Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Ko kumbe alikuwa anajuaPlease Mrs Lissu acha kusema hivyo atajisikia vibaya, kwanza tuongee ya kwetu,
Ungetamani nijenge ya nyota sita au sita na nusu? Au saba kabisa?!


ohKo kumbe alikuwa anajuaPlease Mrs Lissu acha kusema hivyo atajisikia vibaya, kwanza tuongee ya kwetu,
Ungetamani nijenge ya nyota sita au sita na nusu? Au saba kabisa?!


ohNa umenienjoy kweliPlease Mrs Lissu acha kusema hivyo atajisikia vibaya, kwanza tuongee ya kwetu,
Ungetamani nijenge ya nyota sita au sita na nusu? Au saba kabisa?!

Ko kumbe alikuwa anajuaoh
Hapana mkuu, Naomba usimsikilize kabisa Mrs Lissu, kiukweli kabisa nilikuwa sijui, ila jinsi ambavyo nilikuwa nauliza, mtu anaweza akahisi vingine. Kweli mkuu nilikuwa sijui, I swear. Na asante kwa kunifafanulia.Na umenienjoy kweli![]()
Hapana mkuu, Naomba usimsikilize kabisa Mrs Lissu, kiukweli kabisa nilikuwa sijui, ila jinsi ambavyo nilikuwa nauliza, mtu anaweza akahisi vingine. Kweli mkuu nilikuwa sijui, I swear. Na asante kwa kunifafanulia.


worry not ..I take everything easy..ni sehemu ya kuexchange ideaSawa kabisa..worry not ..I take everything easy..ni sehemu ya kuexchange idea
Naamin hata Dem umempataNyasaka imeungana na kaangae and busweru
Picha ya pili nimeizoom kaangae imechafuka misauzi tupuView attachment 2350481View attachment 2350482

Naiba hii picture naipeleka kwenye Uzi flaniNyasaka imeungana na kaangae and busweru
Picha ya pili nimeizoom kaangae imechafuka misauzi tupuView attachment 2350481View attachment 2350482
Naamin hata Dem umempata![]()
ni pisi yangu kitambo tu ilikua imesafiriUmemaliza kila kituTimeline ya maendeleo ya mwanza
2013 ujenzi wa nssf hotel na rock city mall ulianza
2014 upanuzi wa barabara ya Nyerere road njia tatu Hadi buzuruga ulianza.ghorofa nyingi ndefu zilijengwa mwaka huu
2015 ujenzi wa daraja la mabatini ulikamilika ,uwekaji wa taa za magari pale buzuruga, ujenzi wa barabara ya buzuruga pamoja na kufunguliwa Kwa jengo la biashara la buzuruga plaza na jengo la TFDA buzuruga,na kukamilika Kwa barabara ya butimba,na barabara ya malaika Beach.(ulikuwa Ni mwaka wa buzuruga)
2016 upanuzi wa airport ya mwanza na ujenzi wa control tower ulianza,na upanuzi wa barabara kutoka buzuruga Hadi mwatex , ujenzi wa jengo la BOT
2017 ujenzi wa barabara ya airport njia nne pamoja daraja la furahisha ulianza .uwekaji wa taa maeneo ya bwiru na pasiansi, barabara za katikati ya jiji zilijengwa kipind hiki
2018 uwekaji wa taa za kuvukia barabarani barabara zote ulikamilika,ujenzi wa cherezo na maandalizi ya ujenzi wa daraja la JPM ulianza.uwekezaji wa hospital ya tanzanite na hospital ya kamanga medics
2019 ujenzi wa jengo la abiria ulianza , ujenzi wa hospital ya wilaya ya nyamagana, ujenzi wa stendi ya nyamhongolo,na maandalizi ya ujenzi wa stendi ya nyegezi, ujenzi wa barabara ya sabasaba kiseke buswelu, barabara ya nyakato to buswelu, ujenzi wa soko kuu ulianza
2020 ujenzi wa ofisi za wilaya ya nyamagana mkolani , ujenzi wa ofisi za halmashauri ya ilemela, ujenzi wa hospital ya wilaya ya ilemela, kuongezeka Kwa Costa na route za magari kuongezeka , ukarabati wa meli ya mv Victoria
2021 kuanza ujenzi wa SGR , uwekezaji wa kivuko binafsi Cha mkombozi , usafiri wa speedy boats kwenda ukerewe.ujenzi wa Mradi mkubwa wa maji butimba
2022 mwendelezo wa miradi ya nyuma .ukiacha miradi binafsi sijaiona mradi Mpya wa serikali labda anuani za makazi
WEW ULIYEONDOKA 2013 HYO NI TATHMIN FUPI YA MAENDELEO YA MJI WA MWANZA ,sijaweka miradi ya wilayani huko Kwa sababu mingi siijui ko kama Kuna mingine nimeisahau wakuu wataongezea
Nyasaka pia unakua, miaka ya zamani tulikua tunatoka nyambiti kwenda mtoni nyasaka kufata maji, sasahivi Nyasaka haishikiki tenaTATHMIN YA UKUAJI MJI 2013 HADI 2022
2013 mji uliishia mkolani ilemela,igoma , buswelu center,.
2014 buhongwa,kahama, kiseke palikuwa Kwa kasi sana mji ulisogea huku
2015 ujenzi nyamhongolo ulishika kasi ,route ya kishiri buhongwa ilipafanya kishiri iwe suburbs ya mji ,
2016 kuanzishwa kwa ruti ya nyanshishi to kisesa na stendi ya nyashishi .kulipafanya nyashishi iwe suburbs ya ujenzi mwanza
2017 nyamhongolo ulianza kuungana na kisesa , buhongwa ikaungana na bulale,isebanda ,na lwanhima,
2018 mahina kati palikoma kuwa kijijini ,ikaanza kuunganisha mhandu ,machinjioni,na kakebe
2019 kahama ilianza kuelekea ilalila ikaungana na nyamadoke na nyamhongolo
2020 bugarika,kuja igelegele ,ipuli Hadi mahina alliance palikoma kuwa kijijini
2021 kisesa ilianza kukua kuelekea kishiri, kuelekea isangijo,na kuelekea Kona ya fela . Usagara ikaungana na mwanza kupitia nyangomango na nyanshishi
2022 kishiri inakua kuelekea kuungana na buhongwa, luchelele kumeanza kuchangamka .mkuyuni kupitia mahina relini ,kanyerere Hadi nyagurugru pameacha kuwa kijijini
MAENEO YANAYOKUA SANA MWANZA
1 kishiri 2 nyashishi 3 kisesa 4 nyamadoke 5 buhongwa 6 kiseke 7 Usagara 8 buswelu 9 kakebe 10 mahina kati
Note : si maeneo yote ya mwanza nayajua nimeweka experience yangu tu . unaruhusiwa kurekebisha
Leo nilikuwa buhongwa maeneo ya bulale aisee mbele kuna mtaa unaitwa nyangwi na kigoto kuna watu wamejenga balaa aisee sio mchezo af yule alieulizia ile wetland inayoonekana maeneo ya ziwan ukiwa sheli ya maseti pale ni nyangwi
Pale pazuri sanaLeo nilikuwa buhongwa maeneo ya bulale aisee mbele kuna mtaa unaitwa nyangwi na kigoto kuna watu wamejenga balaa aisee sio mchezo af yule alieulizia ile wetland inayoonekana maeneo ya ziwan ukiwa sheli ya maseti pale ni nyangwi
PossiblyKwa tathmini yangu niliyoifanya sensa ya mwaka huu kata ya Buhongwa itakuwa na watu si chini ya 70000+