Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
[emoji3][emoji3][emoji3] yani afikie Nyamhongolo ile ya uswahilini kabisa halafu aulizie Brown BreadMwamba alifikia kwa mme wa shangazi yake kule Isebanda halafu anataka brown bread. Kule haipo mkuu bado kuna wenyeji wengi
Ukiona hivyo, jua wagonjwa wengi.HUU MKATE UNAWAFAA WENYE KISUKARI IRINGA IPO SANA SUPERMARKETS
Mshamba sana huyu jamaa[emoji3][emoji3][emoji3] yani afikie Nyamhongolo ile ya uswahilini kabisa halafu aulizie Brown Bread
Tangu nasoma Primary ndiyo tulikuwa tunapelekwa pale na Dingi week end au Salma Cone.Baada ya kutoka Mwanza ikawa mara chache nikija naenda pale.Nina muda mrefu sijaenda tena nikifika Mwanza.Nazurura viwanja vingine tuHuo ni miaka nenda
Jaribu ROYAL OVEN mkuuJuzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Kwa ushamba sifahamu kwakweli.Lakini Ni washamba
Wape ukweli hawa wakuja wenzetuMwamba kukosa mkate wa rangi ya udongo kajikuta binge la mjanjaaaaaaa watu waliotoka mkoani wakaja kuishi dar siku wakirudi mkoani kwao wanajionaga kama wametoka ulaya acheni ushamba.Mi ni mtoto wa town make nimezaliwa Ilala Amana home ni hapo mtaa wa Songea na kilwa.Ila nyie watu wa mikoani acheni kudharau mikoani kwenu kisa mmeishi dar mkiwa wakubwa.
Kwani umeambiwa. Mwanza ni ya Kinga?Kinachonishangaza ni jinsi gani hamuheshimu "culture "ya sehemu husika, Huwezi kuondoa culture ya kimasai Arusha Kama ambavyo, Huwezi kuiondoa culture ya kisukuma mwanza.
Hata Dubai kuna culture ya waarabu haiwafanyi kuwa washamba.
Ndo maana kuna wanaume wa Dar (wala chipsi na mikate) na wanaume wa kanda ya ziwa (hapa ni ugali wa ulezi+udaga na samaki Hai)Hapa dar hiyo mikate wanauza hadi wanaotembeza mtaani
battle limeanzaEndelea kujitekenya na kujifariji lakini ukweli mchungu ni kwamba Arusha mpaka Yesu anarudi haitakuja kuifikia Mwanza kamwe. Pole sana mwenye meno ya rangi kama kashata.
Nyasaka watu wanajenga balaa.Hiyo ni mitaa ya kishua nyumbani kwao na Lau Masha hiyo kwa Dar ongelea Oysterbay au Masaki.Pia kuna Bwiru Uzunguni na Isamilo.Kuna maeneo ya Nyasaka kule ni kama Mbweni au Bunju A kwa hapa Dar na maeneo mengi sana,sijaongelea hapo Nyakato,Nyegezi,Mwananchi huko kuna maeneo ya kishua zaidi pia.
Anza na waghill. Sehem zingine utazijua zaidi ukifika..Ok .... Kwamba Mwanza bado sana hata mikate ya brown hakuna!.😳
Mwisho wa mwaka huu asubuhi sana naamkia Mwanza! ....Wenyeji wa mji ule walioko humu, naomba uzoefu wenu, kuhusu nyumba za wageni, maeneo salama ya kuvinjari, mambo ya kula kula na kumwagilia roho.😀
Natanguliza shukurani.
Misungwi sio mjini sasa...Nilikuwa nimekaa sehemu local sana mkuu....misungwi unapafahamu mkuu, kale kamji kamji nilikaona ni ka kifara kuliko hata geita mjini
Kule pa kishamba sana,kwenye migahawa hakuna ugali.[emoji38][emoji38]Ngoja kwanza : hivi nikienda miami ntapata ugali?