Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Dodoma..maframe yapo . nkuhungu,mnada Mpya ,maili mbili ,kisasa ,mkonze
N chache kulinganish na Mza mwanz n km dar kwamba kila seem kun centre na hudum zote tofaut na dom lazma watu wamove kwend town au city centre bado kun hapo kautamadun japo taratbu ndo wanabadilk kidogo
 
Hahaahhaha umesahau kwamba tarura ni wabongo, toka lini uliona mbongo akakufanyia kitu standard! Kila mtu anawaza upigaji Hadi mtunza store
Afu hao tarula ndo wanajenga izo barabr za kuzunguk stend ya nyegez pia
 
njia nne Usagara to town-billion 40
njia nne kisesa town -billion 35
Interchange buzuruga -billion 90
feeder roads nyamagana km 70-bilion 100
Feeder roads ilemela km 70-bilion 100
Njia nne kisesa Usagara -billion 25
Njia nne pasiansi buzuruga bilion 15
Uwanja wa Mpira Watu 30000 bilion 50
Apartment za kisasa milima ya mbugani, mabatini na pamba -billion 150

Daraja la busisi lisingejengwa ...pesa zake zingetosha kujenga hyo miradi
Njia nne izo barabr muhmu na kuu za kuingia na kutok zitajengwa japo kwa kuchelew na zinaez kuanz kujengw 2024 au 25 navowaz hususan baad ya daraja kukamilk coz io ilipangwa coz darj litaruhus Magar meng kupit kwend town lazma Jam...japo n kwel ilitakiw zianze kujengw sas ili daraj likikamilk likute na njia zote tayar ila ndo ivo madai haziwez kutolea pesa kote kote na kwen darj na njia nne wanajeng kw awamu lkn pia mambo ya kisias haypo mbal km mnavojua nchi yetu na viongoz wake lazm iwe part ya kura...haya maguful hakuyatak
 
Nyamhongolo wakijenga pale kwenye matope halafu ile barabara ya buswelu ikapigwa Lami patakuwa pazur sana
Sjui wanasubil nn mpka saiz hawajaanz kujenga wanadai washatenga fedha na mvua ndo zimeanza na makmu wa rais aliwagiza wajenge soko la wamachinga mara moja bt n km wamemaliz nothing goes on
 
Barabara ya njia 4 itaanza kujengwa 2023 yan hawana uwezo wa kuescape kutokujenga magari sasa hv ni mengi na kura za mwanza ni nyingi mnoo ili kupata credit ya kutosha lazima waanze kuijenga
 
Nimeona watu mnalalamika . mwanza tunaonewa kwenye miundombinu..vipi hii miradi mikubwa ni gharama ghani imetumika .
daraja la busisi bilion 700
meli bilioni 70
......nje ya dar hamna jiji jingine lilipewa fedha za maendeleo kuzidi mwanza ..

Kwa hyo tulitakiwa tuchague ,, billion 700 zisijenge daraja zijenge vifuatavyo na hela ingetosha fresh
njia nne Usagara to town -billion 40
njia nne kisesa town -billion 35
Interchange buzuruga -billion 90
feeder roads nyamagana km 70-bilion 100
Feeder roads ilemela km 70-bilion 100
Njia nne kisesa Usagara -billion 25
Njia nne pasiansi buzuruga bilion 15
Uwanja wa Mpira Watu 30000 bilion 50
Apartment za kisasa milima ya mbugani, mabatini na pamba -billion 150
Nkupongez umewaz vzur ila nje ya dar pia mwanz ndo jiji kubw kwhio litakua na uitaj mkubw kulingan na ukubw wake afu pili hilo daraj ukiangalia me jicho la kawaid utaon n la kawaid ila n muhmu san lkn pia ilo daraj I inshu ya mkoa sio city council city counci nayo una maitaj yke ata ivo Ilo daraj lilijengw kwa kufoc na mzee bab tu izo gharam zisngetok tu kw kiongoz mwngne nakkmbuk kikwete alitak kujeng ila sio kwa fedha za nch bal kutok nje wakakaz kua hawatowez hawatounfaika ila Jpm amefoc city ving vifanyike kw harak bil kutk kutegmea nje tatu ivo vtu vingejengw kw pmoj badal ya daraj ungeonekn ameend kujeng kwao tu nchi imehamia mwanz ivo vtu lazm vijengwe kwa awamu na kutegmea pesa iliopo na mgawanyo wa fedha nchin....lkn ata ivo izo barabr zingejengw harak zaid km th kungekuw na Jam san ila kua honesty hamn jam ivo inavoongelew ndo kitu kikubw jpokua n vzur kua na plan as badae sio lazma jam ila sera ya nch yetu ina idad ya magar yanayopita kwen njia ili ipanue barabr...ukiend dar unaon kwel kun umhum wa kupanua njia fulan n jam kwel bro sera zetu zilivo ndo maan Jpm alikua tofaut coz alifany nje ya hayo mawazo coz alion n kuchelewesh maendeleo
 
Nkupongez umewaz vzur ila nje ya dar pia mwanz ndo jiji kubw kwhio litakua na uitaj mkubw kulingan na ukubw wake afu pili hilo daraj ukiangalia me jicho la kawaid utaon n la kawaid ila n muhmu san lkn pia ilo daraj I inshu ya mkoa sio city council city counci nayo una maitaj yke ata ivo Ilo daraj lilijengw kwa kufoc na mzee bab tu izo gharam zisngetok tu kw kiongoz mwngne nakkmbuk kikwete alitak kujeng ila sio kwa fedha za nch bal kutok nje wakakaz kua hawatowez hawatounfaika ila Jpm amefoc city ving vifanyike kw harak bil kutk kutegmea nje tatu ivo vtu vingejengw kw pmoj badal ya daraj ungeonekn ameend kujeng kwao tu nchi imehamia mwanz ivo vtu lazm vijengwe kwa awamu na kutegmea pesa iliopo na mgawanyo wa fedha nchin....lkn ata ivo izo barabr zingejengw harak zaid km th kungekuw na Jam san ila kua honesty hamn jam ivo inavoongelew ndo kitu kikubw jpokua n vzur kua na plan as badae sio lazma jam ila sera ya nch yetu ina idad ya magar yanayopita kwen njia ili ipanue barabr...ukiend dar unaon kwel kun umhum wa kupanua njia fulan n jam kwel bro sera zetu zilivo ndo maan Jpm alikua tofaut coz alifany nje ya hayo mawazo coz alion n kuchelewesh maendeleo
Mzee hyo barabara ina jam balaa hasa mida ya asubuh na jion daraja likikamilika na kuanza kutumika unafkr hyo jam itakuaje hv barabara ya arusha to tengeru inaizid hii ya kenyata kuwa na jam mbn ina njia nne
 
Mzee hyo barabara ina jam balaa hasa mida ya asubuh na jion daraja likikamilika na kuanza kutumika unafkr hyo jam itakuaje hv barabara ya arusha to tengeru inaizid hii ya kenyata kuwa na jam mbn ina njia nne
Yeah iyo ina jam ndo maan nilsem daraj likikamilk lazm zijengwe tu coz magar yataongezek...Afu ya sakin tengeru ilikua na Jam san tok mda kabl haijapanuliw kulko iyo coz pale ile ina magar meng san pmoj na malor ya kutok kenyaa yanatumia njia ile lkn pia mzguko wa kila siku mosh to arush uliifany iwe bize san
 
Mzee hyo barabara ina jam balaa hasa mida ya asubuh na jion daraja likikamilika na kuanza kutumika unafkr hyo jam itakuaje hv barabara ya arusha to tengeru inaizid hii ya kenyata kuwa na jam mbn ina njia nne
Unajua watu wa lake zone hajaw exposed san km nothern zone kumilk magar sio kiupambele san ila kule wenzetu mpka vijan wadog wana mgar wanawake na wazee ila zone yetu sio kiupambel san ndo maan shy town hukut magar san wal musom kwhio n mpka uanze kuingia mwnz town buhongw kuanzia pale ndo unaanz kufeel Jam kitu ambcho ukisafir mosh to arush n jam mwnzo mwsho
 
Halafu hata barabara ya nyerere road nayo jam imeanza kurud kama zaman kiukweli mwanza sasa hv kuna jam sana unatoka kisesa saa 12 kamili jion buhongwa unakuja kufika saa 3 kasoro uck yan mtu anatoka nyamhongolo huo mda kwenda Bunda anafika ww bado hujafika buhongwa 😄😄😄😄😄
 
Majaliwa kufanya Ziara ya Kikazi ya Siku nne Mwanza

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa (MB) anatarajiwa kuwasili Mkoani Mwanza Jumamosi ya Oktoba 15, 2022 Majira ya saa 10 jioni kwa ziara ya kikazi.

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Kighoma Malima wakati wa Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanyika kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Mkoa mapema leo alhamisi Oktoba 13, 2022.

Mhe. Malima ametumia wasaa huo kuwakaribisha wananchi wa Mwanza na Mikoa ya jirani kujitokeza kwa wingi kandokando ya barabara na kwenye Miradi atakayoitembelea kumlaki na kumpokea Kiongozi huyo ambaye atakuwepo mkoani humo kwa ziara ya siku nne.

"Nawaomba wakaazi wa Mwanza tuoneshe uzalendo wa dhati, sote tuungane kumpokea Mgeni wetu na tumwoneshe mapenzi ya dhati huku tukiishukuru Serikali kwa kutuletea Maendeleo kama tunavyoona Miradi mbalimbali inaendelea kutekelezwa kwenye maeneo yetu." Mkuu wa Mkoa.

Akizungumzia ratiba ya ziara amesema ,siku ya jumapili ya Oktoba 16, 2022 kuanzia Majira ya saa 2 asubihi Mhe. Majaliwa atakagua Maendeleo ya Ujenzi wa Daraja la Magufuli Kigongo-Busisi pamoja na kusalimia wananchi wa Busisi kabla ya kuelekea wilayani Kwimba ambako atakagua Maendeleo ya Ujenzi wa Mradi wa Reli ya kisasa (SGR).

Malima amefafanua kuwa katika siku hiyohiyo, kuanzia Majira ya saa 7 mchana Mhe. Waziri Mkuu atazindua Jengo la Huduma ya Macho kwenye Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando pamoja na kuzungumza na wananchi kwenye uwanja wa Mahafali hospitalini hapo.

"Siku ya tatu ya ziara ya Mhe. Waziri Mkuu itaanzia Wilayani Ukerewe kwenye visiwa vya Irugwa majira ya saa 3 asubuhi ambako atakagua ujenzi wa Kituo cha Afya na Maendeleo ya Shule ya Sekondari ya Irugwa kabla ya kuelekea kisiwani Gana ambako akiwa huko atakagua maendeleo ya Ujenzi wa Zahanati pamoja na kusalimia wananchi." Amesema Mhe. Malima.

Ameongeza kuwa mara baada ya shughuli za visiwani Mhe. Waziri Mkuu atarejea Mjini Mwanza ambako anatarajiwa kukagua Maendeleo ya Ujenzi wa Stendi ya Mabasi ya Nyegezi kuanzia Majira ya saa 9 alasiri na baadae atawasili bandari ya Mwanza Kusini kwa ajili ya kukagua maendeleo ya Ujenzi wa Meli ya MV Mwanza 'Hapa Kazi Tu'.
 
Back
Top Bottom