Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Huo mradi ulikuwa inaitwa strategic city development project..ulilenga majiji ya kimkakati tu ...ndio walijenga barabara nyingi pale mjiniMiradi ya serikali huwa haiaminiki, kun project fulani kabla ya tactic kwasasa nayo ilikuwa chini ya world bank ilitusaidia kupata barabara ya mwaloni, sabasaba na ya mji mwema, nyamagana walipata barabara za mjini kati, ujenzi wa dampo buhongwa na ujenzi wa madaraja ya kisasa mjini kati.

i

na hela ingetosha fresh 