Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanz n mji mkubw san ila shida ipo kwen majengo hasa marefu hayaendan na jiji kbsa ndo maan unakut miji midogo km arush na nakuru kujilinganish na mwanz sabab ya majengo hasa city centre serkal na private sector sjui kwann hazion haja ya kuwekeza kwen majengo marefu mwanz tofaut na dar na arusha,mwanz ingekua bonge la city km ingekua na hata robo ya majengo yanayopatkn dar marefu..nhc wengne wanajenga dar tu majiji mengne hayana iyo mirad ndo maan jiji linabak kua dar tu km vile mengne sio majiji
Hilo suala sio la kujilaumu ,mambo mazuri yanakuja ,,,
 
Hapa namanga,, KAHAMA,,,kahama napo panakua sana .ila miundombinu ni mibovu sana ,,pamezidiwa na shy town .
Miradi ya TACTIC itabadilisha hali, Dodoma Industrial complex 12km, Town center 10km, Bus Stand, Sango Market. Nadhani miradi hiyo ikiisha wataongeza tena barabara nyingine.
 
Miradi ya TACTIC itabadilisha hali, Dodoma Industrial complex 12km, Town center 10km, Bus Stand, Sango Market. Nadhani miradi hiyo ikiisha wataongeza tena barabara nyingine.
Wajengee na barabara ya mwime .
 
Hilo suala sio la kujilaumu ,mambo mazuri yanakuja ,,,
Majengo marefu sio hoja sana, angalia hata dodoma mji wa kiserekali majengo ni mafupi muhimu ni upangaji wa mji na barabara zijengwe.
Nyumba za milimani zisingekuwepo bado mza ina View nzuri tu.
Nakuru kuwa na jengo moja refu haimaanishi iko level moja na mza, CBD ya Nakuru ni utopolo.
 
Mimi nilikuwa natembea mara nyingi kwa miguu kutokea Pasiansi, kupitia Kiloleli, Nyasaka Cassanova mpaka Buzuruga, Nundu, Nyakato Mecco mpaka National.

Enzi hizo ni vumbi hiyo Barbara na Nyasaka bado ni nje ya mji. Naambiwa Sasa hivi hiyo Barbara ni Mkeka na Nyasaka hapashikiki
Yah Nyasaka saizi imebadilika sana hasa baada ya hiyo barabara inayoenda kuunga na Buzuruga kujengwa....
Wazazi wanaishi Nyasaka center kwa juu kidogo karibia na Shule ya Secondary Nyasaka...
Hilo eneo kwa sasa panajengeka sana mijengo ya maana pia kuna barabara ya vumbi inayounganisha barabara ile inayotoka saba saba kupita Kiseke, PPF , Nsumba hadi Buswelu na hii ya Nyasaka hadi Buzuruga...
 
Yah Nyasaka saizi imebadilika sana hasa baada ya hiyo barabara inayoenda kuunga na Buzuruga kujengwa....
Wazazi wanaishi Nyasaka center kwa juu kidogo karibia na Shule ya Secondary Nyasaka...
Hilo eneo kwa sasa panajengeka sana mijengo ya maana pia kuna barabara ya vumbi inayounganisha barabara ile inayotoka saba saba kupita Kiseke, PPF , Nsumba hadi Buswelu na hii ya Nyasaka hadi Buzuruga...
Mkuu Mbn kuna barabara ya rami ina muda mrefu tu inatokea sabasaba inaptia kiseke ppf had buswel
 
Ambacho nimegundua wengi tuliomo humu ni wenyeji wa mwanza lakini hatupo mwanza...walioko mwanza now .hawapo active kwenye Uzi ndo maana Kuna baadhi ya update hatuzipati Kwa wakati .now nipo kahama ila nikitua hapo ,, update zitakuwa za kutosha
Mi naishi Geita ila Mwanza ndio home na hua naenda karibia kila mwezi kama sijabanana hata hivi juzi Ijumaa ndio nimeridi Geita nikitoka Mwanza...

Kiujumla Mwanza inabadilika sana mfano hii barabara ya kutoka Kigongo kuja Usagala watu wanajenga sana hayo maeneo saizi..., Kutoka Usagala kuja Nyansishi ,Buhongwa hadi Mkolani ukiachalia majengo ya watu kuna vituo vya mafuta vingi sana vinajengwa hadi huwa najiuliza kumilikia kituo cha mafuta ni gharama kiasi gani...
 
Mkuu Mbn kuna barabara ya rami ina muda mrefu tu inatokea sabasaba inaptia kiseke ppf had buswel
Ndio naifahamu mkuu kitu nilichokuongezea ni kwamba kuna barabara ya vumbi inaziunganisha hizo barabara 2 kutoka Nyasaka Center hadi eneo moja linaitwa Nsumba kwahiyo barabara inayotoka sabasaba kwenda Buswelu....

Apo Nsumba kuna shule ya Secondary Angelina Mabula...(Mbunge wa Ilemela)
 
Ndio naifahamu mkuu kitu nilichokuongezea ni kwamba kuna barabara ya vumbi inaziunganisha hizo barabara 2 kutoka Nyasaka Center hadi eneo moja linaitwa Nsumba kwahiyo barabara inayotoka sabasaba kwenda Buswelu....

Apo Nsumba kuna shule ya Secondary Angelina Mabula...(Mbunge wa Ilemela)
Maeneo yanayoenda kuwa jamhuri (miji) inayojitegemea
Nyegezi
Buzuruga nyakato
Buswelu
Ukifika haya maeneo karibu Kila huduma ambayo ungeipata CBD unaweza kuzipata ..mfano nyegezi
Kuna hospital kubwa,vyuo,maduka makubwa,hotel ,na viwanja vya kutosha..
 
1662382853543.png

1662382870147.png
1662382937316.png



Isaka na Fela naona zitakuwa na daraja la ghorofa la kupandia treni za SGR. Inaonekana na Isaka itakuwa modern zaidi ya Fela na Shy town kimuonekano.
 
Sidhani,wanakomaa na tuta kwanza
Nadhani wakijenga station maeneo kama Kisesa, Usagara na FELA yenyewe itakuwa kwa Kasi Sana.

Maana Sasa hivi Fela pamepuuzwa sijajua Kama watu labda wanna hofu ya kuondolewa.

Maana mwanzoni wakati inajadiliwa Wilaya ya Kisesa wakataka HQ iwe hapo, na HQ ya SGR pia ni hapo.
 
Nadhani wakijenga station maeneo kama Kisesa, Usagara na FELA yenyewe itakuwa kwa Kasi Sana.

Maana Sasa hivi Fela pamepuuzwa sijajua Kama watu labda wanna hofu ya kuondolewa.

Maana mwanzoni wakati inajadiliwa Wilaya ya Kisesa wakataka HQ iwe hapo, na HQ ya SGR pia ni hapo.
Wanaogopa kuondoleewa bila fidia 😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom