Ngiama makanda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,082
- 1,793
Bila shaka mtoa mada utakuwa mjaluo, ndo mnakuwaga na upumbavu huo wa kujifanya unazijua sana mali za mwenzio kisa eti ni kabila moja, ..upumbavu kabisa
ni hatariDuh!
Mbna una concentrate na mtandao wa melo, hujafikiria kutafuta wako bro ?Ushamba ni kukoncetrate na Mali za mwanaume mwenzangu badala ya kutafuta zangu
Ina mana mama ake ni msukuma, jamaa ana jiwe bnah sahv town anavimba na Cadillac anatishaUsimsagie kunguni Zongi ni Mjaluo kutoka Kenya ila Mama yake ni Msukuma kwa hiyo yuko ujombani nyumbani!
Hapo rwagasore na kaluta kuna watu wa hardware wanaghorofa zaidi ya 2...zongi anajipenda toka anaanza biashara yake,..hapo wako wengi wenye maghorofa vijana,kuna mwita,lee kweka,john texas na wengineoIna mana mama ake ni msukuma, jamaa ana jiwe bnah sahv town anavimba na Cadillac anatisha
Texas pia ana ghorofa rwagasore, ni lipi bro. Yap Zongii anajipenda sema alivyoshusha zile ghorofa mbili nilikubali jamaa ana zaid ya ambition sana !!!Hapo rwagasore na kaluta kuna watu wa hardware wanaghorofa zaidi ya 2...zongi anajipenda toka anaanza biashara yake,..hapo wako wengi wenye maghorofa vijana,kuna mwita,lee kweka,john texas na wengineo
Now you are talkingWatoto wa mjini wanasema huyo kijana mjaluo ni front man wa Raila Odinga , kwamba ni money launderer wa Raila Odinga
mkuu ukisema kwa vijana takuelewaSio tu Mwanza tuseme Kanda ya Ziwa hii kuna tajiri kumzidi huyu jamaa anaemiliki kampuni ya utengenezaji mabomba?
Kununua Sahara mjini kati sio mchezo na kujenga ukiamka tu unaona ziwa Victoria kwako sio mchezo, kuendesha gari kali za kimarekani sio mchezo kabisa
Huyu kijana anatoa inspiration kubwa sana kwa vijana
Ujinga unalishwa wewe unae chukulia serious kila post na ingali hatujuani humu ndani! Usipende kuchulia serious kila post wengine wanapost ujinga kujifurahisha siku ipite.Mnalishana ujinga sana humu
Hizi ndizo mada wanazoziweza masikini.Sio tu Mwanza tuseme Kanda ya Ziwa hii kuna tajiri kumzidi huyu jamaa anaemiliki kampuni ya utengenezaji mabomba?
Kununua Sahara mjini kati sio mchezo na kujenga ukiamka tu unaona ziwa Victoria kwako sio mchezo, kuendesha gari kali za kimarekani sio mchezo kabisa
Huyu kijana anatoa inspiration kubwa sana kwa vijana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣NYie mnaoshobokea watu huwa mnaolewa bila hata mali.