mhuri25
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 3,262
- 4,470
Mwamba umekaa Butimba Magereza!?Kama Mimi tu enzi hizo nasoma advance nilikuwa natoka butimba magereza kwa miguu napita chake chake napasulia igogo natokea bugando then mjini kati natokea daraja la wamasai huyo mpaka lake. Wakati wakurudi home napita huku station nafuta reli mpaka voil halafu Rami mpaka nafika home. Nishawahi kutoka butimba kwa miguu nikaenda buzuruga, kangae nikatokea buswelu nikarudi kwa miguu through the same route . Daaah haya maisha bhana
![]()
