Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Unaijua growth rate ya mwanza?!
Unaijua growth rate ya mwanza?!
Mkuu hakuna picha nzuri zaidi inayoonesha station ya city center tofauti na hiyo, maana hii haionekani vizuri...Yes, Mwanza city zitakuwa mbili Fela na town center.View attachment 2346737
Hiyo chini ndio itakuwa city center
Sent using Jamii Forums mobile app
Usije shangaa ukasikia ziko 3 nahisi mwanza south kunaweza kuwa na stesheni ndogo.Yes, Mwanza city zitakuwa mbili Fela na town center.View attachment 2346737
Hiyo chini ndio itakuwa city center
Sent using Jamii Forums mobile app
IlishajengwaView attachment 2347002hivi hii hospitali ilijengwa au la?
Siku ukiwa mwanza utupe kapichaHii hospital ishajengwa ,walianza phase one ambayo Inatumika sa hv..wakati naondoka April walikuwa wanajenga phase two yenye ghorofa kama Tano ,maeneo ya rufiji jirani na pigeon hotel
Hiyo ya Buhongwa Igoma inapitia wapi?leo nimemsikia mbunge wa nyamagana ccm kirumba anasema serikali imeshaingia mkataba na mkandarasi kujenga barabara ya mkuyuni Hadi mhandu pamoja na barabara ya Buhongwa igoma
inaanzia buhongwa inapitia sahwa,kanindo,kishiri inatokea igomaHiyo ya Buhongwa Igoma inapitia wapi?
Tuwasubiri NBS tu, Lazima tugonge 2mLeo nilikuwa mwasonge nilitoka huko miaka 3 iliyopita ilikuwa ni Kijiji leo nilichokiona cjaamin kabisa pale centre kuna mtu kajenga frame 20 za maduka watu wanajenga frame za maduka kila kona nyumba sasa hz hardware za kuuza vifaa vya ujenzi zipo kama 15
mzee mm nilikuwa karan mzee mwanza inatisha sana kwa population af watu wamezamia wengi sana ukimuuliza mtu anakwambia ameamia miaka 2 had 5 iliyopitaTuwasubiri NBS tu, Lazima tugonge 2m
Kiufup watu wanaohamia ni wengi sana kuliko wanaotoka na wote ukiwauliza sababu ni fulsa za maishamzee mm nilikuwa karan mzee mwanza inatisha sana kwa population af watu wamezamia wengi sana ukimuuliza mtu anakwambia ameamia miaka 2 had 5 iliyopita
inaanzia buhongwa inapitia sahwa,kanindo,kishiri inatokea igoma
Mzee ni km 14 coz haitokei pale igoma centre but inatokea barabara ya ndofe had st marrys