Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Gazetin
2eb185268c4534bb52e6ae6bf95ad46a.jpg
9c9ad2079b2b6fea20c9eb753bf812ec.jpg
 
Nyamhongolo hakuna sehemu ya jengo la abiria kwa ndan ila nyegez zipo 2 na mabenki kibao kama 6 na stand ya nyegezi ina maduka mengi sana na supermarket za kutosha
Kwa unataka kusema nyamhongolo sio classic kama nyegezi ...na je hizo benk tayari Zina wapangaji au ni open ..
 
Jana nilikuwa shibula na ilalila nimeona vitu vifuatavyo
1.issue ya maji hayo maeneo ni changamoto kubwa watu wanateseka sana had najiuliza mwanza kuna shida gani mji unakua kila siku tunapewa mradi wa butimba bilion 69 ambao hautaweza kutatua changamoto zozote wakat arusha Wana mradi wa bilion 500
2.hayo maeneo watu wanajenga kwa kasi sana sasa hv hayo maeneo sio vijiji tena ni wakat wa serikali kufikisha barabara ya Lami sio kujenga Lami nusunusu kila mwaka
 
Hongera kwa kuipiga picha habari yote tujisomee wenyewe
Pale nyegezi sasa hv ujenzi wa magorofa umeshika Kasi sana mfano
1.pale kamanga hospital
2.california kuna gorofa linajengwa sasa hv wapo floor ya 3
3.pale karibu na terminal ya nyehunge kuna jengo linajengwa
4.pale karibu na nyamagana garden kama unaenda stand ya nyabulogoya kuna jengo linajengwa
5.karibu na sheli ya GBP wamezungushia mabati mda si mrefu jengo la gorofa
 
Nimemaliza kumsikia RC malima kuhusu uwanja wandege mza!! Kumbe shida ni nani anapaswa kuwa mmiliki wa terminal hiyo ikiisha!!

Inasemekana wamiliki wa uwanja huwa ni TAA, sasa nikama wamelisusa jengo maana wao walikiwa washa design kujenga jengo la terminal la kisasa zaidi kwa bilioni 32 lakini kinyume na utaratibu almashauri zikaelekezwa kujenga jengo la muda kwa kutumia fedha zao bila kuwa shirikisha TAA, sasa TAA hawalitaki hilo jengo wanasema lipo kama standnya bus🤣🤣🤣 wanasema liwe supermarket🤣 wao wanataka wajenge lao la b32, na kama watalazimishwa kupewa hilo basi wao wawe wamiliki moja kwa moja na watalibadili matumizi wakati huo huo mkoa nao hawataki kuliachia jengo!! Wanasema kwakuwa ni wao wametoa fedha wanahaki ya kukusanya mapato!! Mwisho wasiku jengo limekosa suluhu 🤣🤣🤣🤣
 
Nimemaliza kumsikia RC malima kuhusu uwanja wandege mza!! Kumbe shida ni nani anapaswa kuwa mmiliki wa terminal hiyo ikiisha!!

Inasemekana wamiliki wa uwanja huwa ni TAA, sasa nikama wamelisusa jengo maana wao walikiwa washa design kujenga jengo la terminal la kisasa zaidi kwa bilioni 32 lakini kinyume na utaratibu almashauri zikaelekezwa kujenga jengo la muda kwa kutumia fedha zao bila kuwa shirikisha TAA, sasa TAA hawalitaki hilo jengo wanasema lipo kama standnya bus wanasema liwe supermarket wao wanataka wajenge lao la b32, na kama watalazimishwa kupewa hilo basi wao wawe wamiliki moja kwa moja na watalibadili matumizi wakati huo huo mkoa nao hawataki kuliachia jengo!! Wanasema kwakuwa ni wao wametoa fedha wanahaki ya kukusanya mapato!! Mwisho wasiku jengo limekosa suluhu
TAA washushe dude lao la B32 hilo tugeuze supermarket

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom