MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,913
- 9,012
Hakika. Fela hakuna harakati za ujenzi Kama Usagara ( Nyanshishi ), Kisesa, Ilalila, Masemere huko.Wanaogopa kuondoleewa bila fidia 😀😀😀😀
Sehemu nyingine iliyopooza ni Kigongo ferry.
Hakika. Fela hakuna harakati za ujenzi Kama Usagara ( Nyanshishi ), Kisesa, Ilalila, Masemere huko.Wanaogopa kuondoleewa bila fidia 😀😀😀😀
Ujenzi unaanza mdogo mdogo Kona ya fela..ambapo inataka kuunganisha kishiri,fela na kisesaHakika. Fela hakuna harakati za ujenzi Kama Usagara ( Nyanshishi ), Kisesa, Ilalila, Masemere huko.
Sehemu nyingine iliyopooza ni Kigongo ferry.
Mkuu stesheni ya Mwanza itajengwa sehemu gani?View attachment 2343070
bridge ya SGR ITAKUA na 1km itakatiza juu ya barabara how amazing
Fela na town centerMkuu stesheni ya Mwanza itajengwa sehemu gani?
Kwani Station ya Fela na Mwanza ni tofauti?View attachment 2346511
View attachment 2346512View attachment 2346514
Isaka na Fela naona zitakuwa na daraja la ghorofa la kupandia treni za SGR. Inaonekana na Isaka itakuwa modern zaidi ya Fela na Shy town kimuonekano.
Yes, Mwanza city zitakuwa mbili Fela na town center.Kwani Station ya Fela na Mwanza ni tofauti?
Hii ni estimation
Mbeya haiwezi izidi dodoma
Kahama hapo hata haipoMbeya haiwezi izidi dodoma


wacha tuwasubirie NBS wamalize estimation zao. Kahama inapaswa iwe top tenKahama hapo hata haipowacha tuwasubirie NBS wamalize estimation zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
OK sawa lakn Takwimu za NBS hazitatofautiana sana na hiziKahama inapaswa iwe top ten
sana manSometimes, madalali wa Mwanza wanazingua.
Ukikutana na wamiliki HALISI, Mara nyingi hivyo viwanja vinapatikana Kwa bei za kawaida sana.
Hapana huwa naifuatlia 2