwamba kule wanafundisha malaika la hasha. Kule nidhamu ndiyo key of the success, yaani hata mwanafunzi akisema "nyok.o" ni dismisal case,

Serikali ingejikita zaid katika kushape nidhamu za wanafunzi hata kwa kuomba mjadala wa wazi na walimu.

Kama wataendelea kushupaza shingo zao kwa kusahau kurejesha nidhamu kwa wanafunzi na kuboresha maslahi ya waalimu basi shingo zao zitavunjika na watatumbukia kwenye korongo na Tanzania ya Viwanda itabakia kwenye makaratasi.

KIDUDU
Kiongozi umezungumza ukweli mtupu,sema serikali yetu kwa sasa ni sikio la kufa
 
Je alipaswa kumchania mwanafunzi hiyo modo????

Ye ameumia nini mwanafunzi kuvaa modo???

Siku nyingine hawa walimu wawe na Adabu.
,,,niliwahi kumkaba mwalimu siku moja nilimpiga kichwa japo nilifukuzwa shule...
Lakini mwalimu yule bado ana kidiploma namzidi hela na Elimu
muelewa hawezi dharau mwl hata siku moja ,alafu pesa sio ishu nidhamu ndo mambo yote
 
Elimu ya mtu haipimwi kwa cheti bali kwa yale yamtokayo kinywani mwake ,wewe huna elimu yeyote ndugu wala usitudanganye humu eti una elimu ,kwa akili zako fyatu hizi labda kama ulifoji vyeti maana mawazo uliyo nayo hayawezi kutoka kwenye kinywa cha mtu hata aliye dika fm4 ya dv.0 wewe ni zaid ya mjinga na sitafuta hii kauli wala kuomba radhi,na nina sisitiza tena WEWE HUJASOMA NA HUNA ELIMU YEYOTE UNGA MJINGA NA UJINGA UNAO BADO.
Uandishi wako tu unadhihirisha wazi kuwa wewe ni Ant-Book.
 
Uandishi wako tu unadhihirisha wazi kuwa wewe ni Ant-Book.
Hiyo haita badili maana halisi kwamba unajifanya mjuaji wakati hakuna ulijualo zaid ya kutafuta justification katika bandiko hili, msomi hupimwa kwa yanayo mtok kinywani na sio kuutangazia umma usomi wako kwa maneno ya mtandaoni.
 
Wakuacha unaandika ujinga gani huu.. sasa kupiga walimu ni sifa ya kujivunia mbele ya watu? hivi nyie watoto mkivuta bangi mnajiona wa maana sana..
 
ivi ukivaa modo ndo unapata div 5 au?
na usipovaa nahisi div 1 ipo nje nje eti?
nachojua ni kwamba 90% ya wanafunzi wapole mashuleni ni vi.....l..za
acha ujinga wako wewe, hiyo smart phone yako bora uigawe tu uliinunua kimakosa kwa maana hujui kuitumia. Unapokuwa unazungumza kitu zingatia vitu muhimu vilivyowekwa kisheria kwa ajili ya kuweka nidhamu ya pamoja. Mfano kwa mwanafunzi sheria za shule zipo zinaeleweka. Kwanza hebu nikuulize shule uliyosoma kulikuwa na kipengele kinachoruhusu kuvaa modo?. Kama kipo ujue ulisomea chini ya mpapai. Na kama hakipo basi kubaliana na mimi kuwa mkichwani mwako kuna vitu kibao unapungukiwa navyo. Hata nchi inaongozwa kwa sheria na ukikiuka unafungwa. Leo wew unatetea wavunja sheria hawa wakilelewa namna hii kesho itakuwa mzigo atakuja kukutandika hata wewe dingi yake. Usituletee ushabiki wa kijinga, kuwa na akili ya kutambua makosa siyo kutetea tu bila kufahamu impact ya kesho. Mi siyo mwlalimu ila huu ujinga sipendezwi nao. Nasimama kama mzazi na watoto wa namna hii nashauri wafukuzwe shule ili wakapambane na wahuni wenzao wanaowatetea kama huyu jamaa. Hii tabia ni mbaya mno na kama haijakomeshwa itakuwa kama utamaduni wa kawaida kwa mwanafunzi kufanya chochote atakacho bila hofu yoyote. Kutakuwa na shule tena au vigenge vya kutunishiana misuli?.
 
Tatizo sio wanafunzi hata walimu wenyewe wanavaa modo we unategemea nini? Hapa serikali inatakiwa kudeal na wote maana si wanafunzi wala walimu wote hali moja
Protocol lazima izingatiwe, walimu wanawajibishwa na bosi wao na wanafunzi wanawajibishwa na walimu. Mwalimu kukosea sio kuhalalisha kosa kwa mwanafunzi kisa mwalimu kafanya hivyo.
Mfano mzazi wa kiume anapomtukana mzazi wa kike haina maana mtoto nawe uige. Unatakiwa uwe na nidhamu.
 
Hiyo haita badili maana halisi kwamba unajifanya mjuaji wakati hakuna ulijualo zaid ya kutafuta justification katika bandiko hili, msomi hupimwa kwa yanayo mtok kinywani na sio kuutangazia umma usomi wako kwa maneno ya mtandaoni.
Rudi shule ukajifunze kiswahili fasaha.
 
Hivi walimu mnapigwaje kizembe na hawa watoto washe***nzi wasio na nidhamu.??
 
Chanzo mwanafunzi kavaa modo...
Mwalimu kaikata....So
Mwanafunzi akaanza kumshambulia mwalim...ugomvi umekuwa mkubwa hadi polisi wakaitwa
Wanaume wa Dar Wa Nne sawa Na Mwanafunzi mmoja Wa Mwanza Secondary... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kipindi muhimu kama hichi ambacho unakaribia kwenye mtihani unatakiwa uwe na nidhamu ya hali ya Juu. Anyway,mtihani Jumanne siyo Jumatatu!
Ndo Mwalimu Akudhalilishe Kwa Kukuchania nguo
 
Misosi ni tatizo...... Mwanafunzi ana Afya kushinda Mwalimu
We nawe unaandika bila kufikiria. We hujiulizi kwanini jeshi la polisi litumie mabomu ya machozi?. Sasa mwalimu mmoja angeweza vipi kupambana na wanafunzi wote. Mwanza sec unaifahamu au unajiandikia tu. Siku nyingine tumia akili, umejinadi kuwa we ni msomi sana sasa sijui umesomea wapi shule yako maana hata jambo dogo unashindwa kulieewa. Kifupi we siyo msomi ni mhuni kama wahuni wengine.
 
Back
Top Bottom