Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
No .hapana sio hyo mazeeHii ndio barabara ya mboga mboga Busenga, buswelu?
No .hapana sio hyo mazeeHii ndio barabara ya mboga mboga Busenga, buswelu?
Hapo hakuna lami mkuuWanaweka Rami au wanaparua alafu inaishia hv hv
Barabara za tactic zinaanza mwezi wa tatu kiongozi.Hii ndio barabara ya mboga mboga Busenga, buswelu?
Hakuna crane labda wameka hizi siku mbili
Nashindwa kutofautisha aina za crane hiyo ni straight crane, kuna curved n.k, inaweza kuwepo crane lakini jengo likawa fupi la kawaida, lakini hilo jengo la ghana litafikisha 10+ floorHakuna crane labda wameka hizi siku mbili
Slowl achana na mambo ya crane lakini hilo jengo litafikisha 10+ floorMkuu crane ipo wap hapo?
Kiufupi theluthi 1 ya watu wa Tanzania wako Kanda ya ziwa ..Maybe hizi hotuba zisiishie kwenye makongamano kama haya .ziende ndani ndani kule magu , sengerema,buchosa,ilemela ,ukerewe na nyamagana...View attachment 2369192
Kabisa halafu naona sasa hv wapo floor ya 8Slowl achana na mambo ya crane lakini hilo jengo litafikisha 10+ floor
Slowl achana na mambo ya crane lakini hilo jengo litafikisha 10+ floor


mi naona halifikishi. ..Likifika 10 niite mbwa Niko hapa,Kabisa halafu naona sasa hv wapo floor ya 8


Kwenye sensa ya mwaka huu nyamagana na ilemela zitafikisha watu 1.5mKiufupi theluthi 1 ya watu wa Tanzania wako Kanda ya ziwa ..
Hiyo idadi ni ndogo kwa jinsi nilivyopata taarifa za chini, ilemela + nyamagana = 2.2-2.5 milionKwenye sensa ya mwaka huu nyamagana na ilemela zitafikisha watu 1.5m
Mkuu sijaelewa umuhimu wa hii taarifa naomba unifafanulie si unajua sisi wagumu kuelewa🙏🙏Maybe hizi hotuba zisiishie kwenye makongamano kama haya .ziende ndani ndani kule magu , sengerema,buchosa,ilemela ,ukerewe na nyamagana...View attachment 2369192
Mh.mbona itakuwa so overrated..Kwa sababu growth rate ya mwanza kati ya 2002 -2012 ilikuwa ni ongezeko la watu laki 4 ....ukichukua laki 7 +400000 .inapata estimate ya 1.1 m .hii ni exact minimum expectationHiyo idadi ni ndogo kwa jinsi nilivyopata taarifa za chini, ilemela + nyamagana = 2.2-2.5 milion
Ilo limefika 8 floor plus underground floor na matoleo umeyaona nipe week mbili takuletea tena maendeleo ya hilo jengo.Jokesnatania tu wadau
Hotuba ya mkuu mkoa wa mwanza akielezea fursa mbali mbali zilizopo kwenye ziwa Victoria...ambazo nyingi hazijulikani .mfano cage fishing ambao ni ufugaji wa kisasa wa samaki ndani ya ziwa ambao umeonekana kuwa effective sana kwenye uzalishaji wa samaki ..lakini wanaoufahamu ni wachache sana ..Mkuu sijaelewa umuhimu wa hii taarifa naomba unifafanulie si unajua sisi wagumu kuelewa![]()