Hizo hapo data katika hilo jedwali kuna jamaa mmoja ambaye nimeamua kuacha kubishana nae sababu ni mchovu hajui anachobisha...
Hizo data hapo juu kwa hoja yake ni kwamba zimepangwa kulingana na maendeleo ya mji, ambapo zipo katika NBS, sasa labda kama unaweza ukamjibia maana yeye hawezi...
Katika hizo data naona Arusha imepitwa na Dar es salaam, Kilimanjaro, Ruvuma na Tanga...
Je kwa maendeleo kwa kutumia huo huo mfano wake je anaweza akatuambia hiyo mikoa mitatu inaizidi Arusha kwa maendeleo na kwa ukubwa wa mji...?!
ninauliza hivyo kutokana na "argument" zake za kichovu...