luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,205
- 1,654
Safi sana mkuu lengo lake ndio hilo kujifariji [emoji1787]Endelea kujitekenya na kujifariji lakini ukweli mchungu ni kwamba Arusha mpaka Yesu anarudi haitakuja kuifikia Mwanza kamwe. Pole sana mwenye meno ya rangi kama kashata.
Atakua punguani bila shaka tusiangaike nae.Je maendeleo ya mji yanapimwa kwa kukosa Aina fulani ya chakula? Unataka kusema kila chakula kinachopatikana Dar ni lazima kipatikane Mwanza?
Ungeenda Uturn pale mtaa w mviringo ipo supermarket ya maanaJuzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Ondoa shaka Mkuu,Mwanza utakaa na kufurahia maisha vizuri sana,wenyeji ni wakalimu sana,rate ya uhalifu ni ndogo so utatembea kila mahari bila kashi kashi kabisa.Viwanja vya kuvinjari vipo kina The Cask na wenzie unakula bata hadi majogoo.Sehemu ya kufikia inategemea na bajeti yako tu kuna sehemu ya $150 per night na kuna sehemu ya Chumba 20,000-35,000.Ni wewe tu na bajeti yako.Ok .... Kwamba Mwanza bado sana hata mikate ya brown hakuna!.π³
Mwisho wa mwaka huu asubuhi sana naamkia Mwanza! ....Wenyeji wa mji ule walioko humu, naomba uzoefu wenu, kuhusu nyumba za wageni, maeneo salama ya kuvinjari, mambo ya kula kula na kumwagilia roho.π
Natanguliza shukurani.
Mimi ni mchaga nineishi mwanza kwakweli mwanza wanakula vyakula vya asiri sana ndio mana ni marijali na wenye nguvu nyingi za mwili tofaufi na arusha palipojaa mashoga.Kwa hiyo Ndio mshindie udaga? [emoji38][emoji38]
U-Turn inakimbizana na kina Shoppers.Halafu eti ukose Brown BreadUngeenda Uturn pale mtaa w mviringo ipo supermarket ya maana
Kwakweli arusha ni ka mji kadogo sana tofauti na mwanza ni city centre kubwa.Kwa lipi hasa? Mwanza imejaaa slumus juu ya mawe kuna kipi pale? Vyakula hawajui kupika unataka nini
Hata watu wake ni washamba bado compared na wa Arusha!!Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Huo ushamba umeupima Kwa vipimo ganjHata watu wake ni washamba bado compared na wa Arusha!!
Du!. Nimeipenda hiyo, usingizi kuulipia Biden 150 hapana, bora nipate viwanja vilivyochangamka hadi machweo....@Nyamizi nitakutafuta humu humu nitua Mwanza.Ondoa shaka Mkuu,Mwanza utakaa na kufurahia maisha vizuri sana,wenyeji ni wakalimu sana,rate ya uhalifu ni ndogo so utatembea kila mahari bila kashi kashi kabisa.Viwanja vya kuvinjari vipo kina The Cask na wenzie unakula bata hadi majogoo.Sehemu ya kufikia inategemea na bajeti yako tu kuna sehemu ya $150 per night na kuna sehemu ya Chumba 20,000-35,000.Ni wewe tu na bajeti yako.
Ni washamba ndio maana pamejaa wanaume mashababi tofauti na arusha palipojaa magasho wanaume wanaopumuliwa [emoji23]Hata watu wake ni washamba bado compared na wa Arusha!!
Ushamba wa Arusha upo kwy ulimbukeni wa vitu. Na kujifanya wahuni. Kila muarusha anajifanya muhuni mvuta bangeHata watu wake ni washamba bado compared na wa Arusha!!
Du! π€ Nikusanya data!.Mimi nilitaka kununua Pound sterling ilinichukua siku tatu kuzipata,Mwanza naipenda sana ukiondoa issue ndogondogo kama za Brown bread Mwanza patamu alafu bata bei poaaaaa tu.
Sasa kwa akili yako unaona mwanza nalo ni jiji la maana?πππ......juzi nilikuwa sehemu nimekaa nikaagiza maji ya kunywa madogo bei mimi nafahamu ni 500 .....nikaagiza maji ya moto eti naambiwa bei ni sh 600 nilishangaa sanaπ€π€π€ maji ya moto nauziwa 600 kwa lipi hasaJuzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Kwa hiyo wa Arusha ndiyo wajanja? Hii hii Arusha ambayo nimeishi 8yrs au kuna Arusha nyingine.Tena tunaishi Njiro unaonekana wa kishua kumbe michosho tupu.Ipeni Mwanza heshima yake,wanaweza kuwa wanakandamiza kiswahili but Mwanza kuna watu wana exposure kubwa wanasafiri kila mara tu na route zao ni Mwanza Nairobi kisha hao nnje ya Nchi na Dar hawapajui na wala hawahitaji kupajua.Nyinyi wa Arusha kaeni na ujanja wenu wa kuvuta bangi ndiyo mnachoweza.Hata watu wake ni washamba bado compared na wa Arusha!!
Yani kuvuta bangi ndiyo wanajiona wajanja [emoji3][emoji3]Ushamba wa Arusha upo kwy ulimbukeni wa vitu. Na kujifanya wahuni. Kila muarusha anajifanya muhuni mvuta bange
Acha Ushamba, huwezi uliza jiji Zima la mwanza. Mwanza hawakai wasukuma pekee Yao ni jiji la kimataifa wewe kumuuliza huyo mshamba wako unaona umeuliza jiji Zima..Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Sasa wewe unalalamika kwakuwa ulienda sehemu si yako,ulipaswa kwenda sehemu inayoendana na bajeti yako Mkuu.Hata Dar beer local inauzwa 1500-2000 lakini kuna sehemu inauzwa 9,000.Ni wewe tu unataka kwenda wapi.Wallet yako ndiyo ilipaswa ikuongoze.Siyo una pesa ya mawazo halafu unataka kwenda sehemu za wenye nazo utaishia kulalamika hata tofauti ya shs 100 tu [emoji3][emoji3][emoji3]Sasa kwa akili yako unaona mwanza nalo ni jiji la maana?[emoji16][emoji16][emoji16]......juzi nilikuwa sehemu nimekaa nikaagiza maji ya kunywa madogo bei mimi nafahamu ni 500 .....nikaagiza maji ya moto eti naambiwa bei ni sh 600 nilishangaa sana[emoji848][emoji848][emoji848] maji ya moto nauziwa 600 kwa lipi hasa
Du!... Kumbe Bugarika nako ni noma? π€ π³Hapa ndipo tumejua huyu alikuwa Mwanza ya mitaa ya Bugarika,Mabatini au Igogo,hata hizo supermarket ndogo ndogo tu hakukanyaga.Vi super market vya Wahindi kibao vina Browm breads,hapo hujawaweka wakongwe kina U Turn Supermarket wanaouza hadi Whysky or Brand kwa zaidi ya 1M kwa chupa aging over 25yrs,ndiyo ije kuwa Brown Breads.