Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Endeleeni kuchimba cement tu bro!! Waleteeni wanaume wajenge wavivu nyie!!

Cement 12000 kwa mfuko ila mji bado sana! Mnataka nn sasa, wakati wanaume mwanza tunanunua 19 per mfuko na bado ngoma inatembea tu kama kawa!!

Mimi niko Arusha na nina Investment zangu Mtwara.. Suala la Mtwara kuipiku Mwanza hata na Arusha liko palepale kama malengo na mipango waliyojiwekea wakiitekeleza.. Kile kiwanda cha kuassemble magari ya mjapan kitajengwa huko na bado kuna utitiri wa wawekezaji wanaelekea huko kila siku.. Kama sasahivi kodi inayokusanywa Mtwara ni nusu ya kodi ya Mwanza wakati hata hizi projects hazijaanza kuingiza pesa unafikiri zikianza si watakuwa wanakimbizana na Arusha kwa ukusanyaji?? Kama GDP per capita ya Mtwara ni 1.5 na Mwanza ni 1.7 wakati Mtwara bado hawajaanza kunufaika na gesi yao unafikiri wakianza mtawakamatia wapi??
 
Tafit zinaonyesha kuwa kati ya miji inayokuwa kwa kasi barani Afrika mwanza pia imo. Ninachokiona hapa ni mabishano ya uzuri wa majengo na si ukuaji wa miji hii. I exactly know these two cities, I have been in Arusha for three years and in mwanza too. Arusha city development is favoured by tourism na hivyo Arusha is termed as a tourism zone and mwanza as an econimic zone.
Nisiende ndani sana , kifupi arusha inaongoza kwa kuwa na luxurious hotels na siyo kama mleta maada alivyoandika, mwanza is in the frontal headline Afrika ukitaka source useme nikusaidia. Still mwanza ina manispaa mbili ilemela na nyamagana na bado wilaya za magu, missungwi na sengerema zishaunga, hii inaonyesha kukua na kupanuka kwa mji.
 
Tafit zinaonyesha kuwa kati ya miji inayokuwa kwa kasi barani Afrika mwanza pia imo. Ninachokiona hapa ni mabishano ya uzuri wa majengo na si ukuaji wa miji hii. I exactly know these two cities, I have been in Arusha for three years and in mwanza too. Arusha city development is favoured by tourism na hivyo Arusha is termed as a tourism zone and mwanza as an econimic zone.
Nisiende ndani sana , kifupi arusha inaongoza kwa kuwa na luxurious hotels na siyo kama mleta maada alivyoandika, mwanza is in the frontal headline Afrika ukitaka source useme nikusaidia. Still mwanza ina manispaa mbili ilemela na nyamagana na bado wilaya za magu, missungwi na sengerema zishaunga, hii inaonyesha kukua na kupanuka kwa mji.
Hapo umemaliza ubishi
 
Kuna mtu mwingi humu analinganisha maisha ya mwanza na Ruvuma, eti maisha ya Ruvima yapo cheap kuliko ya mwanza hahahahhh daaaaa!!!. Nafikiri ni kutokuelewa, hivi unajua maisha yalivyo magumu jijini Arusha??. naifahamu Ruvuma ngoje nikutajie baadhi ya mitaa,matarawe, lizaboni, mwembechai, mfalanyaki, majambi, majengo, matogoro, bombambili, mji mwema, ruvuma, n.k
Ofcourse life in ruvuma is as cheap as it is in mwanza.
 
Hapa unaonyesha ni kwa jinsi gani huna elimu... Picha za magorofa hazijustify chochote kwenye suala la maendeleo ya mji.. Ruvuma hakunahaku magorofa lakini kwa maisha ya mwananchi Ruvuma imewaacha sana tu

Hiyo sasa dharau Ruvuma!!
 
Me nashangaa watu kukomaa kuilinganisha Mwanza na arusha, juz nilikuwepo arusha hamna cha maana watu wa arusha Wana asili ya ubishi, wanasifia mji wao mpka basi wakati arusha hata kwa nyamagana tu bado, n mji mdogo sana, juz tu arusha ilikuwa inaitwa arusha town, ina municipal moja tu ya arusha, Mwanza zako mbili utafananisha kwel? Acheni ujinga wachaga nao kwa kusifia arusha kama kwao si musifie moshi, kabla sijafika arusha na moshi nilikuwa nadhan Ni bonge la jiji na mji kumbe upuuz mtu, moshi yenyew haion ndan kwa iringa,
 
Tafit zinaonyesha kuwa kati ya miji inayokuwa kwa kasi barani Afrika mwanza pia imo. Ninachokiona hapa ni mabishano ya uzuri wa majengo na si ukuaji wa miji hii. I exactly know these two cities, I have been in Arusha for three years and in mwanza too. Arusha city development is favoured by tourism na hivyo Arusha is termed as a tourism zone and mwanza as an econimic zone.
Nisiende ndani sana , kifupi arusha inaongoza kwa kuwa na luxurious hotels na siyo kama mleta maada alivyoandika, mwanza is in the frontal headline Afrika ukitaka source useme nikusaidia. Still mwanza ina manispaa mbili ilemela na nyamagana na bado wilaya za magu, missungwi na sengerema zishaunga, hii inaonyesha kukua na kupanuka kwa mji.

Pamoja na porojo zote hizo kodi mnalipa kidogo sana ya Kilimanjaro.. Yaani kamkoa ka Kilimanjaro mkekizidi Billion 17 pekee...
 
Kuna mtu mwingi humu analinganisha maisha ya mwanza na Ruvuma, eti maisha ya Ruvima yapo cheap kuliko ya mwanza hahahahhh daaaaa!!!. Nafikiri ni kutokuelewa, hivi unajua maisha yalivyo magumu jijini Arusha??. naifahamu Ruvuma ngoje nikutajie baadhi ya mitaa,matarawe, lizaboni, mwembechai, mfalanyaki, majambi, majengo, matogoro, bombambili, mji mwema, ruvuma, n.k
Ofcourse life in ruvuma is as cheap as it is in mwanza.

Hatuongelei ucheap tunaongelea maisha ya wananchi wa huko... Standard of living ya Ruvuma iko juu kuliko Mwanza... GDP per capita ya Ruvuma iko juu kuliko Mwanza... Hizo ni research zimefanywa na mashirika mawili tofauti na yametoa hayo majibu.. Wewe unakuja na story za mitaa na maneno ya mitaani bila any vivid document to support your words
 
Me nashangaa watu kukomaa kuilinganisha Mwanza na arusha, juz nilikuwepo arusha hamna cha maana watu wa arusha Wana asili ya ubishi, wanasifia mji wao mpka basi wakati arusha hata kwa nyamagana tu bado, n mji mdogo sana, juz tu arusha ilikuwa inaitwa arusha town, ina municipal moja tu ya arusha, Mwanza zako mbili utafananisha kwel? Acheni ujinga wachaga nao kwa kusifia arusha kama kwao si musifie moshi, kabla sijafika arusha na moshi nilikuwa nadhan Ni bonge la jiji na mji kumbe upuuz mtu, moshi yenyew haion ndan kwa iringa,

Pamoja na kelele zote hizo ila wasomi wa UN wamesema Arusha, Kilimanjaro na Dar ndio mikoa pekee Tanzania iliyoendelea pamoja na kuendelea kwa maisha binafsi ya wakazi wao kuanzia makazi na huduma mbalimbali za kijamii...

Ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi na ukubwa wa uume sio kujua shughuli..
 
Hiyo sasa dharau Ruvuma!!

Report zinasema (kutoka UN na NBS) Ruvuma wanaishi vizuri kuliko Mwanza... GDP per capita ya Ruvuma ni 2 Million wakati Mwanza ni 1.7 Million.. Maghorofa ya mashirika hayahakisi maisha bora ya wakazi wa hapo...

Watu wa Mwanza nawapa challenge moja tu.. Nitajieni mmiliki yeyote wa ghorofa hizo za Mwanza...
 
Report zinasema (kutoka UN na NBS) Ruvuma wanaishi vizuri kuliko Mwanza... GDP per capita ya Ruvuma ni 2 Million wakati Mwanza ni 1.7 Million.. Maghorofa ya mashirika hayahakisi maisha bora ya wakazi wa hapo...

Watu wa Mwanza nawapa challenge moja tu.. Nitajieni mmiliki yeyote wa ghorofa hizo za Mwanza...
Kumbee ghorofa wanazotambia zinamilikiwa na kina nan?huku arusha adi iyo mall inayojengwa ni ya mtu binafsi maghorofa kibao ya watu...
 
Report zinasema (kutoka UN na NBS) Ruvuma wanaishi vizuri kuliko Mwanza... GDP per capita ya Ruvuma ni 2 Million wakati Mwanza ni 1.7 Million.. Maghorofa ya mashirika hayahakisi maisha bora ya wakazi wa hapo...

Watu wa Mwanza nawapa challenge moja tu.. Nitajieni mmiliki yeyote wa ghorofa hizo za Mwanza...


Mie naona sasa unaugomvi na wana Mwanza wewe
 
Kumbee ghorofa wanazotambia zinamilikiwa na kina nan?huku arusha adi iyo mall inayojengwa ni ya mtu binafsi maghorofa kibao ya watu...
Mkuu hawa watu ni kelele tu ila ni vimaskini sana hapo mkoani kwao.. 99% ya Moghorofa ya Mwanza ni taasis za serikali.. Waambie wakutajie hata mmiliki wa Malaika Beach uone kama ni mkazi wa Mwanza...

Uchumi wa Mwanza umeshikiliwa na wahindi wachache na weusi waliokamata biashara Mwanza ni watu kutoka Mara na wachagga..
 
Can u vivid prove to us, how far is ruvuma ahead of mwanza, au unaropoka tu.
 
ImageUploadedByJamiiForums1463212811.285743.jpg

nyamagana baby
 
Mie naona sasa unaugomvi na wana Mwanza wewe
Sina ugomvi na mtu ila wana Mwanza huwa wanajiona wao ndio wao kumbe hawana lolote... Mkuu hii Mall inayojengwa Arusha ni ya mtu na mkazi binafsi wa hapa, Mall iliyojengwa Mwanza ni ya NSSF... Mwanza inajengwa na mashirika ya kiserikali wakati Arusha inajengwa na wazawa.. Sasa utafananishaje mzunguko wa pesa kwenye miji yenye hali za hivyo??

Labda nikupe mfano mwingine mdogo tu, Dodoma unaiona ilivyojengeka?? Ni serikali inajenga pale ila ukiangalia kwa undani maisha ya watu wa Mtwara ni mazuri kuliko Dodoma, kodi inayokusanywa Mtwara ni kubwa kuliko Dodoma... Kodi ndiyo determinant kubwa ya mzunguko wa pesa kwenye eneo husika.. Haya majengo yote ya Mwanza mzunguko wa rent kwenye hayo majengo yanaenda HQ kwenye mashirika huko Dar wakati Arusha majengo mengi tu yanamilikiwa na wazawa kwahiyo ule mzunguko wa pesa unabaki hapa hapa, kampuni za kitalii ni za wazawa kwahiyo mzunguko wa pesa una baki hapa hapa, Mashimo Mererani wazawa wanamiliki na biashara ya Tanzanite inafanywa kwa kiasi kikubwa na wazawa pia kwahiyo mzunguko wa pesa unakuwa uko hapa hapa.. Hizi hotels za Arusha, Maghorofa hapa Arusha yanamilikiwa kwa kiasi kikubwa na watu wa madini pamoja na wenye kampuni za utalii..

Nitajie mmiliki wa Malaika Beach....
 
Back
Top Bottom