Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Kwenye suala la njiro ni mtaa wa kawaida tu ukilinganisha na buswelu,msiseme Njiro PPF pale ni Olorieni na si Njiro(Engutoto).
And by the way jiji zima la arusha eti limepimwa njiro tu!!kote huko sakina sijui kijenge,sombetini,mbauda,n.k ni squatter tu.
Wakiona hali ya hewa ya ubaridi, wageni kadhaa,ganja nzuri na maghorofa mawili matatu ya nssf wanaona ni kama uswisi eti.Wakitaka kwenda beach wanaenda duluti hahaha wakipelekwa Hapo Tunza tu sijui watasema wako Ibiza.
Mwenyeji wa Arusha wewe du!
 
Hapo unawazungumzia wenyeji wanaokunya ziwani kisa hawana vyoo, miundombinu hafifu kiasi kwamba mvua ikinyesha ni majanga tupu, maji shida japokuwa wapo karibu na ziwa, wavuta bangi wanaodeki lami
Acha dharau bwana
 
Kweli manake mara sijui dodoma versus moshi sasa arusha versus mwanza sasa tulioko huku jorodom tutashindanishwa na nani?tunajisikia unyonge sana!Aaaagh!
Hehehe umenifurahisha kweli du,!
 
Mleta uzi nahic amechanganywa na yale majengo marefu alio zindua mkulu siku ile..Kaa mwanza tuliza hakili tembea afu ndo urudi hapa tena....
 
Back
Top Bottom