Wakuacha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 2,046
- 1,340
Malizia hivi Mimi ni muhuni niliyesoma.We nawe unaandika bila kufikiria. We hujiulizi kwanini jeshi la polisi litumie mabomu ya machozi?. Sasa mwalimu mmoja angeweza vipi kupambana na wanafunzi wote. Mwanza sec unaifahamu au unajiandikia tu. Siku nyingine tumia akili, umejinadi kuwa we ni msomi sana sasa sijui umesomea wapi shule yako maana hata jambo dogo unashindwa kulieewa. Kifupi we siyo msomi ni mhuni kama wahuni wengine.