MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,097
- 35,476
- Thread starter
- #461
Kasi ya ukuajiwake vipi mbona ipo chini kwa sasa?We mimi nikiwa dar mwezi mmja tu nataka kurudi rock town city je nikiwa arusha ni wiki 1 tu narudi huko city kwetu achana na mwanza baba zamani iliitwa nyanza komaa bro sasa ni mza aka ROCKCITY