Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

20220915_172928.jpg


Mikdde angalia hizi nyumba zinavutia coz hazina lile bati tulilozoea, hapa ukute masika Green nayo imekubali zinamatch vizuri.
Ingekuwa bati hizi nyumba zingeonekana vibaya.
 
Population mwanza inazid kuwa kubwa sasa hv nyamagana Wana jenga madarasa mapya ya shule za msingi 250 siku Moja nilimsikia mkuu wa wilaya anasema shule ya msingi bulale ina wanafunzi 5000+ ndan ya miez 3 wanafunzi waliohamia shule hyo ni 500+ kwa mwendo huo akasema Hali inatisha
 
Population mwanza inazid kuwa kubwa sasa hv nyamagana Wana jenga madarasa mapya ya shule za msingi 250 siku Moja nilimsikia mkuu wa wilaya anasema shule ya msingi bulale ina wanafunzi 5000+ ndan ya miez 3 wanafunzi waliohamia shule hyo ni 500+ kwa mwendo huo akasema Hali inatisha
Hali inatisha bila kuwa na infrastructure za maana itakuwa kero. Imagine unapeleka mwanao shule yenye wanafunzi 5000+

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali inatisha bila kuwa na infrastructure za maana itakuwa kero. Imagine unapeleka mwanao shule yenye wanafunzi 5000+

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye suala la Miundombinu Mwanza ipo Nyuma sana, lakini feasibility study katika barabara mhimu zimekua ni za miaka nenda rudi. Nyumba zinajengwa bila mpangilio,Mfano city centre wangejenga Ghorofa kuanzia 10f+ sio lazima kila anaejenga Ghorofa ajenge city centre wengne wajenge hata Buzuruga huko ili kuipa nafasi city centre kuwa na tall buildings
 
Kwenye suala la Miundombinu Mwanza ipo Nyuma sana, lakini feasibility study katika barabara mhimu zimekua ni za miaka nenda rudi. Nyumba zinajengwa bila mpangilio,Mfano city centre wangejenga Ghorofa kuanzia 10f+ sio lazima kila anaejenga Ghorofa ajenge city centre wengne wajenge hata Buzuruga huko ili kuipa nafasi city centre kuwa na tall buildings
Nahisi kwa sasa kwenye suala LA upimaji maeneo mengi yamepimwa.

Kuanzia Kisesa, Usagara, Masemele, Sangabuye, Kabusungu, Isangijo, Ilalila, Buswelu. Sasa hivi kama kuna ujenzi holela nadhani umepungua.

Maana hata watu pia wanapenda maeneo yaliyopimwa. Suala LA makazi holela sasa hivi watu hawapendi kabisa.

Changamoto ni maeneo ya zamani yaliyoendelezwa kiholela.
 
Wakuu wa jiji wafia Mwanza kijana wenu nimerudi, kuna inshu nimeona zaidi ya mwezi daraja la furahisha zile taa zake za urembo zimezima yaan halmashauri za jiji la mwanza zinafail wapi kufanya maintainance kila mwaka kwenye miradi kama hiyo.
 
Back
Top Bottom