Mwanza kuna tajiri kumzidi Zongii?

Mwanza kuna tajiri kumzidi Zongii?

Sio tu Mwanza tuseme Kanda ya Ziwa hii kuna tajiri kumzidi huyu jamaa anaemiliki kampuni ya utengenezaji mabomba?

Kununua Sahara mjini kati sio mchezo na kujenga ukiamka tu unaona ziwa Victoria kwako sio mchezo, kuendesha gari kali za kimarekani sio mchezo kabisa

Huyu kijana anatoa inspiration kubwa sana kwa vijana
Umelogwa Si bure wew Mali ya zongii yoote haifikii thaman Nyerere road plza je uwanja wa Tanganyika thaman yak Ni Zaidi ya billion 10 sas zongii anamali hiyoo
 
Sio tu Mwanza tuseme Kanda ya Ziwa hii kuna tajiri kumzidi huyu jamaa anaemiliki kampuni ya utengenezaji mabomba?

Kununua Sahara mjini kati sio mchezo na kujenga ukiamka tu unaona ziwa Victoria kwako sio mchezo, kuendesha gari kali za kimarekani sio mchezo kabisa

Huyu kijana anatoa inspiration kubwa sana kwa vijana
Ni kweli Zongii ni tajiri, tena ana "roho" nzuri. Anapenda kusaidia wengine, hasa wahitaji. Nawafahamu watu kadhaa walionufaika na misaada yake.

Hata hivyo sina uhakika kama ndiye tajiri Namba moja Mwanza. Mwanza ina matajiri wengine wengi tu: Gachuma, Mwanza Huduma, n.k.
 
Back
Top Bottom