Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mengi yamejengwa kipindi cha Nyerere mwinyi
hayapo kisasa
kidogo kwa sasa ndio naona majengo ya kisasa yanajengwa all in all mwanza ndio the second largest city in Tz....

Arusha wasipoangalia wanazidiwa na Dodoma maana nayo inakuja vizuri si mchezo.....
 
Wana JF

Sina lengo laku pambanisha Mwanza Vs Arusha ila kiukweli nashindwa kuelewa nini kimeisibu Mwanza.

Mwaka 2002 Nikiwa shuleni Mwanza nilijiona kama nipo Dar ndogo.Mwanza ilikuwa motoMambo yalikwenda faster mji ulikua unakua kwa kasi sana

Nilikuwa nikiamini kufikia 2015 jiji la Mwanza litakuwa la mfano kwa ukuaji wake cha ajabu na kushangaza Arusha ndio inakuja faster huku Mwanza ikidorola kama mtoto mwenye utapia mlo kulikoni.

Tatizo nini Mwanza?Kama kuongozwa imeongozwa na CDM muda mzuri tu kwanini Haipai kwa kasi ilee!?

Nashindwa hata kulinganisha Mwanza VS Arusha maana Arusha kwasasa ipo moto vibaya kama hali itaendelea kuwa hivi tutegemee Arusha kuwa ndio jiji la pili kwa ukubwa Mwanza inakuja kupitwa na Dodoma itanikera sana.
Weka Viashiria/vigezo Vitano (5) Ulivyotumia kuona/kujaji kwamba Mwanza Inadorora ktk Ukuaji wake....
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Baada ya kupiga hela za makinikia huku kanda ya ziwa niliamua niende zangu kaskazin nikatulie kidogo huku nikiponda raha, nilikuwa na mtoto mkali sana mrefu mweupe

Safari yangu ilianza nikapanda bombadia ya anko magu had kia, Baada ya kufika kia nilichukua usafir wa moja kwa moja had arusha, baada ya kufika arusha sikuuamin macho yangu

Kimkoa ni kidogo sana na watu wake hawana uelewa kwa baadh ya mambo ingawa wanajifanya ni watu wanaoish maisha ya kuigiza igiza

Unatembea kilomita tano tiar umemaliza mkoa mzima siyo kama mwanza ambayo inabid utembee zaid ya kilomita 50 ndo umalize mji

Kwa kifup arusha inabebwa na promo haina kitu kabisa

Level za arusha ni iringa na moro na dodoma

Kulinganisha kimkoa cha arusha na jiji kubwa kama mwanza ni kuchuma zambi za bure na ni tiket ya kwenda moton moja kwa moja

Mwanza is the best


NANYUPU
 
Naona hii Changamsha kijiwe tu

Ref Geneva of Afrika ni wapi?

Maajabu ya dunia Ngorongoro Crater

Shifting sand/sand dunes

Nyayo za mtu wa kale.

Arusha National park

Tarangire nationa park

Ngorongoro conservation Area

Hot Springs

Super highway

Umetoka Arusha mjini mpaka Ngorongoro wewe

Umetoka Arusha mjini mpaka Monduli

Umetoka Arusha mjini mpaka kwa Mrombo

Ila wote sisi Watanzania na mwl Nyerere alisema tuwaogope sana watu wanaotaka kutugawa kwa vigezo vya makabila,kimkoa...nk
 
Naona hii Changamsha kijiwe tu

Ref Geneva of Afrika ni wapi?

Maajabu ya dunia Ngorongoro Crater

Shifting sand/sand dunes

Nyayo za mtu wa kale.

Arusha National park

Tarangire nationa park

Ngorongoro conservation Area

Hot Springs

Super highway

Umetoka Arusha mjini mpaka Ngorongoro wewe

Umetoka Arusha mjini mpaka Monduli

Umetoka Arusha mjini mpaka kwa Mrombo

Ila wote sisi Watanzania na mwl Nyerere alisema tuwaogope sana watu wanaotaka kutugawa kwa vigezo vya makabila,kimkoa...nk
HUJAELEWA POINT NA BANDIKO LA JAMAA.
....
Amezungumzia mji/jiji siyo mkoa kwa ujumla.
Alafu kuitwa jina (mfano Ronaldo) siyo 'eti' unakuwa kama yeye, (HAIWEZEKANI)
....
hivo bac kuitwa African Geneva siyo 'eti' ndiyo iwe bora au imekaribia kufanana na Geneva ya UKWELI (HAIWEZEKANI)
...
Kiuhalisia (mtu yeyote) kama umetembea mikoa mingine kuna kitu unaweza kujifunza, WHY?
....
Mkoa wa Arusha sawa una vivutio ILA haupo kimpangilio na mengine ni sawa na haliyoandika kijana wangu Beira Baby Boy
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu

Baada ya kupiga hela za makinikia huku kanda ya ziwa niliamua niende zangu kaskazin nikatulie kidogo huku nikiponda raha, nilikuwa na mtoto mkali sana mrefu mweupe

Safari yangu ilianza nikapanda bombadia ya anko magu had kia, Baada ya kufika kia nilichukua usafir wa moja kwa moja had arusha, baada ya kufika arusha sikuuamin macho yangu

Kimkoa ni kidogo sana na watu wake hawana uelewa kwa baadh ya mambo ingawa wanajifanya ni watu wanaoish maisha ya kuigiza igiza

Unatembea kilomita tano tiar umemaliza mkoa mzima siyo kama mwanza ambayo inabid utembee zaid ya kilomita 50 ndo umalize mji

Kwa kifup arusha inabebwa na promo haina kitu kabisa

Level za arusha ni iringa na moro na dodoma

Kulinganisha kimkoa cha arusha na jiji kubwa kama mwanza ni kuchuma zambi za bure na ni tiket ya kwenda moton moja kwa moja

Mwanza is the best


NANYUPU
Vipi Mbeya ulitembelea?
 
Hivii hako kautafiti chako mchwara umefanya kwa muda ganii..
Kifupi ukija naakili zako za Usukumanii..kamwe maisha yako hadi ufe utokaa kuuwelewa Jiji La Arusha..

Japo naheshimu mawazo yako..but Ukiwa kama mwanaume acha kuchenjua hoja kama bint wa chuo..
 
Back
Top Bottom