Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Soko la kirumba Limekwisha bomolewa tayari kwa ujenzi wa jipya
 

Attachments

  • IMG20220920170641.jpg
    IMG20220920170641.jpg
    836.6 KB · Views: 20
Serikali ni kama huwa inafanya makusudi kujenga barabara nyingi za Lami mwanza mfano hii barabara ya airport kayenze had nyanguge au kisesa ilitakiwa iwe imeshajengwa ni barabara Moja strategically kiuchumi sasa tatizo linakuja ile barabara kwny mpango inaonekana inapitia nyanguge je na kisesa kwann wasiweke pote tu lami manake hata njia ya kisesa sahv pale kisesa kuna stand na soko ile njia watu wamejenga sana na bado wanaendelea kujenga
 
Wakiweka Lami ile njia ile sura ya ukijiji itatoweka manake nyumba nyingi za zaman hasa maeneo ya sangabuye ni za tope na hadhi ya chini na nyingi zipo kwny hifadhi ya barabara
 
Serikali ni kama huwa inafanya makusudi kujenga barabara nyingi za Lami mwanza mfano hii barabara ya airport kayenze had nyanguge au kisesa ilitakiwa iwe imeshajengwa ni barabara Moja strategically kiuchumi sasa tatizo linakuja ile barabara kwny mpango inaonekana inapitia nyanguge je na kisesa kwann wasiweke pote tu lami manake hata njia ya kisesa sahv pale kisesa kuna stand na soko ile njia watu wamejenga sana na bado wanaendelea kujenga
Wanasubiri miradi ya tactic ikamilike then waangalie na barabarani nyingine za kimkakati, lakini nadhani hiyo barabara ya nyaguge itakuwa chini ya Tanroad ngoja tuone.
 
Soko la kirumba Limekwisha bomolewa tayari kwa ujenzi wa jipya
Sizani kama ujenzi utaanza mapema kama tunavyotegemea, mimi nitaamini nikianza kuona render na tender na mkataba ukisainiwa baina ya halmashauri na mkandarasi kwa sasa tusubiri tu coz wanaweza kuzungusha mabati ata miaka miwili kama walivyofanya miradi ya ujenzi soko kuu la mwanza na stendi ya nyegezi.
 
Leo nimebahatika kuingia ndani kabisa stand ya nyegezi ila picha mazingira hayajaniruhusu nichukue kwa ndani ila kiukweli stand ya nyegezi ndani ni kubwa kuliko ilemela parking ya magari madogo inavutia sana nilichopendea ni kuwa nyegezi barabara ya kuingia ni ile ya nyamazobe na ya kutokea ni ile ya zamani tofaut na nyamhongolo ya kuingia na kutokea ni Moja unaambiwa mabenki 6 tayar yameshatoa order kabisa na wametengeneza parking za magari kwa ajili ya bank mapungufu ni kwamba barabara za kuingia na kutokea hawajaanza kutongeneza ni zilezile Lami za zaman ila kiuhalisia nyegezi gharama yake ni Zaid ya billion 15.9
 
Bashungwa kasema leo miradi ya tactic itaanza kujengwa mwezi wa tatu kwa tier one, sasa hayo mabati yatazungushwa adi mwezi wa tatu😂😂
 
Back
Top Bottom