intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 706
- 1,126
Leo nitaenda shibula nitawapa update nini kinaendelea shibula
Shibula ni mbele ya Ilalila?Leo nitaenda shibula nitawapa update nini kinaendelea shibula
Kabla hujafika ilalila kuna kona inakata kushoto ndo inaenda shibulaShibula ni mbele ya Ilalila?
Huko kunaonekana ni bushKabla hujafika ilalila kuna kona inakata kushoto ndo inaenda shibula
Sasa hivi nadhani watu waliokosa viwanja Buswelu wanakimbilia IlalilaHuko kunaonekana ni bush
Hadi nifike nioneSasa hivi nadhani watu waliokosa viwanja Buswelu wanakimbilia Ilalila
Mipicha mkuuLeo nitaenda shibula nitawapa update nini kinaendelea shibula
Jeshi / Airport. Hio barabara imekatiza eneo nyeti tu, nadhani ukiwa drajaniunaelekea Ilalila pale Bondeni upande wa kushoto kuna nyumba/ ofisi iko peke yake nisikia huwa ni ya wazee wakaziHv mbele ya kahama kabla haujafika junction ya tx huwa kuna eneo kubwa sana au kuna project kubwa au ni eneo la viwanda?
Yaani .kule butimba wanakojenga mradi wa maji ..Kuna eneo kubwa zuri na la kijani ,lakin lile eneo limeshikwa na jeshi na magereza..Pako vizuri kweli,,,,,Jeshi / Airport. Hio barabara imekatiza eneo nyeti tu, nadhani ukiwa drajaniunaelekea Ilalila pale Bondeni upande wa kushoto kuna nyumba/ ofisi iko peke yake nisikia huwa ni ya wazee wakazi
PichaNilikuwa hapo mwezi wa tatu ,watu walikuwa wanagombania maeneo kinoma..
Kuna eneo liko open pale mahina relini lilitengwa Kwa ajili ya viwanda ,..Ile mitaa ilikuwa stagnant kweli ila now Pako hot sana ...
Kuna kiwanda na work shop kubwa ya kampuni la madini la sandvick .pamependeza sana
Usije bila picha, ukiwa unapiga picha panda hata kwenye mti upate View nzuriLeo nitaenda shibula nitawapa update nini kinaendelea shibula
Nahisi vyuo, kuna vyuo vimechukua viwanja hukoHv mbele ya kahama kabla haujafika junction ya tx huwa kuna eneo kubwa sana au kuna project kubwa au ni eneo la viwanda?
Mzumbe wana eneo buswelu..waliishia wapi mipango ya ujenzi wa chuoNahisi vyuo, kuna vyuo vimechukua viwanja huko
Ukienda huwezi amini jinsi palivyojengeka Shibula mi nilikua huko mwezi wa 7 hakuna nyumba mpya yenye bati jeupe...Huko kunaonekana ni bush
Hapo huwa kuna eneo la jeshiHv mbele ya kahama kabla haujafika junction ya tx huwa kuna eneo kubwa sana au kuna project kubwa au ni eneo la viwanda?
Mi natafta kiseke , nikipata cha million 2 kushuka hata Leo nanunua
Umemaliza kila kitu