Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Si ipo ya makongoro.ni dual ,,,ukija Nyerere road kuna TRI Lanes carriage .... serikali inatakiwa ipige njia sita kuanzia junction ya kenyata road Hadi Usagara round about..ipige njia sita kutokea buzuruga mataa Hadi round about ya kisesa , ipige njia nne kutokea buzuruga mataa Hadi pasiansi na ijenge interchange buzuruga...na pasiansi..imagine hili jiji lingekuwa modern sana
Yule jamaa kawahi sana lufa
 
Jiji la mwanza upande wa miundombinu ya barabara tunahitaji barabara zifuatazo kwa unataka
1.upanuzi wa njia nne kutoka mjini had usagara
2.upanuzi wa njia nne kutoka mjini had nyanguge
3.barabara ya airport had nyanguge na kisesa
4.mkuyuni to nyakato
 
Jiji la mwanza upande wa miundombinu ya barabara tunahitaji barabara zifuatazo kwa unataka
1.upanuzi wa njia nne kutoka mjini had usagara
Hivi ukitaka kufika Usagara, kuna barabara ya moja kwa moja kutokea Mwanza CBD kupitia Buhongwa kwenda huko au mpaka uende Buzuruga, Igoma, Kisesa, then ukamate Kisesa bypass to Usagara???
 
NYEGEZI BUS TERMINAL
 

Attachments

  • Fdt7YKFWYAAxg0w.jpeg
    Fdt7YKFWYAAxg0w.jpeg
    84.2 KB · Views: 18
Nyamhongolo hakuna sehemu ya jengo la abiria kwa ndan ila nyegez zipo 2 na mabenki kibao kama 6 na stand ya nyegezi ina maduka mengi sana na supermarket za kutosha
 
Back
Top Bottom