Mwanza: Mabomu ya machozi Shule ya Sekondari Mwanza

Mwanza: Mabomu ya machozi Shule ya Sekondari Mwanza

Habari za mchana wakuu...

Kulikuwa na mabomu yakirindima katika shule ya Mwanza Sekondari mchana huu...

Je kunani hapo? Mlioko mjini mtujuze, mie leo sijakanyaga mjini napalilia kabustani kangu ka mboga mboga.

Wapi mkuu Tutor, Marire na wengineo
Chanzo mwanafunzi kavaa modo...
Mwalimu kaikata....So
Mwanafunzi akaanza kumshambulia mwalim...ugomvi umekuwa mkubwa hadi polisi wakaitwa
 
Mwanafunzi mwenyewe form four...anaanza mtihani j3
Hawa wanafunzi wa sikuhizi shida sana. Nidhamu hamna. Nakumbuka enzi hizo sisi ukivaa kiatu kisichoruhusiwa unapokonywa kimoja. Hakuna vurumai kesho nidhamu kama kawaida.
Nadhani ile case ya Mbeya day imeathiri, yule mwanafunzi walivyompotray kama ameonewa sana ndio imewavimbisha vichwa hawa wanafunzi.
Hii haikubaliki kabisa.
 
Chanzo mwanafunzi kavaa modo...
Mwalimu kaikata....So
Mwanafunzi akaanza kumshambulia mwalim...ugomvi umekuwa mkubwa hadi polisi wakaitwa

Je, tunaambiwa kuwa mwanafunzi kavaa modo kisha mwalimum akaikata. je mwanafunzi alibaki uchi???????

Au aliivua ndipo akaikata?????
 
Kipindi muhimu kama hichi ambacho unakaribia kwenye mtihani unatakiwa uwe na nidhamu ya hali ya Juu. Anyway,mtihani Jumanne siyo Jumatatu!
tukiwa bwaloni tukiosha madawati, (sekondari mojawapo kati ya 2 zilizokumbwa na madhara makubwa ya tetemeko) classmates 5 walikamatwa 'wanakula bhange' siku moja kabla ya mtihani. so sad
 
Je, tunaambiwa kuwa mwanafunzi kavaa modo kisha mwalimum akaikata. je mwanafunzi alibaki uchi???????

Au aliivua ndipo akaikata?????
kaikata kwenye magoti...km kaptula hivi.
Mwanafunzi alikuwa ameivaa ,,hajaivua.
Sema hasira zimempanda baada ya mwalimu kumaliza zoezi lake ...
Afu sio yeye pekee alokatiwa...ni wengi
 
Je, tunaambiwa kuwa mwanafunzi kavaa modo kisha mwalimum akaikata. je mwanafunzi alibaki uchi???????

Au aliivua ndipo akaikata?????
Huwa wanaichana kuanzia magotini kuelekea chini! Hivyo hakubaki uchi
 
Habari za mchana wakuu...

Kulikuwa na mabomu yakirindima katika shule ya Mwanza Sekondari mchana huu...

Je kunani hapo? Mlioko mjini mtujuze, mie leo sijakanyaga mjini napalilia kabustani kangu ka mboga mboga.

Wapi mkuu Tutor, Marire na wengineo

Ipo kwa wapi niende nkacheki! Nielekeze
 
Back
Top Bottom