Mwanza: Mabomu ya machozi Shule ya Sekondari Mwanza

Mwanza: Mabomu ya machozi Shule ya Sekondari Mwanza

kaikata kwenye magoti...km kaptula hivi.
Mwanafunzi alikuwa ameivaa ,,hajaivua.
Sema hasira zimempanda baada ya mwalimu kumaliza zoezi lake ...
Afu sio yeye pekee alokatiwa...ni wengi
Ukute mwanafunz alijua atachapwa yataisha,sasa kumktatia modo yake tena lazima iwe balaa..serkali haitoi matamko tena
 
Sasa uyo mwalimu kwanini awachanie hizo nguo ange wafukuza waende makwao wakabadili ndipo warudi kuendelea na masomo!

-Nyerere-
Nyie kila kitu mnaongea mnavyojua nyie,wakipigwa mnadai wanaonewa,wasipopigwa mnadai wanaendekezwa,huko nyumban unakodai waende si ndio walikotoka nazo,amekata ili huyo mzaz kama ataona inauma aje na mtoto wake...KIUFUPI TUWAPE MOYO WALIMU WANAKAZI KUBWA SANA HUKO MASHULENI WATOTO KWA SASA HAKUNA HATA TONE LA NIDHAMU..badala ya jamii kuwaunga mkono tunawabeza na kuwakatisha tamaa,wakikataa tamaa...mim nawaambia kizaz cha miaka hata mitano tu ni shida nakuambieni
 
Sasa uyo mwalimu kwanini awachanie hizo nguo ange wafukuza waende makwao wakabadili ndipo warudi kuendelea na masomo!

-Nyerere-
Mh hujawahi kuwa mwalimu wewe na hujui tabia za wanafunzi huwezi kumtreat mwanafunzi hivyo usemavyo na shule ikawa salama na ukienda hivyo na wanafunzi kwa hakika shule haita enda kabisa .
 
Kizazi mtambuka hiki ni kazi kweli kukilea....sasa wanavaa "modo" shuleni wakati amebakiza siku chache kumaliza shule ili iweje ?? wameshindwa kusubiri hizo siku chache wakavaa huko mtaani waendako? Tunahitaji nusra ya M/Mungu kwa kweli...
Just show off,aonekane yeye yu tofauti na wenzie na kuwa walimu hawamuwezi
 
Kumbe bado kuna walimu wana hangaika na wanafunzi.........walimu jitambueni basi yaliyo wakuta wenzenu mbeya bado hamjajifunza
 
Ukute mwanafunz alijua atachapwa yataisha,sasa kumktatia modo yake tena lazima iwe balaa..serkali haitoi matamko tena
Na hicho kiburi cha wanafunzi kimetengenezwa na serikali kupitia mawaziri wasio fanya filtering kabla ndio maana kwa sasa mwananfunzi hata ukimwambia arudi nyumbani kwa utomvu wa nidhamu anakugomea na kesho utamkuta darasani
 
Je alipaswa kumchania mwanafunzi hiyo modo????

Ye ameumia nini mwanafunzi kuvaa modo???

Siku nyingine hawa walimu wawe na Adabu.
,,,niliwahi kumkaba mwalimu siku moja nilimpiga kichwa japo nilifukuzwa shule...
Lakini mwalimu yule bado ana kidiploma namzidi hela na Elimu
We mjinga tu,huna hata aibu kutangaza udhaifu wa kiivo...

Hujui hata umhim wa umiform;huenda hata maana yake hujui....sasa unahisi uko!!!
***
Swine
 
Join instructions za shule zinamtaka mwanafunzi ashone suruali ya kawaida isiwe modo,iwe na rinda/mikunjo miwili juu,viatu vya kamba sasa mwanafunzi unaenda shule umevaa kibongo fleva..yani huyo dogo ilibidi arudi na boksa siyo kuchana usawa wa magoti
Tena mwl alikuwa muungwana hajamchapa zaidi kamkatia kwa maaana ya kuwa hio isiwe nguo ya kuja nayo shule tena
 
Hivi ninyi vialimu huwa mnamatatizo gani au stress za maisha halafu sikuishia hapo tu nilimtia mwanae mimba..

Sikia mpunguze vihelehele na walimu mtapigwa tu maana hakuna namna na Mimi nawaambia wanafunzi wawapige tu.
Huyo mwl alikuwa bwege kukutana na bwege wewe
 
Bado jirani yake pamba secondary sijui itaibuka na lipi..!!
 
Je alipaswa kumchania mwanafunzi hiyo modo????

Ye ameumia nini mwanafunzi kuvaa modo???

Siku nyingine hawa walimu wawe na Adabu.
,,,niliwahi kumkaba mwalimu siku moja nilimpiga kichwa japo nilifukuzwa shule...
Lakini mwalimu yule bado ana kidiploma namzidi hela na Elimu
Huwa mara nyingi nakuona umjinga usiye chuja mambo' hata serikali huwa inachoma mali zisizo faa kwa matumizi kwa sehemu husika bila kujali hasara kwa mmiliki kwa kosa la kukiuka utaratibu, lakini pia hubomoa nyumba zilizo jengwa zilizo jengwa kinyume na utaratibu bila kujali gharama aliyo ingia mmiliki wa nyumba hizo , tumia akili ingawa hilo kwako limekiwa gumu sana mara kadhaa, na ninadha ungali mtoto wewe,
 
Tena mwl alikuwa muungwana hajamchapa zaidi kamkatia kwa maaana ya kuwa hio isiwe nguo ya kuja nayo shule tena
Watoto wa siku hizi wanaraha sana yani unasoma unafanya ujinga mwalimu anakuonya unaleta ununda kipindi tunasoma sisi huyu angekuwa bwenini au nyumbani anajiuguza akirudi shule anakuwa kwenye mstari mnyoofu akija kumaliza lazima ampe shukrani mwalimu wake mana bila hivyo angepotea
 
Wakuacha said:
Je mwanafunzi anayetegemeaa kumaliza mtihani anapovaa modo je huyo mwalimu ye kinamuuma nini?!???
Nidhamu ya mwanafunzi haingalii mwanafunzi huyo anamaliza lini au kabakiza mda gani kumaliza na kama ingekuwa hivyo basi hao wanao maliza wangeachwa wafanye maasi yeyote watakayo huku wakiachwa hata wakibaka waachwe ,wakifanya mapenzi hadharani waachwe ,wakinyoa kiduku darasani waachwe ,mabint wakiingia na skin body au tight darasana waachwe kwa kigezo eti wanamaliza fom4!!!! Wewe kweli una matatizo ya akili mada kama hizi zipo nje kabisa ya uwezo wako kifikra yaani zimekuzidi umri bora ukae kimya, kumbuka kidato cha nne ndio role models wa walio chini, kwa hakika wewe ungali mtoto sana na huwa ni mtetezi wa chama, sasa kwa akili hizi kweli ni haki yako kutumika kisiasa,
 
Huwa mara nyingi nakuona umjinga usiye chuja mambo' hata serikali huwa inachoma mali zisizo faa kwa matumizi kwa sehemu husika bila kujali hasara kwa mmiliki kwa kosa la kukiuka utaratibu, lakini pia hubomoa nyumba zilizo jengwa zilizo jengwa kinyume na utaratibu bila kujali gharama aliyo ingia mmiliki wa nyumba hizo , tumia akili ingawa hilo kwako limekiwa gumu sana mara kadhaa, na ninadha ungali mtoto wewe,
Je mwalimu alikiwa na ulazima Wa kumchania modo yake.... Usikute mwalimu mwenyewe ana diploma ya ualimu tu....
 
Back
Top Bottom