Mbona hauonyeshi vumbi la nje
Wakijenga pale kwenye mavumbi nyamhongolo inakuwa stand 3 kwa ubora
Kwanini mkuu imekuvunja moyo ebu tufafanulie🙏🙏🙏To be honest issue ya DIT mwanza campus imenivunja moyo sana.
Hapa wap?
Nyamhongolo bus terminus.Hapa wap?
Nilisikia pale patakuwa stand ya mabus ya huko mwanza wilayan sijui kwimba,ngudu,salawe pamoja na coaster na tata zinazoenda cjui Geita katoro biharamuloNimefurahi kuona Nyegezi wanakarabati bara bara zote upya za kuongia na kutoka nadhani soon stand inafunguliwa swali ni je pale palipo stand sasahivi yaani stand ya muda panaenda kuwaje??
af hakutakuwa na mavumbi kama ya nyamhongoloNimefurahi kuona Nyegezi wanakarabati bara bara zote upya za kuongia na kutoka nadhani soon stand inafunguliwa swali ni je pale palipo stand sasahivi yaani stand ya muda panaenda kuwaje??
Nyegezi mna matumizi mabaya ya umeme, stand iko tupu taa kama zote😂😂Yes sanaaaView attachment 2385102
Bajeti ilikuwa 37b sasa tunajengewa chuo cha 19bKwanini mkuu imekuvunja moyo ebu tufafanulie🙏🙏🙏