Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Hujanielewa kaka, nimesema hizi barabara zinazojengwa watafute namna ziunganishwe na eneo la Buzuruga, kwa maana nyingine ijengwe barabara kutoka buzuruga ikutane na barabara ya Nyakato Mkuyuni, iende ikutane na igoma buhongwa, pia ikutane na kisesa usagara.
Tayari lami ya kutokea buzuruga kuelekea mahina kati kuungana na bugarika bugando ishaanza kujengwa
 
Hujanielewa kaka, nimesema hizi barabara zinazojengwa watafute namna ziunganishwe na eneo la Buzuruga, kwa maana nyingine ijengwe barabara kutoka buzuruga ikutane na barabara ya Nyakato Mkuyuni, iende ikutane na igoma buhongwa, pia ikutane na kisesa usagara.
There is no way barabara ya mkuyuni itokee buzuruga.labda wairekebishe Ile barabara ya mkuyuni kuelekea nyakurunduma kuelekea ipuli na igelegele iunganishwe na Ile bugarika mahina kati...
 
Mwanza unyama sana
mwanza-tanzania-november-11-2008-260nw-224283430.jpg
depositphotos_111228298-stock-photo-small-market-in-mwanza-tanzania.jpg
 
There is no way barabara ya mkuyuni itokee buzuruga.labda wairekebishe Ile barabara ya mkuyuni kuelekea nyakurunduma kuelekea ipuli na igelegele iunganishwe na Ile bugarika mahina kati...
Kaka wewe ni mgumu kuelewa😂
 
Kaka wewe ni mgumu kuelewa
Naona tatizo ni uelewa, kuna kipande aridhi kipo kati kati ya Jiji kinatenganisha Kenyatta na Musoma Road. Hicho kipande ndio kinaleta shida. Kiufupi hakina road networks. Kwa hiyo mbali na kulinganisha Mkuyuni na Nyakato inatakiwa iwepo / ziwepo barabara za ziada inaweza kuanzia Bugando/Bugarika ikadondoka Nyakato Mwananchi na pia ikatoka Bugarika mpaka Kishiri hadi Fela
 
Naona tatizo ni uelewa, kuna kipande aridhi kipo kati kati ya Jiji kinatenganisha Kenyatta na Musoma Road. Hicho kipande ndio kinaleta shida. Kiufupi hakina road networks. Kwa hiyo mbali na kulinganisha Mkuyuni na Nyakato inatakiwa iwepo / ziwepo barabara za ziada inaweza kuanzia Bugando/Bugarika ikadondoka Nyakato Mwananchi na pia ikatoka Bugarika mpaka Kishiri hadi Fela
Wewe umenielewa😄😄
 
Muda si mrefu tunatarajia kupata ugeni wa rais katika uzinduzi wa stendi zote mbili ile ya nyamhongolo, na nyegezi. Pamoja na kufungua jengo la mama na mtoto pale hospital ya wilaya ya ilemela “Toure”

Zaidi ni mategemeo ya kuonesha uhitaji wa njia 4 kutoka na kuingia mjini

Wana mwanza mjiandae
 
Muda si mrefu tunatarajia kupata ugeni wa rais katika uzinduzi wa stendi zote mbili ile ya nyamhongolo, na nyegezi. Pamoja na kufungua jengo la mama na mtoto pale hospital ya wilaya ya ilemela “Toure”

Zaidi ni mategemeo ya kuonesha uhitaji wa njia 4 kutoka na kuingia mjini

Wana mwanza mjiandae
 
Muda si mrefu tunatarajia kupata ugeni wa rais katika uzinduzi wa stendi zote mbili ile ya nyamhongolo, na nyegezi. Pamoja na kufungua jengo la mama na mtoto pale hospital ya wilaya ya ilemela “Toure”

Zaidi ni mategemeo ya kuonesha uhitaji wa njia 4 kutoka na kuingia mjini

Wana mwanza mjiandae
Seukou Toure ni Hospital ya Mkoa ndivyo ninavyojua.
 
Wakuu nimeingia mwanza leo, honestly nimeona mabadiliko makunwa sana, pengine kwa mnaoishi hapa mnaweza msinielewe.
1: ukiliguru na nyang'holongo zimeshaungana na Kuna viwanda vimeshajengwa maeneo hayo. Na pia Kuna fence kuashiria watu wameshanunua kwa ajili ya uwekezaji.
2. Missungwi nayo imechanganya kwa nyumba za makazi tofauti na ilivyokuwa miaka kadhaa nyuma.
3. Nyashishi na usagara kama hauko makini huwezi kujua mpaka wake na nyumba zinaifuata ilipo fela. Hatari sana.
4. Nyegezi ni baba lao, nafikiri hakuna sehemu nyingine huko mbeleni itakuja kuamka kama kuizidi nyegezi. Kuna ujenzi wa majengo marefu ya ghorofa mengi sana na pamechangamka vibaya na uzuri Barabara zilizokuwa na vumbi miaka kadhaa zimeshapigwa Rami na baadhi zimewekwa mkeka wa mawe. Kamanga medics wanazidi kujitanua kwa kujenga jengo jingine refu. Pembeni mwa kituo Cha SOS Kuna kiota kinapanda, na viota vingine vingi. Nyegezi itakuwa babu kubwa na nahisi itakuwa CBD nyingine very soon kama halmashauri ya Jiji ikiamua kutawanya msongomano wa watu mjini kwa kuwasogeza huduma zingine hapo nyegezi. Hata hivyo Bado Kuna maeneo yanayofaa kwa uwekezaji mkubwa kama machinga complex, mall, low scale shopping centes, recreation parks etc.

USHAURI.
_Kuna foleni Barabara zote za mjini hivyo Kuna haja ya kuzipanua.
_afisa miji wasimamie kuzuia ujenzi holela kwa maeneo yanayoendelezwa.
_milima ya bugando na mabatini haiko poa sana raia wangerasimishwa ardhi na wapewe sharti la kuendeleza maeneo Yao.

NB. Kuna siku nitakuja na picha maana nilikuwa kwa basi tu nashangaa
 
Wakuu nimeingia mwanza leo, honestly nimeona mabadiliko makunwa sana, pengine kwa mnaoishi hapa mnaweza msinielewe.
1: ukiliguru na nyang'holongo zimeshaungana na Kuna viwanda vimeshajengwa maeneo hayo. Na pia Kuna fence kuashiria watu wameshanunua kwa ajili ya uwekezaji.
2. Missungwi nayo imechanganya kwa nyumba za makazi tofauti na ilivyokuwa miaka kadhaa nyuma.
3. Nyashishi na usagara kama hauko makini huwezi kujua mpaka wake na nyumba zinaifuata ilipo fela. Hatari sana.
4. Nyegezi ni baba lao, nafikiri hakuna sehemu nyingine huko mbeleni itakuja kuamka kama kuizidi nyegezi. Kuna ujenzi wa majengo marefu ya ghorofa mengi sana na pamechangamka vibaya na uzuri Barabara zilizokuwa na vumbi miaka kadhaa zimeshapigwa Rami na baadhi zimewekwa mkeka wa mawe. Kamanga medics wanazidi kujitanua kwa kujenga jengo jingine refu. Pembeni mwa kituo Cha SOS Kuna kiota kinapanda, na viota vingine vingi. Nyegezi itakuwa babu kubwa na nahisi itakuwa CBD nyingine very soon kama halmashauri ya Jiji ikiamua kutawanya msongomano wa watu mjini kwa kuwasogeza huduma zingine hapo nyegezi. Hata hivyo Bado Kuna maeneo yanayofaa kwa uwekezaji mkubwa kama machinga complex, mall, low scale shopping centes, recreation parks etc.

USHAURI.
_Kuna foleni Barabara zote za mjini hivyo Kuna haja ya kuzipanua.
_afisa miji wasimamie kuzuia ujenzi holela kwa maeneo yanayoendelezwa.
_milima ya bugando na mabatini haiko poa sana raia wangerasimishwa ardhi na wapewe sharti la kuendeleza maeneo Yao.

NB. Kuna siku nitakuja na picha maana nilikuwa kwa basi tu nashangaa
Umetisha mkuu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu nimeingia mwanza leo, honestly nimeona mabadiliko makunwa sana, pengine kwa mnaoishi hapa mnaweza msinielewe.
1: ukiliguru na nyang'holongo zimeshaungana na Kuna viwanda vimeshajengwa maeneo hayo. Na pia Kuna fence kuashiria watu wameshanunua kwa ajili ya uwekezaji.
2. Missungwi nayo imechanganya kwa nyumba za makazi tofauti na ilivyokuwa miaka kadhaa nyuma.
3. Nyashishi na usagara kama hauko makini huwezi kujua mpaka wake na nyumba zinaifuata ilipo fela. Hatari sana.
4. Nyegezi ni baba lao, nafikiri hakuna sehemu nyingine huko mbeleni itakuja kuamka kama kuizidi nyegezi. Kuna ujenzi wa majengo marefu ya ghorofa mengi sana na pamechangamka vibaya na uzuri Barabara zilizokuwa na vumbi miaka kadhaa zimeshapigwa Rami na baadhi zimewekwa mkeka wa mawe. Kamanga medics wanazidi kujitanua kwa kujenga jengo jingine refu. Pembeni mwa kituo Cha SOS Kuna kiota kinapanda, na viota vingine vingi. Nyegezi itakuwa babu kubwa na nahisi itakuwa CBD nyingine very soon kama halmashauri ya Jiji ikiamua kutawanya msongomano wa watu mjini kwa kuwasogeza huduma zingine hapo nyegezi. Hata hivyo Bado Kuna maeneo yanayofaa kwa uwekezaji mkubwa kama machinga complex, mall, low scale shopping centes, recreation parks etc.

USHAURI.
_Kuna foleni Barabara zote za mjini hivyo Kuna haja ya kuzipanua.
_afisa miji wasimamie kuzuia ujenzi holela kwa maeneo yanayoendelezwa.
_milima ya bugando na mabatini haiko poa sana raia wangerasimishwa ardhi na wapewe sharti la kuendeleza maeneo Yao.

NB. Kuna siku nitakuja na picha maana nilikuwa kwa basi tu nashangaa
AKILI kubwa sana mkuu
 
Wakuu nimeingia mwanza leo, honestly nimeona mabadiliko makunwa sana, pengine kwa mnaoishi hapa mnaweza msinielewe.
1: ukiliguru na nyang'holongo zimeshaungana na Kuna viwanda vimeshajengwa maeneo hayo. Na pia Kuna fence kuashiria watu wameshanunua kwa ajili ya uwekezaji.
2. Missungwi nayo imechanganya kwa nyumba za makazi tofauti na ilivyokuwa miaka kadhaa nyuma.
3. Nyashishi na usagara kama hauko makini huwezi kujua mpaka wake na nyumba zinaifuata ilipo fela. Hatari sana.
4. Nyegezi ni baba lao, nafikiri hakuna sehemu nyingine huko mbeleni itakuja kuamka kama kuizidi nyegezi. Kuna ujenzi wa majengo marefu ya ghorofa mengi sana na pamechangamka vibaya na uzuri Barabara zilizokuwa na vumbi miaka kadhaa zimeshapigwa Rami na baadhi zimewekwa mkeka wa mawe. Kamanga medics wanazidi kujitanua kwa kujenga jengo jingine refu. Pembeni mwa kituo Cha SOS Kuna kiota kinapanda, na viota vingine vingi. Nyegezi itakuwa babu kubwa na nahisi itakuwa CBD nyingine very soon kama halmashauri ya Jiji ikiamua kutawanya msongomano wa watu mjini kwa kuwasogeza huduma zingine hapo nyegezi. Hata hivyo Bado Kuna maeneo yanayofaa kwa uwekezaji mkubwa kama machinga complex, mall, low scale shopping centes, recreation parks etc.

USHAURI.
_Kuna foleni Barabara zote za mjini hivyo Kuna haja ya kuzipanua.
_afisa miji wasimamie kuzuia ujenzi holela kwa maeneo yanayoendelezwa.
_milima ya bugando na mabatini haiko poa sana raia wangerasimishwa ardhi na wapewe sharti la kuendeleza maeneo Yao.

NB. Kuna siku nitakuja na picha maana nilikuwa kwa basi tu nashangaa
Hongera kaka kwa kutujuza.
Mimi huwa nasema kila siku mwanza itaendelea kuwa mji wa pili kwa ukubwa for ages, kuna watu huwa wanahofia dodoma lakini kiuhalisia dodoma bado sana.
Tatizo kubwa mwanza ni barabara, hata zinazojengwa nje ya CBD ziko cheap hazina njia za waenda kwa miguu yaani inapunguza mvuto wa barabara.
Nyumba za milimani nazo tatizo zinaharibu muonekano hasa pale kati, na ndio watu wengi huona hizo nyumba na kufikiria mza yote iko hivyo.
Eneo likichangamka kama nyegezi jiji wawe wananunua baadhi ya nyumba na kubadilisha matumizi, mfano wanavunja wanaplan malls au parking etc.
Bajeti ya sasa tuna kama 40km kama zikijengwa.
Njia ya shy na Musoma zikitanuliwa kuwa njia nne mji utapendeza sana.

Ushauri kwa viongozi wa mwanza, nawapa idea ya Chanzo kingine cha mapato.
Kama walivyo jenga stendi za mabasi basi wafanye hivyo kwenye usafiri wa maji, wajenge bandari maalumu kwa ajili ya meli, feri na boti, bandari ziwe zina maduka migahawa nk then wenye vyombo vya usafiri wawe wanatumia kwa kulipia kama ilivyo mabasi au ndege hakuna anayejenga airport yake. Biashara huria huwa ina mipaka yake vilevile.
 
Back
Top Bottom