Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Jana nilienda nyashishi kwa demu wangu, pale kwao kuna dada yake so nikawa napiga naye stori katika story akaniambia kuwa kuna ujenzi upo barabara ya usagara wanapanua pembeni kufanya njia nne me sijaamin natak kuwaulz je hiki kitu ni kweli na huyo shemella akainsist siku nikirudi tena nyashishi nitakuta upanuzi umeshafika maeneo hayo plz nambieni kama upanuzi wa njia nne ndo umeanza kimya kimya au...
 
Jana nilienda nyashishi kwa demu wangu, pale kwao kuna dada yake so nikawa napiga naye stori katika story akaniambia kuwa kuna ujenzi upo barabara ya usagara wanapanua pembeni kufanya njia nne me sijaamin natak kuwaulz je hiki kitu ni kweli na huyo shemella akainsist siku nikirudi tena nyashishi nitakuta upanuzi umeshafika maeneo hayo plz nambieni kama upanuzi wa njia nne ndo umeanza kimya kimya au...
Barabara ya Usagara kuelekea wap .. kisesa,au mjini ??
 
Naona wameweka taa kutoka airport adi pasiansi sasa jiji linaanza kuwaka, natamani hizi taa zifike mpaka nera, pia waweke kenyatta road na nyerere road pia tatizo je upanuzi wa barabara ukianza wataamisha tena hizo taa kama wakiweka sasa kwenye barabara za nyerere na kenyatta?
 
Naona wameweka taa kutoka airport adi pasiansi sasa jiji linaanza kuwaka, natamani hizi taa zifike mpaka nera, pia waweke kenyatta road na nyerere road pia tatizo je upanuzi wa barabara ukianza wataamisha tena hizo taa kama wakiweka sasa kwenye barabara za nyerere na kenyatta?
Wanaweka mpka jengo la ccm mkoa hizo taa..pia kenyatta road na nyerere road wanaweka kuna video ilitumwa humu inaeleza kila kitu ngoja nikutumia link usikilize
 
Naona wameweka taa kutoka airport adi pasiansi sasa jiji linaanza kuwaka, natamani hizi taa zifike mpaka nera, pia waweke kenyatta road na nyerere road pia tatizo je upanuzi wa barabara ukianza wataamisha tena hizo taa kama wakiweka sasa kwenye barabara za nyerere na kenyatta?
 
Mradi wa ujenzi wa sgr wametia kambi mkuyuni na wameweka mabati kuzungushia eneo la mradi kuanzi hapo mkuyuni kuelekea Mwanza south port, nahisi wanaweka nguzo kwaajili ya fly over njia ya train.
Picha Mkuu
 
Mkuyuni sasa hv kwny SGR mambo ni fire kuna makaburi yanahamishwa watu wanang'ang'ania makaburi wanataka fidia
Nilikuwa hapo mwezi wa tatu ,watu walikuwa wanagombania maeneo kinoma..
Kuna eneo liko open pale mahina relini lilitengwa Kwa ajili ya viwanda ,..Ile mitaa ilikuwa stagnant kweli ila now Pako hot sana ...
Kuna kiwanda na work shop kubwa ya kampuni la madini la sandvick .pamependeza sana
 
Back
Top Bottom