Wee mburula na bozozo kweli...vilaza na wafoji vyeti utawajua tu!Hujitambui
limesha buma hilo
Mbona daa matata wapo lakini inakua mkuuSasa kama Mameya walikuwa Mabula na Matata , unategemea nini ?
Ausha hata Dodoma inaizidi sembuse Mwanza?Wana JF
Sina lengo laku pambanisha Mwanza Vs Arusha ila kiukweli nashindwa kuelewa nini kimeisibu Mwanza.
Mwaka 2002 Nikiwa shuleni Mwanza nilijiona kama nipo Dar ndogo.Mwanza ilikuwa motoMambo yalikwenda faster mji ulikua unakua kwa kasi sana
Nilikuwa nikiamini kufikia 2015 jiji la Mwanza litakuwa la mfano kwa ukuaji wake cha ajabu na kushangaza Arusha ndio inakuja faster huku Mwanza ikidorola kama mtoto mwenye utapia mlo kulikoni.
Tatizo nini Mwanza?Kama kuongozwa imeongozwa na CDM muda mzuri tu kwanini Haipai kwa kasi ilee!?
Nashindwa hata kulinganisha Mwanza VS Arusha maana Arusha kwasasa ipo moto vibaya kama hali itaendelea kuwa hivi tutegemee Arusha kuwa ndio jiji la pili kwa ukubwa Mwanza inakuja kupitwa na Dodoma itanikera sana.
Upimwe akili sio bureNipo Mwanza yaani hakuna kitu kabisa na sielewi zilitumika criteria gani kuupa hadhi ya Jiji huu Mkoa. Mjini kati tuu kuna nyumba kibao za mbavu za mbwa tena za kutisha mno,wananchi wake washamba sana,hiace zimechoka vibaya mno hakuna hata coaster za wasafiri,pyuuu.
Kwani kariakoo nyumba za mbavu za mbwa hazipo? Unapolinganisha miji au majiji unatumia vigezo vipi?Nipo Mwanza yaani hakuna kitu kabisa na sielewi zilitumika criteria gani kuupa hadhi ya Jiji huu Mkoa. Mjini kati tuu kuna nyumba kibao za mbavu za mbwa tena za kutisha mno,wananchi wake washamba sana,hiace zimechoka vibaya mno hakuna hata coaster za wasafiri,pyuuu.
Hahaha hii sasa DharauTena muda si mrefu Kigoma itaipiku Mwanza kwa kila kitu.
Arusha majengo mengi ni MahotelArusha kwa majengo ya kisasa imeipiku mnza mbali sana.....thou ni Mji mdogo kwa ukubwa......
But mwanza ina majengo ya kawaida sana ukilinganisha na Arusha thou mji umetanuka sana mwanza ni kubwa kuliko arusha.....
ya kama nilivyosema hapo juu boss..... sema ndio hivyo tu majengo ya mwanzo ya kawaida sana hayana mvuto at all...Arusha majengo mengi ni Mahotel
Na kwasababu ya Utalii kanda ile
lakini Ukubwa wa mji na idadi ya Majengo
Mwanza ipo juu